Haters na Hypocrites utawajua tu. Hivi mwaka Jana Klabu ya Yanga SC chini ya Kocha Nabi ilipofanya vibaya Mechi za Kimataifa mpaka Mashabiki na Wanachama wakataka Ajiuzuru au Aondoke huku Wachambuzi na Waandishi wa Habari wakibashiri kuwa atafungashiwa Virago ( Atafukuzwa ) na kila Mtu aliamini hivyo je, alifukuzwa?
Kilichokuumiza ni kuona GENTAMYCINE kaja na Taarifa ya uhakika na niliyojiamini nayo 100% kutokana na Vyanzo vyangu na hatimaye leo Jumanne ( kama nilivyoitabiri ) kile nilichokileta hapa Kimetimia.
Kwani mkikubali tu kuwa GENTAMYCINE ndiyo Mfalme wa Habari za uhakika za Michezo na Masuala Mtambuka ya Kijamii ( katika Jamii ) mnapu gukiwa na nini? Wivu wenu juu yangu utawapelekeni Motoni.
Na kwa Jeuri, Nyodo na Kujiamini nakuja na Exclusive Info nyingine ya Mpira itokanayo na Derby ya Juzi muda si mrefu hapa hapa Jamiiforums na hakuna Mtu Mwingine yoyote yule anayo au anayoijua zaidi yangu Mimi tu.
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!