DR SANTOS
JF-Expert Member
- Mar 11, 2019
- 12,846
- 28,106
Ndio yalinikuta ndugu yangu mbeya njombe haifiki 250kmMnanunua gari zikiwa vimeo mnakuja kuzibatiza majina ya ajabu ajabu,
Yaani 70 litres ushindwe kutoboa kilometa zisizozidi 250???
Hiyo gari ikiwa full tank unatoboa Dar Makambako vizuri kabisa kama ni nzima.