X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 10,400
- 14,339
- Thread starter
-
- #161
Yap...ivi sasa sitaki hata kulisikia neno jeshi lolote...! Nimeamua kufocus na mambo mengine pengine hata kuama nchi Niki pata nafasi...Duh Miaka 10🙄
Achana nayo, fanya mishe zingine
Huwezi.jua,ukipata labda utakufa kifuani kwa Malaya,hebu jaribu kuanzisha kitu ukipendacho.
Tatizo ni kutomshirikisha baba yako kwenye lawama zako. Nyie watoto mliolishwa maneno ovu na mama zenu siku zote mnawachukulia baba zenu kama hamnazo.Kuna muda wa kina baba Huwa wanakosea sana. Hivyo kwakuwa nimeamua kujilaumu mwenyewe sijapenda sana kumzungumzia baba kwasababu ingepelekea Mimi kumlaumu.
Itoshe TU kusema kuwa Kuna vitabia vya kiarabu ambayo vimekuja kututia UMASIKINI sana sisi waafrika. Yani hatujaona jambo jema kuliiga Zaidi ya kuoa wake wengi. Mwisho wa siku familia inamshinda😭😭😭
Mkuu Nina mengi ya kuzungumza ila Leo nilitaka kujilaumu mwenyewe ili nisinge mbele.
Mwaka 1990 ni zamani kumbe?Zamani hawajali uwe kiwango gani cha elimu wao wanakudisqualified umesikia babu
Na unaweza kukuta huu uchovu alio nao umechangiwa na kiburi alicho nacho cha kumpuuza baba.Si ndio hapo sasa
Kina baba wako underrated kinyama....sio fair
Kwahiyo usipokuwa sekretare huwezi kujiendeleza zaidi?Uskretari ilikuwa ni njia TU kama angepata walau angejisomesha akapanda Zaidi na Zaidi.
Me too,you're not aloneNa ni Bora anichukue Mimi kwanza japo natamani sana siku Mungu atakayonichukua anichukue nikiwa nimemuacha Mama yangu pazuri 😭😭😭
Kwahiyo usipokuwa sekretare huwezi kujiendeleza zaidi?Uskretari ilikuwa ni njia TU kama angepata walau angejisomesha akapanda Zaidi na Zaidi.
KumbeThread yote hii hujamzungumzia baba kabisa.
Watoto wa mama mnapenda sana kudeka.
Ndio nyie mnapaswa kuitwa JUNIA.
Pambana dogo janja acha kulialia na kubweteka na kukumbuka historia za kibwege kama izoMimi ni kijana Ambae nimezaliwa mwanzoni mwa mwaka 1990. Hapa hapa kwenye jiji la MAKONDA. Japo Baba na Mama yangu Kila mmoja ni mwenyeji wa mkoa wake.
Mama yangu alibahatika kusoma Hadi darasa la 7. Alifanikiwa kusoma typing enzi hizo ilikuwa hot sana kozi hiyo kama ilivyo computer siku hizi. Alisomeshwa hiyo kozi ili atafutiwe kazi ukizingatia kuwa mjomba wake alikuwa na cheo kikubwa TU wizara ya AFYA {R.I.P BABU}
Bahati haikuwa yake kwani katika harakati hizo za kutafutiwa kazi ikagundulika kuwa yeye Mama ni mjamzito. Hapo ndipo maisha yake yalipoanza kuwa ya kawaida nadhani mimba hiyo ilimtoa kabisa kwenye reli😭😭😭
Wenzie aliosoma nao enzi hizo Wana maisha mazuri na majina makubwa mfano Mtendaji mkuu wa NMB. Mh Ruth Zaipuna amesoma na mama yangu darasa Moja.
Nisingekuwa mimi kuja Duniani pengine mama yangu hivi sasa angekuwa mbali sana kimaisha.
Ujio wangu hapa Dunia umefanya mama amekuwa na maisha ya kawaida sana. Amehangaika sana na kwa kiasi Fulani Bado ananihangaikia😭😭😭
Nina huzuni sana licha ya kuwa nimesoma lakini elimu yangu haijanisaidia. Ni kama ubongo wangu umefungwa minyororo nashindwa Cha kufanya😭😭😭
View attachment 2808722
Na umri wangu huu nikiumwa ikahitaji milioni 1 TU haki vile nitakufa huku najiona. Umri wa mama yangu unaenda Kwa Kasi itafikia kipindi ataitaji msaada wangu.
Na Mimi Bado najitafuta japo namuomba sana Mungu anisaidie nijipate haraka. Na Nina muomba sana Mungu asimchukue mama yangu kabla sijajipata. Na ni Bora anichukue Mimi kwanza japo natamani sana siku Mungu atakayonichukua anichukue nikiwa nimemuacha Mama yangu pazuri 😭😭😭
Mwenzenu najuta sana kumpa mama yangu UMASIKINI
Unatumia pombe?Amesoma darasa Moja na mama yangu. Huko kijijini Kwao singida.
Napambana sana ndugu yangu ila Kila siku naanza upya. maisha ni magumu...sana😭😭😭
Kadhia gani?Nashukuru ila sijafikia atua ya kuolewa. Kikubwa boss mshukuru Mungu pengine huijui changamoto na Wala usiombe ukumbwe na kadhia hii...!
Hakuna kitu kina replace thamani ya mtoto Kwa mama.... mtoto wako thamani yake anaijua aliyemzaa na wewe...ngoja nikupe swali la kizushi, what if umeshakufa halafu inakuja kujulikana kabisa Kwa vinasaba huyo mtoto kumbe ulipewa tu zawadi kumbe ni wa Denis? 😁😁😁Shukrani sana. Japo nimebahatika kumletea wajukuu🤣🤣 🤣 hivyo hata nikitangulia wajukuu zake SI wapo watareplace nafasi yangu...
Sawa...Tatizo ni kutomshirikisha baba yako kwenye lawama zako. Nyie watoto mliolishwa maneno ovu na mama zenu siku zote mnawachukulia baba zenu kama hamnazo.
Na mtaishia pabaya siku zote.
Imeandikwa waheshimu Baba na Mama yako upate heri na siku nyingj duniani.
Hyo mifano yako ni irrelevant mkuu. Hata mzee wangu kasoma na JK lakini hakuwa kama JK kimaisha.Ni mfano wa watu waliosoma na mama yangu. Wapo wengi. Na Wala sijamtaja Kwa ubaya..!
Sinywi Wala. Sivuti. Situmii kilevi chochote...!Unatumia pombe?