Najuta kumtia umasikini Mama yangu

Huwezi.jua,ukipata labda utakufa kifuani kwa Malaya,hebu jaribu kuanzisha kitu ukipendacho.
Kwenye umalaya Mimi sipo kwasababu huo umalaya Kwa kiasi Fulani umeibomoa sana familia yetu. Hadi Leo hii nimekuwa mtu wa kulaumu. Ndio maana kwenye andiko langu hili hujaona sehemu nimemtaja BABA. isingekuwa yeye kuendekeza chini Leo hii Mimi pengine ningekuwa kwenye nafasi nzuri TU😭😭😭

Kwa hiyo Mimi Nina uchungu siwezi kuendekeza chini. Japo napapenda ila Kwa mtu mmoja TU🤣🤣🤣​
 
Tatizo ni kutomshirikisha baba yako kwenye lawama zako. Nyie watoto mliolishwa maneno ovu na mama zenu siku zote mnawachukulia baba zenu kama hamnazo.

Na mtaishia pabaya siku zote.

Imeandikwa waheshimu Baba na Mama yako upate heri na siku nyingj duniani.
 
Si ndio hapo sasa

Kina baba wako underrated kinyama....sio fair
Na unaweza kukuta huu uchovu alio nao umechangiwa na kiburi alicho nacho cha kumpuuza baba.

Watoto wa mama wana tabu sana. Hata kutongoza anaomba ushauri kwa mama.
 
Pambana dogo janja acha kulialia na kubweteka na kukumbuka historia za kibwege kama izo
 
Mtoa Mada upo too negative
Usibadilisha mindest itakuchukua Muda mrefu kufikia MAFANIKIO

Acha kuongea maneno negative Kama hayo kwa kufanya hivyo unairuhusu hiyo hali kutawala Maisha yako.

Acha kulalamika
Kuwa mtu kushukuru jjfunze the power of Gratitude

Kila wakati kuwa mtu wa Kulivaa tumaini
 
Sioni uhusiano hapo mimi mama yangu mkubwa hakusoma darasa hata moja hajui hata kuandika ila watoto wake wote wako Sydney -Australia.Mimi mama yangu alisoma soma ila mwanae nipo bado natombanisha mijusi tu.Kaza wewe maisha yako ni jukumu lako hata ulie kuanzia sasa mpaka Jan,2024 hakuna kitakachobadilika zaidi ya kupambana.
 
Shukrani sana. Japo nimebahatika kumletea wajukuu🤣🤣 🤣 hivyo hata nikitangulia wajukuu zake SI wapo watareplace nafasi yangu...​
Hakuna kitu kina replace thamani ya mtoto Kwa mama.... mtoto wako thamani yake anaijua aliyemzaa na wewe...ngoja nikupe swali la kizushi, what if umeshakufa halafu inakuja kujulikana kabisa Kwa vinasaba huyo mtoto kumbe ulipewa tu zawadi kumbe ni wa Denis? 😁😁😁
 
Nikadhani uliiba mali za mama yako, kumbe alibeba mimba yako. Sasa wewe unahusikaje kwenye hilo? Kwani mchakato huo wa mimba Wewe ulihusika?

ndio maana under 30, mnajiua sana siku hizi.
 
Sawa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…