Tumpara Dudu
JF-Expert Member
- Nov 15, 2016
- 625
- 506
Sasa mkuu bas ungeweka wazi kama umemgegeda kaka wa watu ili kulipa fadhila. Unaficha nn sasa?Mkuu, yametokea mengi ambayo yote siwezi kuyaandika hapa, nimechoka. Jamaa nime mshukuru sana, yeye mwenyewe anajua, mpaka nimempatia namba yangu ya simu, na nimechukua yake pia.
Kwahiyo swala la shukrani kutoliandika hapa, ni mambo kuwa mengi, ila huku jamaa mwenyewe anajua kuwa nime mshukuru sana.
Nadhani umenielewa kaka! Asante..
Mkuu,
Kwani unafikri sura zikoje?
Dogo wa la saba kaijuaje JF?
Anawezaje kumensheni mtu?
Anawezane andika kwa mpangilio hivi?
Anawezaje jibu hoja kwa ustadi hivi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona mnaidharau sana elimu ya darasa la saba? Mtu unaweza kuwa darasa la saba lakin ukawa na uelewa mzuri tu wa baadhi ya mambo.Huyu jamaa ni darasa la saba,
Lkn anajua kum-mensheni mtu,
Anajua kuandika vizuri,
Anajua quote,
Anajua kuacha nafasi baina ya neno nano...
Huyu atakuwa anafanya UTAFITI.
NI MTU NA ELIMU YAKE KABISA.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo unataka kutuambia kwamba humu Jf hakuna watu wa darasa la saba?Mkuu,
Kwani unafikri sura zikoje?
Dogo wa la saba kaijuaje JF?
Anawezaje kumensheni mtu?
Anawezane andika kwa mpangilio hivi?
Anawezaje jibu hoja kwa ustadi hivi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa uelewa wake, angefaulu darasa hilo na kuendelea na masomo.Mbona mnaidharau sana elimu ya darasa la saba? Mtu unaweza kuwa darasa la saba lakin ukawa na uelewa mzuri tu wa baadhi ya mambo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja niisome vizuri hadithi yakoNi maoni yako kaka, asante kwa maoni pia!
Wapo,Kwahiyo unataka kutuambia kwamba humu Jf hakuna watu wa darasa la saba?
Homosapiens
Yote yanawezekana mkuu,usikaririWapo,
Ila huyu kwa umri aliokuwa nao ni mdogo sana.
Darasa la saba kwa umri huu, hawezi kuwa na exposure ya kuijua JF, kufungua email, kujiunga na kuchangia hivi.
Huyu hana hata 20yrs
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mi namfuatilia kwenye huu uzi nijue hatma yake hasa kwa sababu ukiangalia mwanzo wa huu uzi jamaa kawa creative sana kwa kuiandika topic yake na ndani katia story amabayo imewavutia wengi kuusoma. Uandishi wake wa mkato mkato na kusema "ninaendelea hapo chini" utarudi tu kusoma kujuwa kilichoendelea hasa ukizingatia katika story yake kamuingiza "shoga" mpaka hapo nahisi utakuwa umenipata chief.Mkuu,
Kwani unafikri sura zikoje?
Dogo wa la saba kaijuaje JF?
Anawezaje kumensheni mtu?
Anawezane andika kwa mpangilio hivi?
Anawezaje jibu hoja kwa ustadi hivi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi Mpaka Nimechoka Sasa
Mbona alishalitolea ufafanuzi suala hilo? Jamaa alisema kwamba alifaulu kuendelea na elimu ya sekondari lakini kwa sababu mbalimbali hakuweza kuendelea...Kwa uelewa wake, angefaulu darasa hilo na kuendelea na masomo.
Hakuna darasa la saba mwenye uwezo kama huu afeli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu kama sio assignment kapewa na TISS, basi itakuwa anafanya research ya chuoni huko.Mkuu mi namfuatilia kwenye huu uzi nijue hatma yake hasa kwa sababu ukiangalia mwanzo wa huu uzi jamaa kawa creative sana kwa kuiandika topic yake na ndani katia story amabayo imewavutia wengi kuusoma. Uandishi wake wa mkato mkato na kusema "ninaendelea hapo chini" utarudi tu kusoma kujuwa kilichoendelea hasa ukizingatia katika story yake kamuingiza "shoga" mpaka hapo nahisi utakuwa umenipata chief.
Ujibuji wake ni wa hekima na ni vigumu kwa mtu wa darasa la saba kuandika hivi. Kuna mengi nayafikiria kuhusu huyu dogo nahisi kuna kitu anatuficha amabacho anakihitaji ni zaidi ya msaada wa kazi kama thread inavyojieleza.
Tuendelee kuangalia hii movie inaishaje., naendelea hapo chini
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante kwa kunisaidia kujibu.Mbona alishalitolea ufafanuzi suala hilo? Jamaa alisema kwamba alifaulu kuendelea na elimu ya sekondari lakini kwa sababu mbalimbali hakuweza kuendelea...
Sent using Jamii Forums mobile app
Chief tukitumia kigezo cha picha iliyotumwa na 13 Mega Pixel anaweza kuwa katika TISS mbona dogo anaonekana hata ukoko wa shingo hujamtoka huyuHuyu kama sio assignment kapewa na TISS, basi itakuwa anafanya research ya chuoni huko.
Huyu yupo hapa kwa kazi maalumu, na ndio maana katuandaa kisaikolojia katika mada zake.
Sent using Jamii Forums mobile app
bado hujafka tuAsante kwa kunisaidia kujibu.
Mkuu,Chief tukitumia kigezo cha picha iliyotumwa na 13 Mega Pixel anaweza kuwa katika TISS mbona dogo anaonekana hata ukoko wa shingo hujamtoka huyu
Sent using Jamii Forums mobile app
Dar vijana wanauza machungwa tu na wanaishi.Hatukuamini kwa sababu una hell ya bando mda wote. Hivi hakuna akiyekushauri uuze smart phone yako then UANZE biashara ya kuchoma mahindi manzese? Hasa kipindi hichi Cha mvua mahindi yanatoka Sana. Pembeni weka na miavuli minne ikinyesha tuu unauza hiyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukweli utajulikana tu tuendelee kuangalia hii movieMkuu,
Km mtu kapewa kazi maalumu,
Lazima ajiandae ktk mazingira hayo...
Hata mwezi mzima.
Sent using Jamii Forums mobile app
for the first ..i can comment thenNimekutana na jamaa kijitonyama shule, ninathibitisha jamaa ana uhitaji aisee, na wala siyo tapeli wala furahisha genge, sina kazi ya kumpa ila nimemsaidia kumpeleka kituoni makumbusho na kumpandisha gari la segerea ili ashuke hapo baracuda, aliye na nia ya kumsaidia amsaidie, nimeambatanisha pixha yake amenipa ruhusa ya kufanya hivyo ili mumuaminiView attachment 985989
Sent using Jamii Forums mobile app