Najuta kuchukua mkopo “Pesa X”

Najuta kuchukua mkopo “Pesa X”

Yanayokukuta ndo yanayonikuta,kiufupi nshaamua siwalipi kama vipi ubaya ubwela. Unajua ni kwann siwalipi? Iko hivi.... nilichukua elfu 70 lakini katika simu ikaingia kama 57k afu wananitaka nilipe 90k baada ya wiki. Tatizo ni kua baada ya siku tatu zikaanza meseji kibao toka kwao,kesho yake wakaanza kupiga simu nikapokea,alooo huyo dada anavyoongea sio kistaarabu hataki kusikiliza lolote kama ananikaripia vile.
Nikasema kumbe ndo zenu sasa tuone,sijalipa hata mia wanapiga simu kwa namba tofauti naziangalia tu. Wakawapigia wadhamini wangu na wao nikawapanga nikawaambia wawaulize kwann kabla hamjampa hela huyo mtu hamjapiga kuniulia kama niko tayari kumdhamini. Hawajawapigia tena.
Mimi Bado sjasnza kupigwa simu
 
Yanayokukuta ndo yanayonikuta,kiufupi nshaamua siwalipi kama vipi ubaya ubwela. Unajua ni kwann siwalipi? Iko hivi.... nilichukua elfu 70 lakini katika simu ikaingia kama 57k afu wananitaka nilipe 90k baada ya wiki. Tatizo ni kua baada ya siku tatu zikaanza meseji kibao toka kwao,kesho yake wakaanza kupiga simu nikapokea,alooo huyo dada anavyoongea sio kistaarabu hataki kusikiliza lolote kama ananikaripia vile.
Nikasema kumbe ndo zenu sasa tuone,sijalipa hata mia wanapiga simu kwa namba tofauti naziangalia tu. Wakawapigia wadhamini wangu na wao nikawapanga nikawaambia wawaulize kwann kabla hamjampa hela huyo mtu hamjapiga kuniulia kama niko tayari kumdhamini. Hawajawapigia tena.
Siku hizi wamebadilisha utaratibu kumbe.
 
Yanayokukuta ndo yanayonikuta,kiufupi nshaamua siwalipi kama vipi ubaya ubwela. Unajua ni kwann siwalipi? Iko hivi.... nilichukua elfu 70 lakini katika simu ikaingia kama 57k afu wananitaka nilipe 90k baada ya wiki. Tatizo ni kua baada ya siku tatu zikaanza meseji kibao toka kwao,kesho yake wakaanza kupiga simu nikapokea,alooo huyo dada anavyoongea sio kistaarabu hataki kusikiliza lolote kama ananikaripia vile.
Nikasema kumbe ndo zenu sasa tuone,sijalipa hata mia wanapiga simu kwa namba tofauti naziangalia tu. Wakawapigia wadhamini wangu na wao nikawapanga nikawaambia wawaulize kwann kabla hamjampa hela huyo mtu hamjapiga kuniulia kama niko tayari kumdhamini. Hawajawapigia tena.
Usione wanakupigia wanakatwa nshahara ayao kazi moja ya kishenz yaan kila mfanyakazz ana cust wake mdada mmmoja alilia mbaya nsaidie kaka nakatwaa mshahara
 
Dooh Sasa wao walijuaje au ndo udhalilishaji wenyew?
Wanakuzushia tu kama kukukomoa ili uwalipe.
Kuna wengine walitangazwa hadi FB wanajiuza.
Kuna sista mmoja anakaa Mabibo walichukua picha zake wakaunda account ya FB kuwa anajiuza na wakaweka na no zake za simu.
Kidume nikasema embu nijaribu heee kumbe muhanga wa hao kina mkopo fasta😂😂😂😂😂😂😂😂.
Hata hajiuzi dada wa watu.
Sasa unashangaa mtu ameshakudhalilisha unamlipa ya nini?
 
Wanakuzushia tu kama kukukomoa ili uwalipe.
Kuna wengine walitangazwa hadi FB wanajiuza.
Kuna sista mmoja anakaa Mabibo walichukua picha zake wakaunda account ya FB kuwa anajiuza na wakaweka na no zake za simu.
Kidume nikasema embu nijaribu heee kumbe muhanga wa hao kina mkopo fasta😂😂😂😂😂😂😂😂.
Hata hajiuzi dada wa watu.
Sasa unashangaa mtu ameshakudhalilisha unamlipa ya nini?
Aisee 😄
 
Hata ukifuta namba naskia haisaidii
Inasaidia mkuu.
Nisikilize kwa mara ya mwisho,futa application yao pia futa email adress yako unda email adress mpya ikiwezekana Google account yote badilisha.
Halafu kwenye simu yako kuna sehemu imeandikwa "block unknown contacts". Hapa namba yeyote ambayo hujaisave inablokiwa hawakupati kwa simu.
Ila sms wanaweza kukurushia.
Sasa ukiona sms nazo zinakusumbua ifungie laini kwa muda wasikupate kama miezi miwili hivi.
 
Chexea kote sio oya balaaaa
OYA wanakufata tu nyumbani kaka.
Nimewakopa na nimebakiza deni la elfu 98 kumaliza mkopo wao.
Na watu wamewalalamikia kuwa wanavyowafata na magari inawadhalilisha, kwasababu mkopo ni suala binafsi la mtu.
Sasa hivi wanakuja kwa miguu na wanakuja kimya kimya mnadaiana kimya kimya.
 
Inasaidia mkuu.
Nisikilize kwa mara ya mwisho,futa application yao pia futa email adress yako unda email adress mpya ikiwezekana Google account yote badilisha.
Halafu kwenye simu yako kuna sehemu imeandikwa "block unknown contacts". Hapa namba yeyote ambayo hujaisave inablokiwa hawakupati kwa simu.
Ila sms wanaweza kukurushia.
Sasa ukiona sms nazo zinakusumbua ifungie laini kwa muda wasikupate kama miezi miwili hivi.
Application nishafuta

Labda hiyo ku block unknown contact ndo sjui Iko wapi walau niwa block kwa muda huku nkiwataftia pesa Yao taratibu
 
Back
Top Bottom