Dah imenikuta hii.
Nilienda Zambia kikazi na nilikaa kule miaka 2.
nilipangiwa nyumba na kampuni maeneo ya lusaka mjini.Basi kama kawaida ukishakaa mwezi na zaidi mwili na upwiru huanza,
Nilikuwa nachakata mademu wa hapa na pale ila ilipofika miezi 6 kumaliza mkataba wangu wa miaka 2 nilipataga mwanamke mrembo sana umri wake ni 28 yrs old, mweupe, mrefu nywele mgogoni aiseeee(baba ake mbostwana na mama ake mzambia)
Yule dada nilikuwa namto.mb.a sana mpaka akahamia na kwangu kabisa, kila siku asubuhi na jioni naichakata vilivyo.
(Alikuwa hachoshi na ni fundi, ni wale wanawake ambao kila saa ukimuona ana tia hamasa)
Lakini alikuwa anatumia uzazi wa mpango kwa mujibu wake na sikuwa na wasi mana nilishamwambia kuwa nina familia na watoto wa2.
KUMBE BANAA!!!!
Alikuwa na yake kichwani, demu imefika miezi 2 nisepe eti nina mimba yako.Whaaaaat?????
Nikamwambia toa akagoma akasema atalea amependa mbegu yangu(mrefu vichwa vya kipanki,colored skin).
Hivi sasa bado wife hajui na anakaribia kujifungua mimi niko zangu Tanzania, Tunawasiliana kwa watsap ila kwa siri sana(nili-install GB watsap kwenye android kisha nkiwaweka secret chat na call ambayo bila password huoni kitu)
Ananiambia akijifungua anataka aje Tanzania kwa siri nione mtoto sikumjibu
Mpaka leo nawaza namna ntamwambia ukweli ila nasita naona huyu mke wangu anaweza akaniaacha mana anahasira sana.
NAJUTAAA NA NIMEPATA SOMO KUWA KONDOMU NI MUHIMU NA USIAMINI HAWA WANAWAKE.
Mrembo anataka kufanana na huyu kwa picha chini japo huyu kazidi uweupe.
View attachment 2607297