Najivunia ushamba na ulimbukeni huu ulinipitia mbali

Najivunia ushamba na ulimbukeni huu ulinipitia mbali

Mpaka sasa tunaenda vizuri. Shida kidogo inayotupa wasiwasi ni kule kushoto DALOT ana yellow na ndio anamkaba Salah. Kuna dalili ya yellow ya pili kule.
 
Tayariiiiii
 

Attachments

  • Screenshot_20250105_204127_FotMob.jpg
    Screenshot_20250105_204127_FotMob.jpg
    69.3 KB · Views: 4
Bado tunawabana
 

Attachments

  • Screenshot_20250105_211115_FotMob.jpg
    Screenshot_20250105_211115_FotMob.jpg
    87.2 KB · Views: 2
Haya mambo kama unavosema kuna kaushamba ndani yake na kuna wengine wanapenda tu kuji post, sifa za kijinga, kutuma salam kwa nzengo na kubwa kuliko yote kutojielewa.
 
Kila mtu anafanya kile kinachomfanya afurahi, huwezi kuita hobby za wenzako "ushamba" , ni kitu watu wanapenda kushare furaha na huzuni zao na jamii inayowazunguka na wala sio ushamba kama ulivyoiita mtoa hoja.

Labda ungesema tu hauna interest na kujitupia mtandaoni ila don't term others as washamba kisa wewe hufanyi.
Braza gusa,achia twende kwao,tabia alizoelezea mtoa mada automatically ni za kishamba.Halafu watu wote wanaopenda kuongea sana,kujiposti posti na ujuaji mwingi hawa watu IQ zao ni ndogo sana
 
Baadhi ya mambo ambayo yakizidi sana huwa nayaona ushamba na ulimbukeni. Haya mambo mimi yamenipita mbali kabisa.

1. Kujipost WhatsApp status
Hata kama nitafanya jambo gani, hata kama nimepata nini cha mafanikio huwezi kukikuta status. Mwaka jana nimegraduate taaluma mbili tofauti lakini huwezi kukuta status. Acha status hata graduation sikuhudhuria(Japo sio ushamba)
Sijui nimenunua gari kali najisikia aibu sana kujipost. Hata picha tu ya gari sina, na zile zilizotumiwa na Mjapani nilishazifuta.

Kuna mdogo wangu alikuwa anapenda kupiga picha na gari anajipost. Nikamkataza.

Yule baby alikuwa anapenda kujiselfie na mimi halafu anajipost. Nikamkata kistaarabu tu baby don't do that. Hata kesho nikifanya harusi nadhani hakutakuwa na status.

Naona wenzangu wanapost matokeo ya watoto wao yaliyotoka jana. Mimi A tupu za wakwangu siwezi kuzipost, naona ulimbukeni. Ahadi ya zawadi niliyompa akipata A zote nitampatia, nitamtia moyo aongeze bidii na kumpeleka vacation ya kisima.

2. Kutumia elimu na kazi yangu kujiona bora
Nina mavyeti mengi tu lakini sio bora kuliko wengine. Sio bora kuliko mlinzi na mfagizi pale ofisini. Wakati wengine wakipita bila hata kumsalimia mlinzi na kusaini daftari getini. Mimi lazima nimjulie hali nijitambulishe. Hata akisema basi nenda tu, namwambia hapana nitasaini hapa na kule kwa Mkurugenzi nitasaini. Maana ndio utaratibu.

Tukiwa shamba mimi sio bora kuliko kibarua. Kwa hiyo msosi wa shamba utakula wote.

Ahsante Mhasibu kwa machache tumeweza Gundua kuwa

1. Una Gari
2. Una mtoto pia alimaliza form 2 amepata Alama "A" Katika masomo yake

3. Haujafunga Ndoa
4. Una Elimu ya kuunga Unga Hadi kufikia taaluma Yako ya Juu.

5. Unafanya Kazi halmashauri

Naungana na wewe kukupongeza katika aina ya maamuzi uliyochagua kuishi katika maisha Yako ya Kila siku yanafaida kubwa Sana Hongera Sana OKW BOBAN SUNZU Mimi pia ni mmojawapo wa aina hiyo wenzetu ni rahisi kujua wamekula nini Leo kwa kuview status zao 😁 ila ni aina ya maisha pia waliochagua ni jambo zuri pia wao kuwapongeza maana sote hatutaishi milele tufurahie kwa namna tutakayohisi ni sahihi kwetu na kwao pia
 
Mimi mshamba nimeweka Ford Ranger,2.2 diesel engine ya 2017 status ili niliuze jana nimetoa Subaru SH 9 ambayo ishauzwa tarehe 13 ntaweka mazda CX-5 ya Petrol ya 2013 nikiuza natoa status ntaweka Land rover disco 2 ya diesel auto TD 5...
 
Mkuu wewe kama mimi tuu
Kuna wanangu niliomaliza nao Telecom pale Cive walikua watu wa ku show off status ila mii wala

Nulipo piga electrical south africa wala hakuna ndugu aliyekua anajua an ni mtu wa kimya kimya..

Juzi nimeenda dubai lakini cha ajabu sijapiga picha hata kidogo. Mpaka mdogo angu anashangaa huyu blaza vipi ila naona normol tuu..

Maisha ya mtandaoni kujianika mi ndo siwezi kabisa aiseee
Hii ni nature niliyonayo toka advance nilipo piga A ya phy na chem wala sikua mtu wa show off zaidi zaidi waliokuwa and anapost matokeo yangu ni wale ndgu wa karibu tuu..

Hongera Sana kuwa katika sehemu ya kuishi maisha ulioamua kuchagua.

Kwa machache kurahisisha wasomaji ni kwamba

1. Umesoma Telecom Pale CIVE - UDSM
2. Ukipata alama "A" katika masomo ya physics na chemistry ulipokuwa Advanced level (High school)

3. Ulishawai fika South Africa
4. Siku Chache zilizopita ulikua Dubenga (Dubai).
5. Sio kwamba hauwezi kupiga picha kuonesha wapi ulipo ama mafanikio Yako ni yapi ila umeamua kuishi maisha ya ukimya ..

Naungana na wewe jambo hili linafaida kubwa Sana na ni zuri Sana katika safari ya maisha ya kijana wa kitanzania Endelea kuwa hivi hivi .
 
Baadhi ya mambo ambayo yakizidi sana huwa nayaona ushamba na ulimbukeni. Haya mambo mimi yamenipita mbali kabisa.

1. Kujipost WhatsApp status
Hata kama nitafanya jambo gani, hata kama nimepata nini cha mafanikio huwezi kukikuta status. Mwaka jana nimegraduate taaluma mbili tofauti lakini huwezi kukuta status. Acha status hata graduation sikuhudhuria(Japo sio ushamba)
Sijui nimenunua gari kali najisikia aibu sana kujipost. Hata picha tu ya gari sina, na zile zilizotumiwa na Mjapani nilishazifuta.

Kuna mdogo wangu alikuwa anapenda kupiga picha na gari anajipost. Nikamkataza.

Yule baby alikuwa anapenda kujiselfie na mimi halafu anajipost. Nikamkata kistaarabu tu baby don't do that. Hata kesho nikifanya harusi nadhani hakutakuwa na status.

Naona wenzangu wanapost matokeo ya watoto wao yaliyotoka jana. Mimi A tupu za wakwangu siwezi kuzipost, naona ulimbukeni. Ahadi ya zawadi niliyompa akipata A zote nitampatia, nitamtia moyo aongeze bidii na kumpeleka vacation ya kisima.

2. Kutumia elimu na kazi yangu kujiona bora
Nina mavyeti mengi tu lakini sio bora kuliko wengine. Sio bora kuliko mlinzi na mfagizi pale ofisini. Wakati wengine wakipita bila hata kumsalimia mlinzi na kusaini daftari getini. Mimi lazima nimjulie hali nijitambulishe. Hata akisema basi nenda tu, namwambia hapana nitasaini hapa na kule kwa Mkurugenzi nitasaini. Maana ndio utaratibu.

Tukiwa shamba mimi sio bora kuliko kibarua. Kwa hiyo msosi wa shamba utakula wote.
Ww ni mhaya mkuu
 
Hongera Sana kuwa katika sehemu ya kuishi maisha ulioamua kuchagua.

Kwa machache kurahisisha wasomaji ni kwamba

1. Umesoma Telecom Pale CIVE - UDSM
2. Ukipata alama "A" katika masomo ya physics na chemistry ulipokuwa Advanced level (High school)

3. Ulishawai fika South Africa
4. Siku Chache zilizopita ulikua Dubenga (Dubai).
5. Sio kwamba hauwezi kupiga picha kuonesha wapi ulipo ama mafanikio Yako ni yapi ila umeamua kuishi maisha ya ukimya ..

Naungana na wewe jambo hili linafaida kubwa Sana na ni zuri Sana katika safari ya maisha ya kijana wa kitanzania Endelea kuwa hivi hivi .
Pia kingine wewe ni mnafiki sana 😄😄😄😄
 
Kila mtu anafanya kile kinachomfanya afurahi, huwezi kuita hobby za wenzako "ushamba" , ni kitu watu wanapenda kushare furaha na huzuni zao na jamii inayowazunguka na wala sio ushamba kama ulivyoiita mtoa hoja.

Labda ungesema tu hauna interest na kujitupia mtandaoni ila don't term others as washamba kisa wewe hufanyi.
Mtu smart sana wewe jamaa pamoja na The Boss, Yoda, Tujitegemee..
 
Mimi mshamba nimeweka Ford Ranger,2.2 diesel engine ya 2017 status ili niliuze jana nimetoa Subaru SH 9 ambayo ishauzwa tarehe 13 ntaweka mazda CX-5 ya Petrol ya 2013 nikiuza natoa status ntaweka Land rover disco 2 ya diesel auto TD 5...

Nimefurahia unavyoandika katika uandishi huu wa magari.. 😁 inaonekana wewe ni dalali ulie serious na Kazi
 
Naona wenzangu wanapost matokeo ya watoto wao yaliyotoka jana. Mimi A tupu za wakwangu siwezi kuzipost, naona ulimbukeni. Ahadi ya zawadi niliyompa akipata A zote nitampatia, nitamtia moyo aongeze bidii na kumpeleka vacation ya kisima.📌🔨
Kiufupi ana MAJIVUNO kuliko hata hao wanaojipost
 
Back
Top Bottom