Ndoa maana yake wote wawili meaminiana na mnapendana ndip maana meamua muishi wote wawili.
Sasa kila mtu awe na mali yake binafsi halafu bado mpo kwenye ndoa ndiyo utapeli wenyewe huo.
Ndoa ni utapeli. Ukizubaa kwenye ndoa mwanamke au mwanaume anaweza kumtapeli mwenzake.
n ww n mbwaKwani ndoa ni nini siujinga tu tulioambukizwa na washenzi wakizungu mbona mbwa hafingi ndoa na anazaa na kula maisha.
Swala lililiokupelekes kuoa ni sex kwani umekosa kwingine
Feminists wengi wanatoka familia lala hoi balaa. Za kichovu na huu ndiyo ukweliHakuna wanawake wanaochakatwa kijinga wakiwa kwenye ndoa zao kama hao,, ni kheri kutokuoa kabisa,,,na ma-feminist wengi ndo hao hao wanaotoka familia maskini.
Yeye angekuachia nyumba si angeenda mahakamaniHayo yote ni kupoteza mda na pesa kamanda kama bodo hujafika miaka 50, mchie huweza kutafuta mari zako upya.
Exactly,, mbaya umtoe kijijini uje kuishi naye town,, atachakatwa na vi-born town vingi sana tena vile vijinga vijinga haswaa.Feminists wengi wanatoka familia lala hoi balaa. Za kichovu na huu ndiyo ukweli
Ziko wapi powercef za kumeza niwe natembea nazo kwenye wallet?🤣🤣Bora upweke kuliko kumeza powerCef
😅 mzee ushawahi kojoa viwembe wewe ?Ziko wapi powercef za kumeza niwe natembea nazo kwenye wallet?🤣🤣
Nnachojaribu kueleza powercef ni sindano 😀😀😅 mzee ushawahi kojoa viwembe wewe ?
hahahaha mzee mi sijuagi izo dawa, we mzoefu siyoNnachojaribu kueleza powercef ni sindano 😀😀
Mm ni mtu wa afya😀 nacheza nazo Kila leohahahaha mzee mi sijuagi izo dawa, we mzoefu siyo
kwa ivyo unasemaje, takwim ni tete nibaki NyetoniMm ni mtu wa afya😀 nacheza nazo Kila leo
Nimekupenda To yeyeUkitaka kumtawala mwanamke unatakiwa uwe na pesa ya kuweza kumwambia ondoka kwangu, au Rudi kwangu....la sivyo u fail. Always mwanamke ni mbinafsi sana
Dawa ni wewe mwanaume kuwa mbinafsi(jipende sana mwenyewe kwanza, maliza haja zako na utosheke wewe kwanza)Mwanaume ukipata pesa unawaza kuboresha familia yako kwanza, Mwanamke akipata pesa anawaza mtengane, awe huru peke yake.!
Duh!Hakukopa alihongwa
Basi hesabu hiyo nyumba ni ya watoto wenu! Ila upumbavu wa mwanamke utaamua kuondoka, atakuja kuolewa na li mwanaume lingine litamdanganya lichukue hati likakope hela benki! Wanawake wakati mwingine ni wapumbavuuuuu!!Watoto watatu