Najua kwa sasa mmejifungia Kikaoni Hotelini Posta ili Kumfuta Kazi Kocha Mkuu, ila hata nyie hatuwataki tena SSC

Rudisha signature yako hatuioni sasa hivi ya
"Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer "
 
Wewe ni chizi pekee unayejitahidi kubashiri mambo kwa usahihi.
Mtani falla sana weww
 
Na mwaka huu utashinda uanachama bora wa jukwaa la michezo labda haters wako wakufanyie mizengwe charismatic fella 😁
 
Punguza chuki na roho mbaya, jamaa alisema wamejifungia Posta, tuambie wewe walijifungia wapi? Roho mbaya kama kutu!

Posta gani??
Hoteli gani????
Mtaa gani????
Viongozi gani???
Wakiwa wangapi???
Majina yao akina nani??

Usilete ubashiri kwenye masuala ya soka.

Ilikuwa lazima Robertinho atimuliwe labda ni mtoto tu dio asingeweza kulijua hilo.
 
Nikirepoti kutoka bunda mimi ni Genta Cognizant mbilikimo king'ang'anizi wa ITV
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…