Ndio yalinikuta ndugu yangu mbeya njombe haifiki 250kmMnanunua gari zikiwa vimeo mnakuja kuzibatiza majina ya ajabu ajabu,
Yaani 70 litres ushindwe kutoboa kilometa zisizozidi 250???
Hiyo gari ikiwa full tank unatoboa Dar Makambako vizuri kabisa kama ni nzima.
Brevis na sedan nyingi ni lita 70Mkuu tank ya gari gani inaingia 70 litres?
Sawa nimesha kupata.Chief iyo limit wewe umeitolea wapi.
1. Toyota Kluger 2005 tank capacity ni 70ltrs.
2. Prado 150 - 87ltrs
3. Land cruiser 110 ltrs
4. Brevis 70ltrs
Hizo ni gari ambazo nina experience nazo mini binafsi upande wa fuel tank capacity.
Sasa kuna pacha wake brevis anaitwa progress nae ni mle mleHizo reviews mara nyingi hazikupi uhalisia, halafu ni za gari mpya. Gari ikishatembea km 100,000 halafu ukae kwenye foleni za Dar ndio utaona balaa. Watu wengi mjini hawafuatilii tu, ila mambo ya 5km per litre ni mengi
Kwa hizo cc3500 halafu ni petrol inaweza kua halaliHizo gari hazina ulaji huo wa mafuta hasa zile za diesel.
Hiyo gari pengine ina shida Tu
Mwaka 2019 nilijichanganya kwenye 2009 Mitsubishi Pajero 3,500Di-DAuto, Petrol. Kitu inakunywa karibia 21 litres/100km (highway). Pesa mzozo bado nalipa deni la NMB. Gari haliuziki.
NB: kupenda sifa kumenitokea puani.
😀😀😀 laki 8Nilichukua brevis kwa bei ya kutupa 2m mbona niliuza laki nane gari full tank njombe tunduma haitoboi
Dah, hiyo gari mbona ni kama inanusa tu mafuta halafu wewe unaisingizia kwamba inakula mafuta? Watu mnajua kudeka aisee.Mwaka 2019 nilijichanganya kwenye 2009 Mitsubishi Pajero 3,500Di-DAuto, Petrol. Kitu inakunywa karibia 21 litres/100km (highway). Pesa mzozo bado nalipa deni la NMB. Gari haliuziki.
NB: kupenda sifa kumenitokea puani.
BMW X5 inachukua 82.9 litres (21.9 gallons)Mkuu tank ya gari gani inaingia 70 litres?
Watanzania wengi hatuna good knowledge ya magari , unaponunua gari angalia kwanza consumption, reliability, depreciation rate, matumizi yako, na vitu vinavyosumbua kwenye gari husika kama upo tayari kuvimuduMwaka 2019 nilijichanganya kwenye 2009 Mitsubishi Pajero 3,500Di-DAuto, Petrol. Kitu inakunywa karibia 21 litres/100km (highway). Pesa mzozo bado nalipa deni la NMB. Gari haliuziki.
NB: kupenda sifa kumenitokea puani.
Mwaka 2019 nilijichanganya kwenye 2009 Mitsubishi Pajero 3,500Di-DAuto, Petrol. Kitu inakunywa karibia 21 litres/100km (highway). Pesa mzozo bado nalipa deni la NMB. Gari haliuziki.
NB: kupenda sifa kumenitokea puani.
Gari haiuziki kubaabake brevis 250AI😀😀😀 laki 8
Uko sahihi sana, kwa mahesbu rahisi tu gari za toyota huwa zina range ya km 500 plus kwa full tank, 40 litres anayosemea kwa engine za brevis haiwezi kufika km300,Chief iyo limit wewe umeitolea wapi.
1. Toyota Kluger 2005 tank capacity ni 70ltrs.
2. Prado 150 - 87ltrs
3. Land cruiser 110 ltrs
4. Brevis 70ltrs
Hizo ni gari ambazo nina experience nazo mini binafsi upande wa fuel tank capacity.
Haya mambo yote yapo online siku hizi.Watanzania wengi hatuna good knowledge ya magari , unaponunua gari angalia kwanza consumption, reliability, depreciation rate, matumizi yako, na vitu vinavyosumbua kwenye gari husika kama upo tayari kuvimudu
Kabla sijanunua gari huwa najiridhisha na hayo kwanza ,hata nikinunua likitokea la kutokea huwa tayari nina abc na najua kifuatacho ITV
Watu wengi mjini hawafuatilii tu, ila mambo ya 5km per litre ni mengi
Samahani bossMitsubishi pajero garo za kijinga Sana Kama Discovery 3 tu
Labda kuna mahali panavuja mafuta!Basi hata Mimi Corolla yangu Ina shida maana km 22/l0 litre ,wajuvi semeni neno hapa
Hio ni jeep kwenye brand ya toyotaBasi hata Mimi Corolla yangu Ina shida maana km 22/l0 litre ,wajuvi semeni neno hapa
Nitajie ujinga wa Discovery 3...Mitsubishi pajero garo za kijinga Sana Kama Discovery 3 tu