Najihisi kama muuaji ila inabidi nifanye

Najihisi kama muuaji ila inabidi nifanye

Sipo okay kabisa physically, psychologically & emotionally sipo sawa na najua nafanya kosa kubwa sana ila inabidi nfanye.

Nna ujauzito wa 4 weeks lakin kesho Mungu akipenda naenda kutoa. Nafanya ivi bila kumshirikisha my fiance wala familia yngu. Hakuna mtu anajua km ni mjamzito zaidi ya rafiki yangu.

Hyu mchumba wngu tume engaged mwaka huu mwezi wa nne. Tokea tuwe engaged kumekua na kutoelewana mara kwa mara tunatofautiana mitazamo na malengo. Mara ya mwisho tumekorofishana tuka kaa wiki 3 bila kuongea hakuna mtu anampigia simu mwenzake au message. Tukaja kupatana na ndio nmepata mimba.

Sina mpango wa kuzaa kwa sasa kwan bado nasoma pia umri wngu hauruhusu bado nna safari ndefu ktk maisha. Kwanza mtu mwenyewe anahisi simpendi yeye napenda pesa zke tu kisa tunatofautiana malengo.

Kuwa na mahusiano na mtu aliekuzidi miaka mingi ni kazi sana kwasababu wakati wee unahisi mda wa kufanya kitu fulani haujafika mwezako anahisi ndo mda sahihi kwake kufanya ivo. Anyways, kesho naenda kuitoa hii mimba niombeeni maombi kla ktu kiende sawa
Usiitoe! Uliyekosana naye au aliyekukosea ni huyo mwenza wako, si mtoto wako aliyeko tumboni. Hana kosa lolote la kuhukumiwa kifo, tena angali bado mchanga asiyeweza kujitetea au kukulilia uokoe uhai wake.

Huyo mtunze na mlee, atakuja kuwa mwokozi wako na faraja yako hapo baadaye. Kila mtu anakuja duniani kwa kusudi maalum la Mungu, usikatishe kusudi la mwanao hapa duniani.

Si ajabu ukawa unamuua rais wa 2070, mhandisi maarufu, mchungaji, mwimbaji au mfanyabishara maarufu, nk. Tafadhali usitoe hiyo mimba, huyo ni mwanao kipenzi. Usimuue!
 
Nakushauri usitoe hiyo mimba bora hata usingesema humu nikajua! Kama nakiona kiumbe chako tumboni kimekaa kwa amani kikijua kipo sehemu salama kumbe kipo hatarini kuondoshwa!.. msimuhukumu huyo kiumbe kwa matatizo yenu zaeni mlee acheni ujinga.
Sawa kabisa!
 
Kwa muhusika anasemaje juu ya kiumbe chake

Miezi minne tayar ni kiumbe Hai, maamuz yako yame over due
 
Sipo okay kabisa physically, psychologically & emotionally sipo sawa na najua nafanya kosa kubwa sana ila inabidi nfanye.

Nna ujauzito wa 4 weeks lakin kesho Mungu akipenda naenda kutoa. Nafanya ivi bila kumshirikisha my fiance wala familia yngu. Hakuna mtu anajua km ni mjamzito zaidi ya rafiki yangu.

Hyu mchumba wngu tume engaged mwaka huu mwezi wa nne. Tokea tuwe engaged kumekua na kutoelewana mara kwa mara tunatofautiana mitazamo na malengo. Mara ya mwisho tumekorofishana tuka kaa wiki 3 bila kuongea hakuna mtu anampigia simu mwenzake au message. Tukaja kupatana na ndio nmepata mimba.

Sina mpango wa kuzaa kwa sasa kwan bado nasoma pia umri wngu hauruhusu bado nna safari ndefu ktk maisha. Kwanza mtu mwenyewe anahisi simpendi yeye napenda pesa zke tu kisa tunatofautiana malengo.

Kuwa na mahusiano na mtu aliekuzidi miaka mingi ni kazi sana kwasababu wakati wee unahisi mda wa kufanya kitu fulani haujafika mwezako anahisi ndo mda sahihi kwake kufanya ivo. Anyways, kesho naenda kuitoa hii mimba niombeeni maombi kla ktu kiende sawa
Kimekucha Binti,
Umeshakuwa mama wa Marehemu?
Kaburi utachimba mwenyewe au utaflash maiti ya mtoto wako kama kinyesi ...

Ipo siku utapanga kuwa mjane!

Usisahau kuweka no ya kukutumia Rambirambi, hili ni jambo la kijamii na ni jukumu letu sote kuomboleza na wewe
 
Wewe siyo mwehu tu ni takataka kabisa.


Toa hoja kama kichwa chako kiko fit na sio kutoa harufu ya matusi kutoka tundu la mdomo wako kama harufu itokayo katika tundu la choo cha stendi (public toilet).

Toa hoja انت مجمون.😜
 
Sipo okay kabisa physically, psychologically & emotionally sipo sawa na najua nafanya kosa kubwa sana ila inabidi nfanye...
If is that your final decision, usiende kutoa mimba uchochoron hakika utakufa nayo au itakuacha na dosari ya maisha kwasababu mimba ya miez minne n kubwa haiwez kunyofolewa ovyoovyo, hakikisha unaenda kwa mtaalam aliyebobea ili necessary procedure km kusafisha kizaz zifuate after abortion.

Another time my sister be careful if you really don't need pregnancy know your menstruation cycle and engage sexually in safe days only au waweza kwenda kituo Cha afya na kuomba ushaur wa kutumia uzaz wa mpango .

[emoji419]Jali afya yako it's every thing.
 
Nasema hivi; kama mimi ni mwehu wewe ni mwehu zaidi yangu, hivi unaelewa ninachosema au ndio umeshiba Alkasusu kutoka katika vijiwe vya kahawa??!!.

Sikiliza kwa makini na tuliza akili yako kama unanyolewa; nimesema KUTOA MIMBA BILA SABABU ZA MSINGI NI DHAMBI lakini SIO DHAMBI YA MAUAJI, ugomvi wangu ni kuunganisha kutoa mimba na UUAJI, na nimekwisha eleza ni kwa namna gani kutoa mimba sio mauaji.

Mimba ni njia halali aliyoiweka Mungu ili sisi binadamu na viumbe wengine tuongezeke, bila kupitia mimba sisi sote tusingalikuwepo, mimba ni mali ya baba na mama sio mali ya mama pekee na inapofikia suala ya kuitoa ni lazima wawili hao wakae pamoja kuamua, mfano kama ikathibitika (in the run) na Daktari kwamba mimba itahatarisha uhai wa mama pamoja na uhai wa mtoto akili na Busara huwa ni hii; MIMBA INATOLEWA kunusuru maisha ya mama PEKE YAKE na wakati huo maisha ya mimba wala hayapewi uthamani mbele ya maisha ya mama, katika hali hiyo ni Mwehu gani atakayesema kwamba hao madaktari wemefanya MAUAJI??--- nanasema mimba ikiwa tumboni ni kama sehemu ya mwili wa mbebaji haina "independence life" kiasi kwamba tuseme kuitoa ni kuua kiumbe chenye "independence life". Kuua ni kutoa uhai wa kuimbe chenye uhai wake binafsi yaani uhai wake unategemea kuvuta hewa ya nje, chakula cha nje na kinajitambua na kutambua ulimwengu wa nje, ni NAFSI inayojitegemea yenyewe kuishi, mfano mtoto akizaliwa mara moja anaanza kuvuta hewa, kunyonya mwenyewe kwakuwa nafsi yake ya utambuzi ni independent kwa mama lakini ni dependent kwenye mazingira anamoishi, na anakuwa registered kwa Mungu kama binadamu KAMILI huyo ukimuua hapo ndipo Umefanya MAUAJI.

Narudia kusema; kutoa mimba BILA SABABU ZA MSINGI ni kosa na dhambi mbele ya Mungu LAKINI SIO KOSA LA MAUAJI.
Unatuchosha mkuu, mosi wewe ni mtu,ulianzia kama mtu, kwa muktadha huo kiumbe kilichopo ndani ya mama mjamzito ni mtu pia ,

kama ilivyo kumpiga mtu labda risasi ni mauaji hivyo hivyo kutoa mimba ni mauaji pia,sababu wote ni watu wanaouwawa,

Nimeona unaongelea sperm zimekwenda wapi, hizo ni cells tu,mtoto anaitwa mtoto mpaka iungunishwe na yai la mwanamke lililopevuka, kila kitu kimekua crafted na Mungu, uwezo wetu kuzaa umekua limited,it serve some purpose..hii ni kujiandaa kuleta kiumbe na kukilea ambayo inachukua muda kufanya hivyo, kwa hio tusingeweza kuwa na watoto wengi, IMAGINE kila sperm ingekuwa inaruhusiwa kutengeneza mtoto tungelea saa ngapi??? lazima u appreciate Mungu fundi akaweka sperm moja

independence mkuu again hio ni nature huyo mtoto imewekwa ale chakula ,apate hifadhi kwa mama tumbon ili asurvive, yeye hana kosa ..hata wewe labda umefanya mambo mengi yaliyobidi kufanya u-survive ambayo yalikuja tu naturally ....pia,tunapoishi na wazazi wetu wanaprovide vitu kuanzia utotoni mpaka tunakuwa wakubwa,je walitupiga risasi tulivyokua dependents?

hivi na wale wanaozaliwa njiti,yuko nje kwenye uangalizi maalumu je ungewaua watoto wa hivi kw vile wako nje ya mama yao?

hio ya kutoa kunusuru mzazi,i reserve my comments for now.
 
[emoji116]
 
Haya ni mauaji mkuu ni dhambi haitakuacha salama
 
Kama utaenda kutoa, nakuhakikishia utakiona cha mtema kuni!

Badili hilo wazo haraka sana na uelekeze upendo kwa kiumbe kilicho tumboni mwako
 
Back
Top Bottom