Najivunia kuwa na wewe Madame B, Sichoki kuisikiliza sauti yako tamu masikioni mwangu

Najivunia kuwa na wewe Madame B, Sichoki kuisikiliza sauti yako tamu masikioni mwangu

NB:Jamani hili la Sauti ni noma.Imebidi nimpigie tena Madame B muda huu.Duh hii Sauti,mtoto anatisha...Naomba Chimbuvu na TUKUTUKU msijaribu kuchukua namba mtazidi kuumia.Duh...
 
Last edited by a moderator:
Nafikiri jibu umelipata Chimbuvu

Wifi.
Hebu ninong'oneze,
mwaka unakata huu, hatuoni unakula ndimu, udongo wala embe mbichi...nini tatizo mama?
Nini mbaya?
Nani kakuroga ili tumkodie matarumbeta na mazeze.
 
Last edited by a moderator:
NB:Jamani hili la Sauti ni noma.Imebidi nimpigie tena Madame B muda huu.Duh hii Sauti,mtoto anatisha...Naomba Chimbuvu na TUKUTUKU msijaribu kuchukua namba mtazidi kuumia.Duh...

Wape wape wape my swits.
Kichuna kutoka Tanga,
Namba 1 mie, 2 mie na 3 mie vilevile.
Chezea "yamtimbwilikoNgomasafi"
Tule bata mpaka kuku waone gere mpenzi wangu.
Yani ulivyonipigia simu, mwili wote umepata shock.
Nafwaaaa mieeeee...
 
Last edited by a moderator:
Wifi.
Hebu ninong'oneze,
mwaka unakata huu, hatuoni unakula ndimu, udongo wala embe mbichi...nini tatizo mama?
Nini mbaya?
Nani kakuroga ili tumkodie matarumbeta na mazeze.
Erickb52
 
Last edited by a moderator:
Wifi.
Hebu ninong'oneze,
mwaka unakata huu, hatuoni unakula ndimu, udongo wala embe mbichi...nini tatizo mama?
Nini mbaya?
Nani kakuroga ili tumkodie matarumbeta na mazeze.
Waapi...hahahahaha, wifi mambo mazuri hayataki haraka
soon utaona nikilisukuma kwa mbele:mimba:
teh teh
 
Waapi...hahahahaha, wifi mambo mazuri hayataki haraka
soon utaona nikilisukuma kwa mbele:mimba:
teh teh

Haya wifi yangu.
Ila usikinukishe kwa kaka yangu.
Twataka mtoto sie jamani.
 
Kweli mama wa watoto wangu rudisha moyo wako nyuma,,
kama ningeweza kuzirudisha siku nyuma,,hata magoti ningepiga ili nipate wako msamaha,nakusihi upunguze hasira Madame B
we nidanganye nidanganye tu hata kama nikikukuta na Ben Saanane chumbani we nidanganye angalau moyo wangu utulie usiniambie ukweli ningekusihi Madame B upunguze hasiraaa uwe na moyo wa subira,,
 
Last edited by a moderator:
Kweli mama wa watoto wangu rudisha moyo wako nyuma,,
kama ningeweza kuzirudisha siku nyuma,,hata magoti ningepiga ili nipate wako msamaha,nakusihi upunguze hasira Madame B
we nidanganye nidanganye tu hata kama nikikukuta na Ben Saanane chumbani we nidanganye angalau moyo wangu utulie usiniambie ukweli ningekusihi Madame B upunguze hasiraaa uwe na moyo wa subira,,
 
Last edited by a moderator:
Kweli mama wa watoto wangu rudisha moyo wako nyuma,,
kama ningeweza kuzirudisha siku nyuma,,hata magoti ningepiga ili nipate wako msamaha,nakusihi upunguze hasira Madame B
we nidanganye nidanganye tu hata kama nikikukuta na Ben Saanane chumbani we nidanganye angalau moyo wangu utulie usiniambie ukweli ningekusihi Madame B upunguze hasiraaa uwe na moyo wa subira,,

Chimbuvu mpenzi wangu wa moyo.
Kumbuka ulikuwa na nafasi kubwa sana ndani ya moyo wangu.
Na ulidiriki hata kumwambia shemeji C6 jinsi unavyojisikia ukiwa na mimi.
Ila tatizo lako ni moja tu, Ulishindwa kuniambia kuwa unataka kuoa.
Mie mwenyewe nakukumbuka sana mpenzi wangu.
Sijakutupa.
Bado nakuwaza.
Ila "mapenzi yetu yawe ya siri".

Mbona wenzako tedo, Chilli na Remote hawalalamiki?
Mweeehhh!!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom