Ungechukua ya diesel 4m41,, cc3100 au petrol cc3000v6 hiyo 3500 ni kubwaMwaka 2019 nilijichanganya kwenye 2009 Mitsubishi Pajero 3,500Di-DAuto, Petrol. Kitu inakunywa karibia 21 litres/100km (highway). Pesa mzozo bado nalipa deni la NMB. Gari haliuziki.
NB: kupenda sifa kumenitokea puani.
Mkuu tank ya gari gani inaingia 70 litres?Mnanunua gari zikiwa vimeo mnakuja kuzibatiza majina ya ajabu ajabu,
Yaani 70 litres ushindwe kutoboa kilometa zisizozidi 250???
Hiyo gari ikiwa full tank unatoboa Dar Makambako vizuri kabisa kama ni nzima.
Ninadhani anamaanisha tank la Brevis.Mkuu tank ya gari gani inaingia 70 litres?
Uza kwa bei rahisi!Mwaka 2019 nilijichanganya kwenye 2009 Mitsubishi Pajero 3,500Di-DAuto, Petrol. Kitu inakunywa karibia 21 litres/100km (highway). Pesa mzozo bado nalipa deni la NMB. Gari haliuziki.
NB: kupenda sifa kumenitokea puani.
Haiwezakani maximum ni 40 littres, tu.Ninadhani anamaanisha tank la Brevis.
Cc 3,500 hapo ni kama IST 3 za CC 1,200!Mwaka 2019 nilijichanganya kwenye 2009 Mitsubishi Pajero 3,500Di-DAuto, Petrol. Kitu inakunywa karibia 21 litres/100km (highway). Pesa mzozo bado nalipa deni la NMB. Gari haliuziki.
NB: kupenda sifa kumenitokea puani.
Chief iyo limit wewe umeitolea wapi.Haiwezakani maximum ni 40 littres, tu.
Highway 2.1 litres kwa kilomita 10. Rough road itakuwa lita moja kwa kilomita moja, mbona mzozo.Mwaka 2019 nilijichanganya kwenye 2009 Mitsubishi Pajero 3,500Di-DAuto, Petrol. Kitu inakunywa karibia 21 litres/100km (highway). Pesa mzozo bado nalipa deni la NMB. Gari haliuziki.
NB: kupenda sifa kumenitokea puani.
Kwa kilomita 100 inatumia lita ngapi? Ni zaidi ya hizo lita 21?Mbona hiyo gari nzuri labda kipato chako ndo duni njoo tubadilishane na Nissan patrol 4500cc diesel......ndo utajua kwamba mjini kuna watu wanaishi kwa gharama kubwa.
Lita 21 inaenda karibia 150km na ina 4500 cc, huyu muongo alinunua machine mbovuKwa kilomita 100 inatumia lita ngapi? Ni zaidi ya hizo lita 21?
Ile spacio uliyokuwa unasema inatoa mlio wa ajabu kwenye engine?TUBADILISHANE
NIKUPE
TOYOTA SPACIO
Nione picha, Mimi nilitumia Mitsubishi pajero karibu 3 years na hijanisumbua kabisaMwaka 2019 nilijichanganya kwenye 2009 Mitsubishi Pajero 3,500Di-DAuto, Petrol. Kitu inakunywa karibia 21 litres/100km (highway). Pesa mzozo bado nalipa deni la NMB. Gari haliuziki.
NB: kupenda sifa kumenitokea puani.
Hizo reviews mara nyingi hazikupi uhalisia, halafu ni za gari mpya. Gari ikishatembea km 100,000 halafu ukae kwenye foleni za Dar ndio utaona balaa. Watu wengi mjini hawafuatilii tu, ila mambo ya 5km per litre ni mengiHuyo kanunua mkweche, nimefatilia reviews zake hiy gari inakupa 10km/l mpaka 12km/l.
Shida ya kupenda dezo ndio hiyo..
Sikubaliani na wewe ushuhuda ninao mwenyewe nimetumia Mitsubishi pajero kwa miaka mitatu na ilikua gari reliable sanaMitsubishi pajero garo za kijinga Sana Kama Discovery 3 tu
Mkuu, gari za 1500cc (ist, ractis, raum) ndio zina tank capacity ya lita 42, ila gari za 2500cc (mark x, crown, brevis) tanki lake ni lita 70.Haiwezakani maximum ni 40 littres, tu.
Hizo gari hazina ulaji huo wa mafuta hasa zile za diesel.Nadhani alijichanganya hapa
Fafanua, ni kwa namna gani tank capacity ya lita 70 max iwe 40? Nilishakuwa na gari yenye tank la lita 50, taa ya mafuta ikiwaka, nilikuwa naweka hadi lita 45.Haiwezakani maximum ni 40 littres, tu.