cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeeeeeh.Wanawake bana[emoji16]
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeeeeeh.Wanawake bana[emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna watu humu wanauliza mambo ila wakijibiwa wananuna wanataka watu wasapoti kila kitu. Ukijibu tofauti utasikia una njaa mara ohoo wivu. Watu lazima watofautiane .pumbavu ninyi
Uzuri nili mjibu kanielewa sasa na kushangaa ww au una account mbili ?Kwahyo ndo uongee usichoulizwa au kisichokuwepo? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Ngoja nikafue [emoji23][emoji23][emoji23]Uzi una mapovu huu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Diamond Platnumz LyricsOya lagaligila (Fresh!)
Ifungwe counter ifungwe bar (Fresh!)
Si hatulali jama (Fresh!)
Na wakifunga tunahama (Fresh!)[emoji482]
Sisi walevi tumepata jimbo letu la kulewea hatuna tatizo nae
Mi nimeikubali sana Wonder, inshort zile za taratibu kazifanya poa kuliko hizo za kurukaruka na mauno.Kuna ile banger inaitwa SONA ft AdekunGold, aiseeh Nimempa salut huyu dogo. Mungu aendelee kumuinua.
Kuna watu watanuna[emoji851][emoji851][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95]
Ikiwa ni siku ya sita leo .......EP ya taifa ya mfalme wa muziki Africa, east Africa na dunia kwa Ujumla ....imefikisha streams milion 30 kitu ambacho hakijawahi tokea tangu kuanza kwa tasnia ya muziki hapa EA pale mjin YouTube
Yajayo yana furahisha sanaa
View attachment 2154903
Alafu punguza uchawa unajua mwanamziki kidunia wewe?[emoji95][emoji95][emoji95][emoji95][emoji95]
Ikiwa ni siku ya sita leo .......EP ya taifa ya mfalme wa muziki Africa, east Africa na dunia kwa Ujumla ....imefikisha streams milion 30 kitu ambacho hakijawahi tokea tangu kuanza kwa tasnia ya muziki hapa EA pale mjin YouTube
Yajayo yana furahisha sanaa
source ..... YouTube
Imeletwa na mchambuzi.....Laban og
View attachment 2154903
Mtoa mada mwenyewe hajaweka data, ni maneno matupuAtakayepinga na apinge kwa data pia
Wazee wa bakhresa[emoji23][emoji23]Kuna watu watanuna[emoji851][emoji851]
Kwamba gap la konde boy mjesh ...limezibwaUwepo wa Zuchu kwenye hii EP kumeobgeza uzito. Zuchu ni asset pale WCB.
Haters .....at workMoja ya kazi mbaya ya Mondi basi nii hii mdude
Kabisa mkuu...ila wamakonde hawana factAtakayepinga na apinge kwa data pia