Najuta kuwekeza kwenye kiwanja na nyumba ya mwanamke

Wee lengo lako Ni kukata ndoano

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Msiachane, huo ni upepo tu umepita; unaweza kutafuta part time/mchepuko wa kukuweka bize pale mtakapo tofautiana na mwenzio, ila usivinje ndoa.
Hiki kitu sitakuja kuelewa hata siku moja unajua. Yaani unamajukumu na imefikia hatua mwanamke amekupita maarifa amekuzidi kiuwezo mithili ya kukudharau lakini unalazimisha kuongeza mzigo mwingine ambapo utajiharibia ustawi wa maendeleo yako tena kwakitendo cha muda mfupi tu[emoji23][emoji23]. Sijui wanaume wengine, ila kama ikitokea nimefikia hatua hiyo my devotion is to work 2407. You put value into pleasures more than your life duh! Sijui ila nafikiri wanaume wengi kipindi cha ubachela hatuwezi kuishi peke yetu kila muda kubadilisha mwanamke ila kama ulizoea kukaa mwenyewe hata itokee nini maisha ya upeke yako yana amani sana, ninachohitaji ni pumzi na baraka za Mwenyezi Mungu ili nijitume kufika nitakapo.
 
Nenda mahakamani kaombe mgawane mali🤔
 
Muulize Mama yako maana aliolewa na Baba yako wewe ndo ukazaliwe, umkosoe na yeye
Mada kama hizi, tena za mtandaoni kuingiza na kutukaniana wazazi ni utoto na kutokuwa na heshima. Sasa mama anaingizwa hapo ili iweje, tunawatukana wazazi bure bila sababu za msingi ili uonekane mshindi. Aisee!
 
Kuna hatua utafikia, kichwa cha chini kitakuwa kinasumbua kutaka kumuona mwenzake, sasa kama mama watoto hataki, utakimbilia wapi, au utakamata kuku?
 
Ila za wanawake sio za kupigia hesabu otherwise ziwe chini yako yaani atoe aweke mezani mjue Cha kufanya Kwa pamoja
Afadhali wew alikushirikisha kununua kiwanja kunawenzio wakezao Wana nyumba Hadi 3 za maana na waume hawajui
 
Kuna hatua utafikia, kichwa cha chini kitakuwa kinasumbua kutaka kumuona mwenzake, sasa kama mama watoto hataki, utakimbilia wapi, au utakamata kuku?
Ndio maana nikakwambia tunatofautiana hata mimi nawashangaa, nikiwa katika majukumu yaani hata hicho kichwa cha chini kama hakipo vile sembuse nikidharauliwa hivyo. Nimeishi miaka 25 bila kumjua mwanamke sembuse kukaa miezi kadhaa au mwaka 1 au 2 kujijenga. Mahusiano yenyewe nilijaribu mara 3 nayote ni stress tupu sasa sijui mtu kwanini ukimbilie vimada nahuku tayari unabomu lililolipuka ndani, yaani I just don't get it. Tamaa kama ulizoea kuzicontrol kamwe hazitakuendesha, ndiyo maana nikasema kipindi cha ubachela tunakuwaga tunaruka sana ili tu usibaki mpweke, ila kama ulishazoea, hamnaga shida.
 
[emoji419][emoji419][emoji419]Bila kusahau sauti iwe ya kiume ukifanya maamuz otherwise ni majanga
Shikamoo! Unajua kuwa mwanaume akifanya yote hayo katika kizazi hiki anatafsiriwa kuwa ni muonezi na mbabe. Mwanamke msomi hajaweza kujua anahitaji nini, ukileta full masculinity traits atalia kwa jamii kuwa unamuonea na ni mbabe pia humpendi. Pia ukiishi kistaarabu in the equilibrium anakuona fala na anaona kuwa wewe ni shoga yake. So hamuelewekagi!
 
Inabidi iwe hivo otherwise ni majanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…