Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Friends with benefit 😂mfinland amenifurahisha kwmba tunapeana as friends😂😂😂 na mimba juu
Wanawake wa aina hiyo ya mfinland wana pepo yao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Friends with benefit 😂mfinland amenifurahisha kwmba tunapeana as friends😂😂😂 na mimba juu
Kaka ushauri wako ni mzuri ila Mke wangu anafanya kazi kule canada sasa huu ushauri wako si unaweza kuniweka kwenye mtego wa kugundulika kuwa kwanini nawataka warudi Tanzania ilihali maisha tayari yapo kule canada.. nimekwama..Ipe rikizo familia yako irudi nyumbani kwanza,ili umalize la huyu demu wa Kifalme
ASEE MKUU UMEOGA MAJI YA BARAFU BILA KUPENDA......sisi tukisimamisha tu hatujutii hadi tumalize dhambi ya asili.
mungu awabariki ki sportFriends with benefit 😂
Wanawake wa aina hiyo ya mfinland wana pepo yao
Asante sana mkuu kwa ushauri.. hapa sasa ni kujivika moyo mkuu ila yataka moyo kweli kweliNataka nikuambia hivi...
Ogopa sana Mwanamke anayekuambia atalea Mimba mwenyewe na gharama zote za mtoto zitakuwa juu yake...Hasa mwenye kipato chake...
Ipo hivi;Kuna wanawake wengine wametafuta mtoto/watoto muda hawapati...wakipata ndiyo kama hivyo...hakuna unachoweza kumwambia akakuelewa....(Hii ilimtokea Mtu mmoja namfahamu,Nina Ushuhuda)
Na kitakachotokea baada ya Wewe kumuacha na hiyo mimba...Kama wewe ni Mzazi/Baba unayejali Damu yako kuna siku utamtafuta tu....Unachotakiwa kufanya Mwambie tu Mke wako....Hakuna namna...Ukinyamaza kuna siku atajua... Na akijua mwenyewe ni hatari zaidi kwako....
Nimemaliza.
Mpige jini la kumrudisha.Kaka ushauri wako ni mzuri ila Mke wangu anafanya kazi kule canada sasa huu ushauri wako si unaweza kuniweka kwenye mtego wa kugundulika kuwa kwanini nawataka warudi Tanzania ilihali maisha tayari yapo kule canada.. nimekwama..
Hakika mkuumungu awabariki ki sport
hata ivo haishangaz kweli....MTU anataka penz unazungumzia mke😳 ....angesema ndoa ulipaswa mjibu ivocha kushangaza alichonijibu ni kuwa hana tatizo juu ya hilo anachohitaji tu mimi kumpa penzi as friend
Huyu keshavurugwa na penz tayari🐒Kwa Nini ujiite mcanada kwanza?Kabla sijakushauri
Ushaanza kunisagia kunguni[emoji1]Hakukuwa na sababu ya kutaja kabila la mkeo.
Kauli hiyo imekaa kidharau dharau kama vile mkosaji.
Hilo la usaliti pambana nalo sina uzoefu kama huo.
Nakuitia mtaalamu wetu wa IT za usaliti akusaidie
DeepPond njoo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]