- Thread starter
- #181
DoohM WALINITENGENEZEA GRP LA WHATSUP SIKUWALIPA MPAAKA KESHO
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DoohM WALINITENGENEZEA GRP LA WHATSUP SIKUWALIPA MPAAKA KESHO
Mimi Bado sjasnza kupigwa simuYanayokukuta ndo yanayonikuta,kiufupi nshaamua siwalipi kama vipi ubaya ubwela. Unajua ni kwann siwalipi? Iko hivi.... nilichukua elfu 70 lakini katika simu ikaingia kama 57k afu wananitaka nilipe 90k baada ya wiki. Tatizo ni kua baada ya siku tatu zikaanza meseji kibao toka kwao,kesho yake wakaanza kupiga simu nikapokea,alooo huyo dada anavyoongea sio kistaarabu hataki kusikiliza lolote kama ananikaripia vile.
Nikasema kumbe ndo zenu sasa tuone,sijalipa hata mia wanapiga simu kwa namba tofauti naziangalia tu. Wakawapigia wadhamini wangu na wao nikawapanga nikawaambia wawaulize kwann kabla hamjampa hela huyo mtu hamjapiga kuniulia kama niko tayari kumdhamini. Hawajawapigia tena.
Siku hizi wamebadilisha utaratibu kumbe.Yanayokukuta ndo yanayonikuta,kiufupi nshaamua siwalipi kama vipi ubaya ubwela. Unajua ni kwann siwalipi? Iko hivi.... nilichukua elfu 70 lakini katika simu ikaingia kama 57k afu wananitaka nilipe 90k baada ya wiki. Tatizo ni kua baada ya siku tatu zikaanza meseji kibao toka kwao,kesho yake wakaanza kupiga simu nikapokea,alooo huyo dada anavyoongea sio kistaarabu hataki kusikiliza lolote kama ananikaripia vile.
Nikasema kumbe ndo zenu sasa tuone,sijalipa hata mia wanapiga simu kwa namba tofauti naziangalia tu. Wakawapigia wadhamini wangu na wao nikawapanga nikawaambia wawaulize kwann kabla hamjampa hela huyo mtu hamjapiga kuniulia kama niko tayari kumdhamini. Hawajawapigia tena.
Shida inaanzia kukimbiwa, kisha mteja anajiuliza asipolipa utamfanya nini 😹😹😹Ni makubaliano tu. Unataka 50,000 unapewa 35,000 unarudisha 50,000. Take it or leave it.
Usione wanakupigia wanakatwa nshahara ayao kazi moja ya kishenz yaan kila mfanyakazz ana cust wake mdada mmmoja alilia mbaya nsaidie kaka nakatwaa mshaharaYanayokukuta ndo yanayonikuta,kiufupi nshaamua siwalipi kama vipi ubaya ubwela. Unajua ni kwann siwalipi? Iko hivi.... nilichukua elfu 70 lakini katika simu ikaingia kama 57k afu wananitaka nilipe 90k baada ya wiki. Tatizo ni kua baada ya siku tatu zikaanza meseji kibao toka kwao,kesho yake wakaanza kupiga simu nikapokea,alooo huyo dada anavyoongea sio kistaarabu hataki kusikiliza lolote kama ananikaripia vile.
Nikasema kumbe ndo zenu sasa tuone,sijalipa hata mia wanapiga simu kwa namba tofauti naziangalia tu. Wakawapigia wadhamini wangu na wao nikawapanga nikawaambia wawaulize kwann kabla hamjampa hela huyo mtu hamjapiga kuniulia kama niko tayari kumdhamini. Hawajawapigia tena.
Wanakuzushia tu kama kukukomoa ili uwalipe.Dooh Sasa wao walijuaje au ndo udhalilishaji wenyew?
Aisee 😄Wanakuzushia tu kama kukukomoa ili uwalipe.
Kuna wengine walitangazwa hadi FB wanajiuza.
Kuna sista mmoja anakaa Mabibo walichukua picha zake wakaunda account ya FB kuwa anajiuza na wakaweka na no zake za simu.
Kidume nikasema embu nijaribu heee kumbe muhanga wa hao kina mkopo fasta😂😂😂😂😂😂😂😂.
Hata hajiuzi dada wa watu.
Sasa unashangaa mtu ameshakudhalilisha unamlipa ya nini?
Hata ukifuta namba naskia haisaidiiDawa yao ni kuwa na laini mpya na phone book iwe tupu kabisa.
Wangese sana hao watu.
Yani hawa ni kuwatapeli mpaka wakome.Aisee 😄
Chexea kote sio oya balaaaaYani hawa ni kuwatapeli mpaka wakome.
Kama mashirika ya mikopo si yapo kama kina OYA mbona huwasikii wakidhalilisha watu!??
Lengo lao ni nn hasa? Kama ukiwalipa hawakupi Tena! Au Kuna something secretShida inaanzia kukimbiwa, kisha mteja anajiuliza asipolipa utamfanya nini 😹😹😹
Serikali inapaswa kuingilia kati ila imelalaUsione wanakupigia wanakatwa nshahara ayao kazi moja ya kishenz yaan kila mfanyakazz ana cust wake mdada mmmoja alilia mbaya nsaidie kaka nakatwaa mshahara
Kwani umechukua ngapi kaka kama hutojaliWiki iliyopita si ni li kopa pesa x ikawa natakiwa nirejeshe pesa nusu mara mbili ndani ya siku 14 yani kila baada ya siku Saba nirejeshe.
Sasa rejesho la kwanza lilikuwa jana ila cha moto nakipata! Aloo najuta, sio kwa meseji hizo ninazotumiwa!
Kwani nisipolipa watanifanya nini tofauti na kuwapigia wadhamini wangu?
Pia soma: Nape: Tumewaagiza TCRA wachunguze wale wanaodhalilisha watu waliowakopesha Mtandaoni
Wamewahi kufanya nini kwa mteja ambae hajalipa?Chexea kote sio oya balaaaa
Inasaidia mkuu.Hata ukifuta namba naskia haisaidii
OYA wanakufata tu nyumbani kaka.Chexea kote sio oya balaaaa
Application nishafutaInasaidia mkuu.
Nisikilize kwa mara ya mwisho,futa application yao pia futa email adress yako unda email adress mpya ikiwezekana Google account yote badilisha.
Halafu kwenye simu yako kuna sehemu imeandikwa "block unknown contacts". Hapa namba yeyote ambayo hujaisave inablokiwa hawakupati kwa simu.
Ila sms wanaweza kukurushia.
Sasa ukiona sms nazo zinakusumbua ifungie laini kwa muda wasikupate kama miezi miwili hivi.
Nilichukua elfu 78 natakiwa kulipa laki Moja na elfu Tano na vicent kadhaa kwa awamu mbili tarehe ya rejesho la kwanza lilikuwa Jana mkuuKwani umechukua ngapi kaka kama hutojali