Nakuja Dar kusaka maisha! Treni ndio imeanza safari kutoka Kigoma kuja Dar, Mwenye kazi naomba tuwasiliane

Wee jamaa futa comment yako hii. Sio vizuri kuleta ujuaji kwenye matatizo ya wenzio. Ipo siku yako kaka dunia duara hii.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…