Nakuja Dar kusaka maisha! Treni ndio imeanza safari kutoka Kigoma kuja Dar, Mwenye kazi naomba tuwasiliane


Sawa, mkuu!!! Mazingira mapya na uchovu wa safari inafanya mtu ajisahau. Nakutakia kila ya kheri! Jihakikishe umejiweka salama!!! Maandishi yako mazuri sana na unaweza kujieleza kwa ufanisi mkubwa! Ubarikiwe na nisamehe kama nimekukwaza!!!
 
Wewe unajuaje kama sishoga? Umemuona? Acha umende aliyekuwa nae ndio kasema unani wewe ubishe utakuwa ni wewe ulitaka uzibuliwe mtalo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mmh mmh mmh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uhalisia ya maisha ni kuwa wakati wa shida, msiba au dhihiki, ni yule mtu ambaye tunamdharau ndiye anajitokeza kutoa msaada kwa hali na mali! Wale ambao tulikuwa tunawaona kuwa hawana maana kwetu, ndiyo wanakuja kutuokoa! Wale tuliyowapenda wanapita kimya kimya au wanakuletea kejeli na dhihaka! Dunia simama nishuke!!"
 
Mkuu, wewe umenielewa, asante!
 



πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ ETI Aaargh
wewe kama sio Beira Boy sijui
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…