Najiona maisha Yangu yakikosa nuru kabisa na kuelekea ukingoni


... nyingi nasaba, ...wake msiba!
 
Linalo nichanganya zaidi ya yote ni kwamba huyu dada kuna Ujumbe aliniandika ni mrefu kiasi lakini kifupi anadai amefurahi kuniju mm ni m2 mwema , na pia anasikitikia maisha yangu na anajihisi mkosaji sana kuangamiza maisha yangu mtu mwema.
Screenshot Mzee wangu tuwekee hapa na sisi tusome huo ujumbe,
 
Tuendelee kutumia immunity (kinga) ukimwi, gono and all STD's hazipimwi kwa macho.
Tushacheza sana rafu ni mungu tu kama tukitoka salama.
Makahaba na wake za watu na wanafunzi wa vyuo kote huko tulipita pekupeku...
Sasa kilichobaki ni kuoa na kumrudia Yesu na kutulia.
Maana vijana,wengi tukitoka salama ni Yesu tu kaamua kutunusuru.
 
bidada aliomba nisiondoke she was like " Sitakua Comfortable kabisa kubaki peke yangu naogopa then kesho nataka nitoke mapema sana
Sawa mtego huu ukishindwa kuukwepa
Hapa kidogo nikapata mashaka baada ya kumwona na bonge la tattoo nyuma kiunoni, juu kidogo ya makalio
Kwa hio duduwasha likaendelea kusimama pamoja na kushtuka?
Kifupi nililuka na binti usiku kucha ad siku ya pili anaaga na kuondoka
Kwa hio ulimla njia zote ukapita mbele ukapita na nyuma?
Asanteni kwa time yenu. Ushauri wenu, mawazo yenu na neno lolote litanijenga sana katika hali hii, napia huenda itakua msaada hata kwa wengine since we still live so kuna leo na kesho
Noma sana mi acha nibakie na Leejay49 baby

Ila next time tutajie huyo ulimtafuna ID yake ni nani au Ironbutterfly Unique Flower?
 
Ila kama story ni kweli, basi una tatizo mahali
Amekuambia anataka nyumba ya kulala ukamwambia kuna kitu nahitaji kufanya nyumbani kabla hujampeleka guest house
Sasa kwa sisi wazee hapo ni Red flag ya kwanza
Halafu eti ukamwambia lala peke yako kwenye nyumba asiyoijua, hapo ulijua fika atakataa hata awe nani
Mara ya kwanza mnaonana eti lala peke yako
Ujue kuna watu wazima humu wanaochambua mchele na mawe

Lingine umeshawishika na mvuto au shetani kafanya yake ukaomba mzigo na akakataa kabisa
Hapo ukaomba sana akakupa kwa shingo upande
Yaani story hii nashindwa kutoa hitimisho maana wewe umeisha hitimisha kwa Gono
Pole sana ila umesema wewe sio mpenda wanawake maana una mpenzi wako
Sasa mbona haviendani hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…