Najuta kuchukua mkopo “Pesa X”

Hii ipoje kisheria, kumdhalilisha mtu kimtandao si ni kosa la jinai? Kukopa na kuchelewesha deni ni kosa la madai
Je mkipambana mahakamani nani ataumia? Akijitokeza mtu mmoja akawanyoosha hata hiyo mikopo wataacha kukopesha
Mkuu Dawa yao ni Watanzania wengi kuyakopa na kutolipa tu, tuone watadhalilisha wangapi. Mbona kampuni za simu zinakopesha na hazidhalilishi mtu?

Mimi nimekopa kampuni 2 sijawalipa, nimewafundisha watu wangu wa karibu kuyakopa. Mpaka yafunge huduma zao za kitapeli.
 
Wanakuadd kwenye group pamoja na watu wako wa karibu, wanakuweka dp na kuanza kukusimanga
 
HAMASISHA 'KAMPENI KOPA NA USEPE' Big up!!☑️
 
Usiwalipe, hao wanatakatisha pesa kupitia hivyo viapp.

Sasa BOT imewapa siku 14 wajisalimishe na wasajiliwe kwa reguration za BOT, baada ya hapo app zote za watakatisha pesa zitazimwa.

Kwahiyo tembea kifua mbele, kwa style yao ya kudai pesa usiwalipe waache wavimbe wapasuke mwisho wao umefika.
 
Alikopa kwenye kampuni gani?
Siwakumbuki jina ila baada ya Taasisi kuilipa wakafuta picha na Msg walizotuma na Admin aka left group( Alotuunga group).

Wana wadanganya watu hoo riba ni asilimia tatu tuu au moja alafu hayo makato ndo balaa.. ina maana wao waita riba ya elfu 50 ni elfu 4 ila wanachokupa kwenye 50 ni 32 si upumbavu huo.

Hata hapa jamaa anaweza toa ushahidi alikopa ngapi na walompa ni ngapi na wanataka arudishe ngapi, yaani utacheka.
 
Nimekopa elfu 78 natakiwa kurudisha laki na elfu nne na ushee
 
BOT imetoa tamko Hilo lini?
 
NAJUTA Mimi jamani najutaaa
Usiogope kilngozi, wakati unakopa walikupatia Na ilikusaidia sasa hapa chagua moja Kati ya haya mawili
1.Lipa mkopo wao then achana nao au
2.Kila SMS wanayotuma we pigs block, wakipiga simu namba mpya piga block ukishablock namba kama 20 hv utakuwa umewamaliza mwisho watawatafuta watu kadhaa kwenye phonebook yako watawapigia mwisho wataacha.. Futa app yao achana nao (Utadhalilika kiasi maana watakayempigia Mimi na wewe hawatuwajui yamkini baba/mama mkwe usiwaze hayo wewe ni kukaza tu)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…