Teh.! Jamani tuwe tunasoma kwa kina na tunamaliza hbr nzima ndo tucomment.!!Kwanini usimnyang'anye?
Haya mawazo ya Kijinga. Hakuna kitu kisicho kibaya duniani ikiwa kitapitiliza. Kuna watu wanavuta ugolo au bangi mpaka wanakuwa mateja. Utasema freemason? Kuna watu wanapenda ngoma mpaka basi....miaka yetu sisi watoto walikuwa mpaka wanapotea kwa mdundiko wala si freemason. Waswahili mkishindwa kufikiri jibu rahisi ni freemason.Mkuu ni freemason na agenda zao za siri. Walianzisha haya magemu kimaksudi tu. Haya ma whatsapp TikTok, fb, tinder l, mastercard, visa, visa electron, fifa, worldcup, epl, dstv, KFC, McDonald's, Netflix, western union etc ni wao. Yani freemason wanavuruga sana akili za madogo. Haya magemu ya ps Smart911 anayajulia sana.
Mkuu Stress Challenger [emoji23][emoji23][emoji23]Umkute sasa mpwayungu village na UMUGHAKA wakicheza assassin Creed utapenda.
Hawatoki room ni Ronaldooo🤣🤣🤣Kuna madogo hapa nyumbani walinidanganya walisema anko tununulie PS tunaweka CD za masomo and bla bla pia Kuna games za hesabu na nini kumbe Yananipiga kamba Sasa na uzee huu nikazama mfukoni wakaenda kununua aisee kila siku yanalala saa Saba ukipita karibu na chumba Chao unasikia tu Mara Ronaldo with the ball..nampango wa kuichukua kuifungia chumbani
Ukimuachisha chap, atapata matatizo ya akiliAkiachiwa acheze Hadi imkinai hapo inategemeana na mtu Sasa, wengine Hadi iwakinai ni Baada ya miaka.
Hili tatizo nimejaribu ku google linaitwa gaming addiction, ni tatizo kubwa sana hili.
Nadhani inabidi dogo apelekwe bush huko hakuna hata UMEME akae miezi 6 hivi
Simu za wanawake,ps za wajubaaKwani haya magame yana raha gani juzi nimeona graduate mmoja katika zawadi alipewa option mbilii achague kati ya iPhone 14 na ps5 aka chagua game dadeki
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuna madogo hapa nyumbani walinidanganya walisema anko tununulie PS tunaweka CD za masomo and bla bla pia Kuna games za hesabu na nini kumbe Yananipiga kamba Sasa na uzee huu nikazama mfukoni wakaenda kununua aisee kila siku yanalala saa Saba ukipita karibu na chumba Chao unasikia tu Mara Ronaldo with the ball..nampango wa kuichukua kuifungia chumbani
ohNow kuna Call of Duty modern warfare II akina captain price wamerudi tena na Bravo six team.[emoji119][emoji23][emoji23]
Mimi nilikua nakesha kabisa, nalala asubuh[emoji16]nshapitia huko kipindi fulani hadi nikawa nalala saa 9 usiku ila nikikuja kuacha mwenyewe, muda utafika ataacha
[emoji1787][emoji1787]Mimi nilikua nakesha kabisa, nalala asubuh[emoji16]