We kaa kimya watu tujae, we inakuuma nini? Mbona una wivu wa ajabu?!? Try to be humble hata kama huwezi
Hahhaha
Unanichekesha
Huyu jamaa wa barakuda kaghafilika na nini tena??Nimeshafika hapa, jamaa alisema nimtafute, ajabu hata PM Hataki kunijibu.
Mkuu una jina la kitajiri but mentally you're poor!!Roboti la majini
Hapa JF nimegunduaga mada za kiwaki ndio zinapendwa na watu wengi. Nimegundua pia JF GT ni wachace labda asilimia 5-8 ya members wote. Zilizobaki wengi ni below average minds labda kama asilimia 60 hivi, na hao asilimia 32 wengine ni average minds.
Dogo tulia kwanza, tafuta sehemu salama ukae then uwe mvumilivu. Mpaka hapa ushashinda.Nimeshafika hapa, jamaa alisema nimtafute, ajabu hata PM Hataki kunijibu.
Pole sn, mtafute manengelo alisema ukikosa pa kulala mtafute akuombee kwa ndugu yake. Usiondoke hapo Barakuda tulia kidogo.Nimeshafika hapa, jamaa alisema nimtafute, ajabu hata PM Hataki kunijibu.
Ni ajabu?
Kaa hapo hapo ai tafuta pahala unywe sodaNimeshafika hapa, jamaa alisema nimtafute, ajabu hata PM Hataki kunijibu.
Labda ameshalala
Wee jamaa futa comment yako hii. Sio vizuri kuleta ujuaji kwenye matatizo ya wenzio. Ipo siku yako kaka dunia duara hii.Sikia mzee
Kwa bei ya kawaida figo moja ni million 70,uza moja kisha chukua million 40 ka bet, kwa odds za point 2 muwekee Man united (under Ole gunner) win,muwekee Barcelona win.
Baada ya hapo chukua mil 80 zako kwa muhindi,nunua figo kwa mil70 ,utabaki na faida ya mil10+ mil30 (ile ilo baki)=mil mil40.
Mil40 chukua rudi kigoma kalime mawese
Nawasilisha!!
Nimeipenda signature yake.Mkuu,
Km mtu kapewa kazi maalumu,
Lazima ajiandae ktk mazingira hayo...
Hata mwezi mzima.
Sent using Jamii Forums mobile app
πππππMkuu una jina la kitajiri but mentally you're poor!!