Sometimes unaacha tu kama yalivyoInasikitisha sana mkuu, familia moja mnakuwa na mabeef ya kijinga.
Braza alikuwa best sana yani, niwe na issue gani nisimwambie au yeye akiwa na mambo yake lazima aniambie. Ila sentensi moja tu ilivuruga mahusiano hadi leo.
Tumezaliwa wengi mkuu!Mnaweza kuanzia kwenye chanzo hapo mkajaribu kusuluhisha kwa mara nyingine
kaka try it now, kuliko Ile kauli ya ninge jua.Nitajaeibu tena kwa mara nyingine
Watu mpo kimachale machale sanaπNaijua hiyoooooπ€€
Wala hakuna kujiumiza, ikitokea mkakaa sawa ni heri, isipotokea ni heri pia.Sometimes unaacha tu kama yalivyo
Huwa nafananisha hii hali ni ile ya mmezaliwa watoto kadhaa katika familia halafu ni lazima Kuna mmoja miongoni mwenu anakuwa wa tofauti sana na wengine. Anaweza kuwa mlevi kupindukia, au mwizi sana, au mkorofi mno! au msumbufu haswaa!π€π€,. Hivi shida huwa ni nini au labda kuna connections zozote na mambo ya kiroho? Maana ni wengi wanalishuhudia hili
Ni kweliWala hakuna kujiumiza, ikitokea mkakaa sawa ni heri, isipotokea ni heri pia.
Hapana mimi ni first born sina kaka wala dada juu yangu.Kaka yako alikua anakubutua?
Dah imagine vle unafanya watoto wa watu ndo mdogo wako afanyiweMpaji Mungu una weza kutengeneza gobole, nikupe order mapema ππ
Na huwa inatokea mmoja anapatana sana na wazazi kuliko wengine, kwanini inatokea hivyoHuwa nafananisha hii hali ni ile ya mmezaliwa watoto kadhaa katika familia halafu ni lazima Kuna mmoja miongoni mwenu anakuwa wa tofauti sana na wengine. Anaweza kuwa mlevi kupindukia, au mwizi sana, au mkorofi mno! au msumbufu haswaa!
Sijui ni kwanini lakini inatokea hivo. Hamuwezi kuwa sawa woote haiwezekani
Uzuri napanda nae bus Moja...bakari na bekaKaka yangu ni min -me
Mmmh! Naona kua wa kwanza ni changamoto, hamna kupumzika kulea wadogo mwanzo mwishoHapana mimi ni first born sina kaka wala dada juu yangu.
Angalau aisee, kwa upande wangu nime cut off ukoo wote wa mzee Baada ya yeye kufariki.Watoto wake wananipenda, wanapendana na wanangu sana tu, mke wangu na wa kwake ni mabest sana.
Mimi ningekuwa kaka yako ningekuwa nakubutia mangumi sana ππKaka yangu ni min -me
Kisa na mkasa?Mimi ningekuwa kaka yako ningekuwa nakubutia mangumi sana ππ
Napenda kupiga af sina dogo wa kumuoneaKisa na mkasa?
Nadhani niambo ya kiroho zaidi, Sina hakika.Na huwa inatokea mmoja anapatana sana na wazazi kuliko wengine, kwanini inatokea hivyo
angalau, ila wewe na kaka huwa mna vuta sigara??.Watoto wake wananipenda, wanapendana na wanangu sana tu, mke wangu na wa kwake ni mabest sana.