Najuta kuwekeza kwenye kiwanja na nyumba ya mwanamke

[emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Well ntazingatia sana mkuu staki kuja kujilaumu in the future ooh wanawake wabaya kumbe ngejifunza tu kama ivi na kutake action (kukaa nao chonjo) at the end of the time nkaisha good life with no stress....
 
Well ntazingatia sana mkuu staki kuja kujilaumu in the future ooh wanawake wabaya kumbe ngejifunza tu kama ivi na kutake action (kukaa nao chonjo) at the end of the time nkaisha good life with no stress....


Good
Tazama hiyo[emoji1369]
Huyu alieandika ni mwanamke [emoji16]
Yuko sawa kwa 100% ,japo maneno yake yanaweza kua yanachoma ila ndio ukweli

Thus me sijawah kufikilia kuowa mwanamke mwenye fedha au anaejiweza
Pengine IKAPUNGUZA ng’ong’oso

Make sure una kibunda+ maendelea

A place to call home

2 USITUMIE HISIA!
3TUMIA AKILI.
 
Kwahiyo wewe Inatimia Nini?🀭
 
Nimekupata Mr.kelphin i will keep it back of my mind... najua itanisaidia one day
 
Wewe na mke wako hamkai pamoja?
 
Duuuh
 
Unawambia wenzio wakatae ndoa wakati wewe unayo ndoa na umo humo humo haujatoka, washauri kuwa wachaguane vizuri kama wewe ulikosea pole wewe usiwatishe wengine tafuta ukuta uegemee [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…