Nakosa usingizi kwa kuwaza hili jambo, Wazoefu naomba ushauri wenu

Nakosa usingizi kwa kuwaza hili jambo, Wazoefu naomba ushauri wenu

Dah imenikuta hii.

Nilienda Zambia kikazi na nilikaa kule miaka 2.
nilipangiwa nyumba na kampuni maeneo ya lusaka mjini.Basi kama kawaida ukishakaa mwezi na zaidi mwili na upwiru huanza,

Nilikuwa nachakata mademu wa hapa na pale ila ilipofika miezi 6 kumaliza mkataba wangu wa miaka 2 nilipataga mwanamke mrembo sana umri wake ni 28 yrs old, mweupe, mrefu nywele mgogoni aiseeee(baba ake mbostwana na mama ake mzambia)

Yule dada nilikuwa namto.mb.a sana mpaka akahamia na kwangu kabisa, kila siku asubuhi na jioni naichakata vilivyo.

(Alikuwa hachoshi na ni fundi, ni wale wanawake ambao kila saa ukimuona ana tia hamasa)

Lakini alikuwa anatumia uzazi wa mpango kwa mujibu wake na sikuwa na wasi mana nilishamwambia kuwa nina familia na watoto wa2.

KUMBE BANAA!!!!

Alikuwa na yake kichwani, demu imefika miezi 2 nisepe eti nina mimba yako.Whaaaaat?????

Nikamwambia toa akagoma akasema atalea amependa mbegu yangu(mrefu vichwa vya kipanki,colored skin).

Hivi sasa bado wife hajui na anakaribia kujifungua mimi niko zangu Tanzania, Tunawasiliana kwa watsap ila kwa siri sana(nili-install GB watsap kwenye android kisha nkiwaweka secret chat na call ambayo bila password huoni kitu)

Ananiambia akijifungua anataka aje Tanzania kwa siri nione mtoto sikumjibu


Mpaka leo nawaza namna ntamwambia ukweli ila nasita naona huyu mke wangu anaweza akaniaacha mana anahasira sana.


NAJUTAAA NA NIMEPATA SOMO KUWA KONDOMU NI MUHIMU NA USIAMINI HAWA WANAWAKE.


Mrembo anataka kufanana na huyu kwa picha chini japo huyu kazidi uweupe.

View attachment 2607297
mtihani mkuu dah haya maisha haya..
 
Si bora hata wew kukuambia atajihudumia mwenyewe.
hapo hakuna uhakika. Inawezekana sana yeye akakataa lakini mtoto akipata umri kidogo tu akadai haki ya matunzo kutoka kwa baba yake. Au hata pengine mama akapata bahati mbaya ya kukosa ajira kwa kipingi fulani akenda mahakamani na kuomba baba atoe fedha za matunzo ya mtoto.
 
Dah imenikuta hii.

Nilienda Zambia kikazi na nilikaa kule miaka 2.
nilipangiwa nyumba na kampuni maeneo ya lusaka mjini.Basi kama kawaida ukishakaa mwezi na zaidi mwili na upwiru huanza,

Nilikuwa nachakata mademu wa hapa na pale ila ilipofika miezi 6 kumaliza mkataba wangu wa miaka 2 nilipataga mwanamke mrembo sana umri wake ni 28 yrs old, mweupe, mrefu nywele mgogoni aiseeee(baba ake mbostwana na mama ake mzambia)

Yule dada nilikuwa namto.mb.a sana mpaka akahamia na kwangu kabisa, kila siku asubuhi na jioni naichakata vilivyo.

(Alikuwa hachoshi na ni fundi, ni wale wanawake ambao kila saa ukimuona ana tia hamasa)

Lakini alikuwa anatumia uzazi wa mpango kwa mujibu wake na sikuwa na wasi mana nilishamwambia kuwa nina familia na watoto wa2.

KUMBE BANAA!!!!

Alikuwa na yake kichwani, demu imefika miezi 2 nisepe eti nina mimba yako.Whaaaaat?????

Nikamwambia toa akagoma akasema atalea amependa mbegu yangu(mrefu vichwa vya kipanki,colored skin).

Hivi sasa bado wife hajui na anakaribia kujifungua mimi niko zangu Tanzania, Tunawasiliana kwa watsap ila kwa siri sana(nili-install GB watsap kwenye android kisha nkiwaweka secret chat na call ambayo bila password huoni kitu)

Ananiambia akijifungua anataka aje Tanzania kwa siri nione mtoto sikumjibu


Mpaka leo nawaza namna ntamwambia ukweli ila nasita naona huyu mke wangu anaweza akaniaacha mana anahasira sana.


NAJUTAAA NA NIMEPATA SOMO KUWA KONDOMU NI MUHIMU NA USIAMINI HAWA WANAWAKE.


Mrembo anataka kufanana na huyu kwa picha chini japo huyu kazidi uweupe.

View attachment 2607297
Ukiowa wanawake wa hivi ukienda kazini unakuwa na mashaka,mawazo sonona😂 bongo hii🙌
 
hapo hakuna uhakika. Inawezekana sana yeye akakataa lakini mtoto akipata umri kidogo tu akadai haki ya matunzo kutoka kwa baba yake. Au hata pengine mama akapata bahati mbaya ya kukosa ajira kwa kipingi fulani akenda mahakamani na kuomba baba atoe fedha za matunzo ya mtoto.
hili linawezekana pia na anaweza kunivuruga mambo yangu mengi mno natafuta njia ya kulizima hili jambo kimya kimya..
 
"yaani kwakuwa si kitu nilichotegemea kumsaliti mke wangu mpaka kuzaa nje ya ndoa"

Haya maneno yako yana ukakasi sana
Ulipoanza mahusiano mapya hapo ulikuwa tayari umemsaliti

Ulidhamiria na hakuna aliekulazimisha bali ni matamanio yako tu
Umelikoroga na utaumbuka haswa maana wazungu sio wanafiki na atamueleza mke wako ukijifanya mjuaji
Sipendi usaliti kabisa naona kama umemchoma kisu cha mgongo mke wako
 
yaani kwakuwa si kitu nilichotegemea kumsaliti mke wangu mpaka kuzaa nje ya ndoa

Haya maneno yako yana ukakasi sana
Ulipoanza mahusiano mapya hapo ulikuwa tayari umemsaliti

Ulidhamiria na hakuna aliekulazimisha bali ni matamanio yako tu
Umelikoroga na utaumbuka haswa maana wazungu sio wanafiki na atamueleza mke wako ukijifanya mjuaji
Sipendi usaliti kabisa naona kama umemchoma kisu cha mgongo mke wako
Hivi viumbe wa hivi bado mpo? mbinguni moja kwa moja,,barikiwa sana
 
yaani kwakuwa si kitu nilichotegemea kumsaliti mke wangu mpaka kuzaa nje ya ndoa

Haya maneno yako yana ukakasi sana
Ulipoanza mahusiano mapya hapo ulikuwa tayari umemsaliti

Ulidhamiria na hakuna aliekulazimisha bali ni matamanio yako tu
Umelikoroga na utaumbuka haswa maana wazungu sio wanafiki na atamueleza mke wako ukijifanya mjuaji
Sipendi usaliti kabisa naona kama umemchoma kisu cha mgongo mke wako
mbona umengoea kwa makasiriko hivi mkuu seems ni mimi tu nachepuka humu duniani.. dah haya sawa wacha nilinywe.. ntafanyaje sasa
 
Be Gentle jombaa! Muombe radhi waifu kuna mahali umeteleza!,atanuna mwishowe ataukibali ukweli life litasonga! Usiwe boya kama yule naibu waziri anamkimbia mkewe na kwenda kusababisha ajali huko mbele...Pambana.
 
Una Utovu wa nidhamu wewe kavulana,,,subiri ukue hadi ufikie uwanaume kesi kama hizo ni nyepesi sana,,,Amua Kwa Akili,,,achana na vijisihisia vya kipuuzi!!Farlaahh nini???
 
Kwa Wanaume ni kawaida ila ingekuwa ni Mwanamke ingekuwa habari nyingine, hapo umeshaharibu jitahidi kadri uwezavyo kuokoa Ndoa yako.
 
Una Utovu wa nidhamu wewe kavulana,,,subiri ukue hadi ufikie uwanaume kesi kama hizo ni nyepesi sana,,,Amua Kwa Akili,,,achana na vijisihisia vya kipuuzi!!Farlaahh nini???
asante mkuu.. yote heri
 
Kwa Wanaume ni kawaida ila ingekuwa ni Mwanamke ingekuwa habari nyingine, hapo umeshaharibu jitahidi kadri uwezavyo kuokoa Ndoa yako.
asante mkuu hili la ndoa ndio nalopigania zaidi lisiende kubaya.. huku kwenye ndoa kuna hazina zangu nyingi ikivurugika inaweza kunisambaratisha vibaya sana..
 
Back
Top Bottom