Nakosa usingizi kwa kuwaza hili jambo, Wazoefu naomba ushauri wenu

Nakosa usingizi kwa kuwaza hili jambo, Wazoefu naomba ushauri wenu

Jamani wanaume wenzangu mimi mcanada nimeoa tayari mwanamke wa kichaga tuna miaka 6 kwenye ndoa na tumefanikiwa kupata watoto wawili katika harakati zangu za maisha nikafanikiwa kuja canada na baadae nikamvuta mke wangu na mtoto wetu wa kwanza wakafika canada na baada ya miaka miwili baadae tukapata mtoto wa pili ambaye amejifungua kule kule canada sasa kitengo ambacho nipo pale kazini canada kimenifanya niwe mtu wa kusafiri safiri sana nchi tofauti..

Katika rotation zangu za kikazi miezi hii 6 nitakuwa finland na huu mwezi unaenda wa tatu ...sasa katika harakati za kazi huku na kule nimejikuta tu nimeingia mahusiano na mdada mfinland mmoja na akatokea kunielewa kweli kweli na kuniamini mno ila kwasababu wazungu huwa wanapenda transparency nikajiwekea ulinzi kwanza kwanza kwa kumwambia ukweli kuwa mimi nishaoa na familia yangu ipo Canada ila cha kushangaza alichonijibu ni kuwa hana tatizo juu ya hilo anachohitaji tu mimi kumpa penzi as friend kuhusu ndoa yangu hana tatizo nayo ataheshimu na hataiingilia kwa chochote.

Basi nikaona isiwe tabu wikiendi hii iliyopita bi dada huyu alikuja kwenye nyumba niliyopangiwa na ofisi tukafanya ya kufanya wee kama ilivyo wikiendi zingine ila tulipomaliza akanimbia kuwa pamoja na ujio wake ila pia amekuja kunipa taarifa kuwa tayari ana ujauzito wa mwezi mmoja na hayupo tayari kutoa huo ujauzito na kuhusu matunzo sijui takataka zingine zote zitakuwa juu yake mwenyewe anachohitaji tu kutoka kwangu ni mimi kuwa karibu naye mpaka atakapojifungua.

Sasa yaani toka amenipa hiyo taarifa yaani usingizi sipati kabisa yaani kwakuwa si kitu nilichotegemea kumsaliti mke wangu mpaka kuzaa nje ya ndoa yaani sasa naona hili suala linanitafuna taratibu nasikia hatia kubwa mno maana mke wangu mchaga yule ananiheshimu na kuniamini mno sasa sijui akigundua hii issue sijui itakuwaje.

Sitamani kuingiiza ndoa yangu matatani kwasababu ya hili suala maana litaniharibia mambo yangu mengi mno nyuma ya pazia wazoefu wa haya mambo naomba ushauri wenu nifanyeje ili hili suala nilizike chichini kwa chini yaani mke wangu asijue wala kunusa harufu yoyote kuwa tayari kuna mtoto nje maana mke wangu ni mchunguzi mchunguzi sana.

Nishaharibu mwanaume mwenzenu.
Wacha uwoga bwana wewe sasa kwani wife akijua wats the worse that could happen? Pasu kwa pasu? Sii unaanza kutafuta na mfinish huyo mzeya usiogope wee mchana wife ukweli kuwa nimezalisha nje huko
 
mbona umengoea kwa makasiriko hivi mkuu seems ni mimi tu nachepuka humu duniani.. dah haya sawa wacha nilinywe.. ntafanyaje sasa
Pole sana, pia nisamehe kwa ukali wa maneno
Ila umesema sio kitu ulichotegemea

Ukumbuke hiyo sio ajali bali ulifanya mwenyewe kwa ridhaa yako ukiwa mzima
 
Wacha uwoga bwana wewe sasa kwani wife akijua wats the worse that could happen? Pasu kwa pasu? Sii unaanza kutafuta na mfinish huyo mzeya usiogope wee mchana wife ukweli kuwa nimezalisha nje huko
asante mkuu ila yataka moyo sana kuna mambo yatapungua na vurugu zitaanzia hapo si unajua wanawake.. mimi ni mtu ambaye nishavurugwa sana mapenzi kabla ya kumpata huyu mke wangu sasa hili jambo linanipa wasiwasi linaweza kwenda kunirudisha kule kule kwenye maisha yangu ya zamani kitu ambacho sitaki kurudi kule ntapoteza kila kitu nilichokipambania kwa muda mrefu.. kuishi kwenye nchi za watu na familia kuwa stable si jambo jepesi mkuu
 
Pole sana, pia nisamehe kwa ukali wa maneno
Ila umesema sio kitu ulichotegemea

Ukumbuke hiyo sio ajali bali ulifanya mwenyewe kwa ridhaa yako ukiwa mzima
sawa mkuu but nilifanya ndio ila sikukusudia nizae na mtu mwingine nje ya ndoa yangu but shit happens like this way..
 
nka jua ata ni mtaa mmoja kumbe una vuka boda kabsa asee.kula maisha mimba sio ugonjwa
Atulie apige kimya.uzuri demu alishaambiwa kuwa jamaa Ana MKE,akategesha ikaingia.
Atulie,tyu.kukaa kimya ni busara Sana
 
Kaka yangu DeepPond Hana baya,baba J wa watu
Huenda wewe ni yule mchep wa Mbagala, fundi cherehani, mwenye pakt za kazi uvunguni😂😂😂
Nataka nikuambia hivi...
Ogopa sana Mwanamke anayekuambia atalea Mimba mwenyewe na gharama zote za mtoto zitakuwa juu yake...Hasa mwenye kipato chake...

Ipo hivi;Kuna wanawake wengine wametafuta mtoto/watoto muda hawapati...wakipata ndiyo kama hivyo...hakuna unachoweza kumwambia akakuelewa....(Hii ilimtokea Mtu mmoja namfahamu,Nina Ushuhuda)

Na kitakachotokea baada ya Wewe kumuacha na hiyo mimba...Kama wewe ni Mzazi/Baba unayejali Damu yako kuna siku utamtafuta tu....Unachotakiwa kufanya Mwambie tu Mke wako....Hakuna namna...Ukinyamaza kuna siku atajua... Na akijua mwenyewe ni hatari zaidi kwako....

Nimemaliza.
Malizia ilikuwaje?
 
Hii dunia kuna Watu wamebarikiwa neema juu ya neema, hatimaye unapata toto la ki-afrikasti.

Sibariki usaliti ila hata Suleiman alikuwa ni Mtoto wa nnje ya ndoa na alikuwa na hekima tele pamoja na utajiri haswa, kiujumla njia za Mungu huwa hazichunguziki.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Usaliti saliti ndio uliopelekea Israel kuwa ni Taifa lenye watu walaghai na wenye mioyo migumu mpaka kiama kiwakute.
Hata kizazi chao hakikufanikiwa kumpata Nabii mfalme wa wafalme Yesu Kristo na Mwokozi wa Ulimwengu. Mungu akakata mtiririko wa kizazi Cha manabii na kumketa Yesu aliyetokana na Uwezo wa Mungu Mwenyewe Kwa njia ya Roho Mtakatifu na kumzaa Mtoto asiyetokana na tendo la ndoa Tena akazaliwa na Mwanamke bikira ambaye hajawahi kuingiliwa na mwanadam.

Kwa hiyo kujifananisha na Suleimani ni kujifananisha na uzao uliojaa ukaidi na ulaghai.
 
Hakukuwa na sababu ya kutaja kabila la mkeo.

Kauli hiyo imekaa kidharau dharau kama vile mkosaji. Wewe mkosaji ndio ingejitambulisha kwa kabila lako kama vile...mimi Muhaya wa Kashozi🤣🤣🤣🤣maana ni mkosaji na sio mkeo.

Hilo la usaliti pambana nalo sina uzoefu kama huo.
Nakuitia mtaalamu wetu wa IT za usaliti akusaidie
DeepPond njoo🤣🤣🤣🤣
Nimetaja mchaga kwasababu mnawasakama sana wanawake wa huko Tanzania kaskazini but sikuwa na nia mbaya kutaja kabila hapo mkuu.. nipo hapa natype type tu sielewi..
 
Unaishi canada, huko finland uko kwa miezi mitatu. Je baada ya huo muda mapenzi yenu yatakuwaje? Mmepanga muwe mnakutanaje?
 
Nimetaja mchaga kwasababu mnawasakama sana wanawake wa huko Tanzania kaskazini but sikuwa na nia mbaya kutaja kabila hapo mkuu.. nipo hapa natype type tu sielewi..
Acha wengine wawadhalilishe kwako ni tunu ndio maana umemweka ndani
 
Ukiaminika jiaminishe, je utajisikiaje mkeo nae ukamkuta na mimba ambayo si yako!!?[emoji15]! Vaa viatu vya mkeo mwombe Mungu msamaha na kimbia UFE jipange vizuri la sivyo unaenda kubomoa nyumba yako kwa mikono yako mwenyewe pole sana.
 
Unaishi canada, huko finland uko kwa miezi mitatu. Je baada ya huo muda mapenzi yenu yatakuwaje? Mmepanga muwe mnakutanaje?
mkuu its too complicated coz nikitoka hapa finland naelekea canada kama mwezi mmoja then naenda Spain kwa miezi sita mingine naheshimu hiyo mimba kwasababu ya huyo kiumbe aliye tumboni mwake ila sidhani kama tutakuwa karibu tena though ana uwezo wa kunifuata popote labda nikimbilie Tanzania nikachijimbie Mwanza ndani ndani huko kitu ambacho hakiwezekani kiuhalisia..
 
Oa mzungu achana na huyo mchagga
kumuoa inawezekana ila ndoa haitadumu wazungu si watu wa kukaa kwenye ndoa muda mrefu na mwafrica... ni bora kubaki na niliyeanza naye maisha tu nikimwacha ntaangamia zaidi.. marriage convenant
 
Polesana kunamtu ilimkuta hiyo mama wa mtoto hakuomba child support na alilea mtoto mwenyew lkn na mkewe ni miak zaidi ya 10 mkewe hajawahi kumuelewa licha ya mtoto kutomlea na hakuhusishwa na child support kabisa so inategemea na mwanamke na shida ya mke ni kufikiria Mali walizonazo kushare na mtoto wa nje ya ndoa now kilamtu na mamboyake kuhusiana na uchumi wa familia imebaki kiapo Cha ndoa tu

Ila omba msamaha tu IL Kuna mawili kusave ishu au kujichimbia kaburi
 
Mambo ya wazungu hayo ya open marriage 🙏kula chuma mdau umeulaaa🤣🤣mweleze mkeo unayemfuga,akizingua Piga chini endelea na mfinland ila usitelekeze watoto.
 
Back
Top Bottom