Nakosa usingizi kwa kuwaza hili jambo, Wazoefu naomba ushauri wenu

Nakosa usingizi kwa kuwaza hili jambo, Wazoefu naomba ushauri wenu

Mambo ya wazungu hayo ya open marriage 🙏kula chuma mdau umeulaaa🤣🤣mweleze mkeo unayemfuga,akizingua Piga chini endelea na mfinland ila usitelekeze watoto.
ASIACHE MBACHAO KWA MSALA UPITAO.AMTOE MIMBA AU AIACHE MIMBA NA AKAE KIMYAAA.
 
Kijana una hofu ya nini? Mambo ya kawaida tu hayo.... Watu wanatembea hadi na mashemeji zao na wanawatia mimba sembuse wewe mchepuko tena mzungu tena kakubali kulea mimba... Enjoy your sin bro maisha ndio hayahaya, hiyo dhambi soft sana isikutoe mchezoni ktk maisha... What if mkeo na yeye kakuzalia mtoto ambaye si wako na hujui..? Maisha ya mahusiano au ndoa hayana guarantee hio issue imetokea basi iache kama ilivyo... Wewe endelea kumpenda mchaga wako na watoto wako... Nyie vijana wa sikuhiz vipi..? Mnaishi maisha ya kutojiamini kama sio mwanaume... HUO NDIO UANAUME enjoy 🏆
 
mkuu its too complicated coz nikitoka hapa finland naelekea canada kama mwezi mmoja then naenda Spain kwa miezi sita mingine naheshimu hiyo mimba kwasababu ya huyo kiumbe aliye tumboni mwake ila sidhani kama tutakuwa karibu tena though ana uwezo wa kunifuata popote labda nikimbilie Tanzania nikachijimbie Mwanza ndani ndani huko kitu ambacho hakiwezekani kiuhalisia..

mkuu mishe vipi huko. Tupeane connection basi
 
Muandikishane kwa mwanasheria kwamba hatadai child support.
 
mkuu kaza roho

ushauri wangu we endelea kulea hiyo mimba ya mzungu na kuhusu kuwa atailea mwenyewe we usiwe tayari kwa kitu kama hicho kwani kuwa karibu na mtoto halafu hausapoti chochote katika ukuaji wake haileti maana nzuri kama baba wa mtoto,,ongea na mpange mikakati ya uleaji wa hiyo mimba na ukuaji wa mtoto kama akizaliwa cha msingi uplay kama baba kwa huyo mtoto

na kuhusu mkeo sioni haja ya kumwambia sahivi kwani ukifanya hivo ni wazi kabisa ndoa yako unaitumbukiza hatiani kwa mikono yako mwenyewe,maana umesema bado unampenda na kumuheshimu mke wako so kufanya hivo pia utapunguza uaminifu kwa mkeo/anaweza akaamua nayeye kulipa kuwa na mahusiano mengine maana we mwenyewe umesema ni mtu wa kusafiri kila wakati,kiufupi ndoa yako inahatari ya kutokea mengi kama ukiamua kuweka mambo yote wazi kwa sahivi,Uache muda uwe muamuzi sahihi katika hili

nenda umkalishe chini mfinland umweleze vile ambavyo unataka iwe katika hili
 
mkuu kaza roho

ushauri wangu we endelea kulea hiyo mimba ya mzungu na kuhusu kuwa atailea mwenyewe we usiwe tayari kwa kitu kama hicho kwani kuwa karibu na mtoto halafu hausapoti chochote katika ukuaji wake haileti maana nzuri kama baba wa mtoto,,ongea na mpange mikakati ya uleaji wa hiyo mimba na ukuaji wa mtoto kama akizaliwa cha msingi uplay kama baba kwa huyo mtoto

na kuhusu mkeo sioni haja ya kumwambia sahivi kwani ukifanya hivo ni wazi kabisa ndoa yako unaitumbukiza hatiani kwa mikono yako mwenyewe,maana umesema bado unampenda na kumuheshimu mke wako so kufanya hivo pia utapunguza uaminifu kwa mkeo/anaweza akaamua nayeye kulipa kuwa na mahusiano mengine maana we mwenyewe umesema ni mtu wa kusafiri kila wakati,kiufupi ndoa yako inahatari ya kutokea mengi kama ukiamua kuweka mambo yote wazi kwa sahivi,Uache muda uwe muamuzi sahihi katika hili

nenda umkalishe chini mfinland umweleze vile ambavyo unataka iwe katika hili
shukrani sana kaka
 
yaani kwakuwa si kitu nilichotegemea kumsaliti mke wangu mpaka kuzaa nje ya ndoa

Haya maneno yako yana ukakasi sana
Ulipoanza mahusiano mapya hapo ulikuwa tayari umemsaliti

Ulidhamiria na hakuna aliekulazimisha bali ni matamanio yako tu
Umelikoroga na utaumbuka haswa maana wazungu sio wanafiki na atamueleza mke wako ukijifanya mjuaji
Sipendi usaliti kabisa naona kama umemchoma kisu cha mgongo mke wako
Yaaani alidhamiria kabisa uo usaliti lakn kwakua kaona mimba iyo ndio anajifanya kuumiza kichwa jaman wanaume mlioooa SI mtulie na wake zenu mnazidi kuleta migogoro apa Duniani wanawake sikuiz wanapigana mpk wanauana kw sababu ya kugombea mume mnadhambi sana wanaume baadhi yenu asilimia kubwa tabia chafu haswa walio oa ndio Malaya kabisa [emoji30][emoji30]
 
nipe mwanga nifanyeje hili lisiniaribie ndoa kaka mkubwa dah yaani nimejikuta nipo tu mitandaoni humu jamii forum mara instagram mara facebook akili yangu naona inaweweseka kuna kazi natakiwa kesho kwnda kuifanya ila naona jambo litanipunguzia ufanisi
Nakushauri utumie zilebinu za kutongoza na kuchit kutatua shida hii mkuu
 
asante mkuu hili la ndoa ndio nalopigania zaidi lisiende kubaya.. huku kwenye ndoa kuna hazina zangu nyingi ikivurugika inaweza kunisambaratisha vibaya sana..
Kama ulijua yote ayo kwann Sasa ulimsaliti mkeo??? Acha tamaaa tamaa mbaya sana kijana
 
Mwanaume una ndoa, na watoto 2, alafu unazaa nje ya ndoa, huyo mwanamke wako hawezi kukusamehe, hapo jiandae huna ndoa tena, huyo mwanamke wako wa ndoa atakuja jua tu, hata iweje, na akijua, chances za kubakia katika ndoa ni ndogo sana sanaaa..
 
Jamani wanaume wenzangu mimi mcanada nimeoa tayari mwanamke wa kichaga tuna miaka 6 kwenye ndoa na tumefanikiwa kupata watoto wawili katika harakati zangu za maisha nikafanikiwa kuja canada na baadae nikamvuta mke wangu na mtoto wetu wa kwanza wakafika canada na baada ya miaka miwili baadae tukapata mtoto wa pili ambaye amejifungua kule kule canada sasa kitengo ambacho nipo pale kazini canada kimenifanya niwe mtu wa kusafiri safiri sana nchi tofauti..

Katika rotation zangu za kikazi miezi hii 6 nitakuwa finland na huu mwezi unaenda wa tatu ...sasa katika harakati za kazi huku na kule nimejikuta tu nimeingia mahusiano na mdada mfinland mmoja na akatokea kunielewa kweli kweli na kuniamini mno ila kwasababu wazungu huwa wanapenda transparency nikajiwekea ulinzi kwanza kwanza kwa kumwambia ukweli kuwa mimi nishaoa na familia yangu ipo Canada ila cha kushangaza alichonijibu ni kuwa hana tatizo juu ya hilo anachohitaji tu mimi kumpa penzi as friend kuhusu ndoa yangu hana tatizo nayo ataheshimu na hataiingilia kwa chochote.

Basi nikaona isiwe tabu wikiendi hii iliyopita bi dada huyu alikuja kwenye nyumba niliyopangiwa na ofisi tukafanya ya kufanya wee kama ilivyo wikiendi zingine ila tulipomaliza akanimbia kuwa pamoja na ujio wake ila pia amekuja kunipa taarifa kuwa tayari ana ujauzito wa mwezi mmoja na hayupo tayari kutoa huo ujauzito na kuhusu matunzo sijui takataka zingine zote zitakuwa juu yake mwenyewe anachohitaji tu kutoka kwangu ni mimi kuwa karibu naye mpaka atakapojifungua.

Sasa yaani toka amenipa hiyo taarifa yaani usingizi sipati kabisa yaani kwakuwa si kitu nilichotegemea kumsaliti mke wangu mpaka kuzaa nje ya ndoa yaani sasa naona hili suala linanitafuna taratibu nasikia hatia kubwa mno maana mke wangu mchaga yule ananiheshimu na kuniamini mno sasa sijui akigundua hii issue sijui itakuwaje.

Sitamani kuingiiza ndoa yangu matatani kwasababu ya hili suala maana litaniharibia mambo yangu mengi mno nyuma ya pazia wazoefu wa haya mambo naomba ushauri wenu nifanyeje ili hili suala nilizike chichini kwa chini yaani mke wangu asijue wala kunusa harufu yoyote kuwa tayari kuna mtoto nje maana mke wangu ni mchunguzi mchunguzi sana.

Nishaharibu mwanaume mwenzenu.
Mkuu

Hebu acha uoga wewe!

Hakuna mtoto haramu WATOTO ni Baraka!

Unamkumbuka mfalme daudi na mke wa uria matokeo yake nini!!?Ni mfalme suleiman! mfalme tajiri ZAIDI DUNIANI!



Biologist tunaamini polygamy ni natural rights for all males!!!Sheria na cheti cha ndoa ndio zilikuja kuleta hofu hii uliyonayo!!!

"Fumba macho umuambie Mungu asante KWA mimba na mfalme au malkia atakaezaliwa awe chanzo cha furaha maishani!!!

ACHA UOGA MAN!

BINAFSI SIONI HASARA YA KUZAA HATA WATOTO 1000 KAMA WATAKUA NA MAHITAJI TU YA KUKIDHI MAISHA YAO!!!

BE LIKE ME!ACHANA NA UTUMWA WA KIZUNGU WA CHETI NA NDOA COZ NDOA ZA KISASA ZILIWEKWA NA SECRET SOCIETIES KUDHIBITI URIJALI MA UWEZO WA KIUME ILI UWE NA HOFU HIYO ULIO NAYO!


POLYGAMY IS OBSERVED FROM ABRAHAM THE FATHER OF FAITH TO JACOB(JAMES) TO KING SOLOMON AND GOD DIDINT JUDGE THEM WHO TO JUDGE YOU!!?THESE INDUSTRIAL REVOLUTION RULES OF 18 CENTURY!!?

BE SERIOUS BRO O!!!
 
Jamani wanaume wenzangu mimi mcanada nimeoa tayari mwanamke wa kichaga tuna miaka 6 kwenye ndoa na tumefanikiwa kupata watoto wawili katika harakati zangu za maisha nikafanikiwa kuja canada na baadae nikamvuta mke wangu na mtoto wetu wa kwanza wakafika canada na baada ya miaka miwili baadae tukapata mtoto wa pili ambaye amejifungua kule kule canada sasa kitengo ambacho nipo pale kazini canada kimenifanya niwe mtu wa kusafiri safiri sana nchi tofauti..

Katika rotation zangu za kikazi miezi hii 6 nitakuwa finland na huu mwezi unaenda wa tatu ...sasa katika harakati za kazi huku na kule nimejikuta tu nimeingia mahusiano na mdada mfinland mmoja na akatokea kunielewa kweli kweli na kuniamini mno ila kwasababu wazungu huwa wanapenda transparency nikajiwekea ulinzi kwanza kwanza kwa kumwambia ukweli kuwa mimi nishaoa na familia yangu ipo Canada ila cha kushangaza alichonijibu ni kuwa hana tatizo juu ya hilo anachohitaji tu mimi kumpa penzi as friend kuhusu ndoa yangu hana tatizo nayo ataheshimu na hataiingilia kwa chochote.

Basi nikaona isiwe tabu wikiendi hii iliyopita bi dada huyu alikuja kwenye nyumba niliyopangiwa na ofisi tukafanya ya kufanya wee kama ilivyo wikiendi zingine ila tulipomaliza akanimbia kuwa pamoja na ujio wake ila pia amekuja kunipa taarifa kuwa tayari ana ujauzito wa mwezi mmoja na hayupo tayari kutoa huo ujauzito na kuhusu matunzo sijui takataka zingine zote zitakuwa juu yake mwenyewe anachohitaji tu kutoka kwangu ni mimi kuwa karibu naye mpaka atakapojifungua.

Sasa yaani toka amenipa hiyo taarifa yaani usingizi sipati kabisa yaani kwakuwa si kitu nilichotegemea kumsaliti mke wangu mpaka kuzaa nje ya ndoa yaani sasa naona hili suala linanitafuna taratibu nasikia hatia kubwa mno maana mke wangu mchaga yule ananiheshimu na kuniamini mno sasa sijui akigundua hii issue sijui itakuwaje.

Sitamani kuingiiza ndoa yangu matatani kwasababu ya hili suala maana litaniharibia mambo yangu mengi mno nyuma ya pazia wazoefu wa haya mambo naomba ushauri wenu nifanyeje ili hili suala nilizike chichini kwa chini yaani mke wangu asijue wala kunusa harufu yoyote kuwa tayari kuna mtoto nje maana mke wangu ni mchunguzi mchunguzi sana.

Nishaharibu mwanaume mwenzenu.
Huyo mfini wa wapi huyo ambaye anabeba Mumbai hovyohovyo, sijawahi ona. Nafanya nao kazi ni miaka 10 sasa. Unaishi Finland sehemu gani?
 
🤣🤣🤣
Si bora hata wew kukuambia atajihudumia mwenyewe. Huku uswahilini ukimpa demu mimba hata kama alikua na kikazi anaacha ili umuhudumie.na ndio Maana wengi wanakataa mimba sababu ya najukumu.
We cha msingi mkeo asijue,kitanda hakizai haramu
 
Wacha uwoga bwana wewe sasa kwani wife akijua wats the worse that could happen? Pasu kwa pasu? Sii unaanza kutafuta na mfinish huyo mzeya usiogope wee mchana wife ukweli kuwa nimezalisha nje huko
Huo ujasiri wanao watoto wa Kike. Wanaume wengi wamepoteza ujasiri. Wanapata fursa nzuri wanajiuliza. Mwanamke angepata Don la Kizungu angemtosa jamaa mapema bila kujiuliza ndoa ndoa.
 
Mkuu mcanada unaishi Finland sehemu gani? Mm kuna kipindi niliishi hapo Tampere miezi kama sita hivi, sikulamba mbususu ya mfinish hata moja. Ilikuwa kila nikirusha ndoano wanakimbia hao nikaona nisije pewa kesi ya kubaka bure. Kwenye hili janga ww piga kimya kwa kuwa ilishatokea, toa support kwa huyo mfini hata kama siyo ile full, mambo mengine yataji sort huko mbele ya safari.
 
Sasa yaani toka amenipa hiyo taarifa yaani usingizi sipati kabisa yaani kwakuwa si kitu nilichotegemea kumsaliti mke wangu mpaka kuzaa nje ya ndoa yaani sasa naona hili suala linanitafuna taratibu nasikia hatia kubwa mno maana mke wangu mchaga yule ananiheshimu na kuniamini mno sasa sijui akigundua hii issue sijui itakuwaje.

Sitamani kuingiiza ndoa yangu matatani kwasababu ya hili suala maana litaniharibia mambo yangu mengi mno nyuma ya pazia wazoefu wa haya mambo naomba ushauri wenu nifanyeje ili hili suala nilizike chichini kwa chini yaani mke wangu asijue wala kunusa harufu yoyote kuwa tayari kuna mtoto nje maana mke wangu ni mchunguzi mchunguzi sana.

Nishaharibu mwanaume mwenzenu.

Wacha mchaga ajue akunyooshe

Eti Sitamani kuingiiza ndoa yangu matatani 🙄🙄🙄
 
Back
Top Bottom