Mimi wamenishangaza sana,hapo hongeza Bollore logistics na Perfect MachineryWatanzania acheni kutia aibu, CRANE TON 26 na hiyo TON 70 jamani ni ndogo saaana hizo kwenye uwanja huu hapa TZ...
Tanzani zipo mpaka crane mobile na crawler za mpaka ton 300.... hapa nazungumzia kuanzia 100,200 to 300tons can be either crawler or mobile nendeni pale EFFCO DSM, ALSTAIR, au hata kwa Raphael logistic...
Huyu kiumbe anataka fedha kwa pupa ,ila ataa gamia tu,ni suala la mudaMh Janury Yusuph Makamba nakukumbusha kuwa mwezi March, 28 2021 TPA ilileta Crane yenye uzuto wa Tani 70 ila kwa Bahati mbaya ilitumbukia baharini palepale Bandarini Jijin Dar es salaam, na TPA waliahidi kuwa wanauwezo wa kuitoa, sasa kama TPA walileta mzigo wa Tani 70 iweje useme Tanzania nzima hakuna Crane yenye uwezo wakubeba tani 26?
Mh. Makamba wanyetidhaji wangu wananiambia picha inayonekana hapo chini imepigwa na mfanyakazi wa huko eneo la mradi na hizo crane unaziona hapo mbili ziko 3 na kila moja inauwezo wakubeba Tani 10 kwa maana zote tatu mzigo wa tani 26 unabebeka, sasa unatuambia hakuna crane inayoweza kubeba tani 26 kweli?
Mh Makamba angalia lile daraja la SGR la KM 2.5 toka station mpaka shaurimoyo zile berms zilizopandishea kule juu unajua zina usito gani? Tutake radhi Mh January unatupa mashakha sana.View attachment 2007794View attachment 2007795View attachment 2007796
View attachment 2007829
Hafai kabisa. Namna alivyokuwa Akiongea ametukatisha tamaa tulilokuwa tunaamini ana uwezo wa kuwa somebody.Makamba analake Sio Bure hafai
wanataka kuua legacy ya magufuli
Aliyoyaanzisha yafe au yachelewe.Ipi?
CCM kumejaa wafoji vyeti na watu wenye elimu za kuungaunga.Amejibu swali kiboya sana. Nilikuwa namuona ana maana kumbe hamna kitu. Kwanza iweje ujibu kwa kutumia maneno "inasemekana"?? Taarifa za kujaza maji mwezi Novemba si suala la inasemekana, bali ni taarifa iliyotolewa na serikali yenyewe kupitia mtangulizi wake. Ni jambo la ajabu nchi nzima kukosa crane ya tani 26, unless Ange specify labda aina hiyo ya crane ni unique. Yaani sio uwezo wake katika uzito bali aina yake. Kea kifupi. Huyu kijana kumbe mweupe sana.
Aisee kama ilitumbukia baarini wazamiaji watakuwa washabeba vifaa! YaaanMh Janury Yusuph Makamba nakukumbusha kuwa mwezi March, 28 2021 TPA ilileta Crane yenye uzuto wa Tani 70 ila kwa Bahati mbaya ilitumbukia baharini palepale Bandarini Jijin Dar es salaam, na TPA waliahidi kuwa wanauwezo wa kuitoa, sasa kama TPA walileta mzigo wa Tani 70 iweje useme Tanzania nzima hakuna Crane yenye uwezo wakubeba tani 26?
Mh. Makamba wanyetidhaji wangu wananiambia picha inayonekana hapo chini imepigwa na mfanyakazi wa huko eneo la mradi na hizo crane unaziona hapo mbili ziko 3 na kila moja inauwezo wakubeba Tani 10 kwa maana zote tatu mzigo wa tani 26 unabebeka, sasa unatuambia hakuna crane inayoweza kubeba tani 26 kweli?
Mh Makamba angalia lile daraja la SGR la KM 2.5 toka station mpaka shaurimoyo zile berms zilizopandishea kule juu unajua zina usito gani? Tutake radhi Mh January unatupa mashakha sana.View attachment 2007794View attachment 2007795View attachment 2007796
View attachment 2007829
Ina maana Adio yako mkubwa ni makamba pekee mbona mambo ya ajabu
Ukiamka Makamba
Ukilala Makamba
Ukigeuka Makamba
Mbona hawasemi mbolea ni Elfu 95 saiv au hawaoni kila kitu Makamba
Siyo kuwa anajua watanzania ni wajinga, bali uwezo wake ndio hafifu. Kwa hiyo anapoongea pumba anajifikiria kuwa ametoa point sana.January anajua Watanzania wajinga wajinga tu,hawawezi kujua.
Aliuliza wataalamu kweli?Siyo kuwa anajua watanzania ni wajinga, bali uwezo wake ndio hafifu. Kwa hiyo anapoongea pumba anajifikiria kuwa ametoa point sana.
Sema wewe upigwe, sisi tunstaka tuone maendeleoMara 100 tupigwe kuliko utawala wa awamu iliyoisha.
Kinachonisikitisha ni kuwa Tanzania ina historia ya kushtaki mawaziri wastaafu na wakashitakika, hatimaye wakafungika. Historia ina kawaida ya kujirudia. Nampenda Januari nisingependa hayo yampate.MAKAMBA yuko mahususi Kwa ajili ya kurudusha ule mchezo mchafu wa kina lowasa zamani na inawezekana ametangulizwa tu mbele ila wakuu wako Nyuma
Biashara ya majenerata ndio hiyo inarudi
Watanzania tuombe sana nchi inarudishwa mikononi mwa wale Jamaa wa enzi zile
Kwa MAKAMBA Mama Samia umechemka.
Sema wewe upigwe, sisi tunstaka tuone maendeleo
Halafu na wewe, watu wanaongelea crane wewe unaongelea kiswahili. Tukisema una issue upstairs unalalamika tunakuonea.Huyo mtangazaji hajui hata Kiswahili, Kenya wanaongea kiswahili kizuri kutuzidi kwa sasa.
Lah, hii ni ngumu.Mara 100 tupigwe kuliko utawala wa awamu iliyoisha.
na wewe kwa akili zako unaona kweli kabisa haiwezi kuwa distmantled? na kuwekewa maboya?Sasa umeshasema ilitumbukia baharini TPA walisema wana uwezo wa kuitoa lakini inavyoonekana haijatolewa mpaka sasa ndio maana wameamua kuagiza.
avata yako ina sura mbaya, ila ukiangalia kwa makini ndio moyo wako ulivyoMara 100 tupigwe kuliko utawala wa awamu iliyoisha.
Mkuuu makamba wa watu ni kivuli tu ametumwa kusemea masrahi ya watu mkuuBado naendelea kukumbusha Mh Makamba kuwa tunaweza huu ni ujenzi wa SGR daraja station mpaka shaurimoyoView attachment 2007818
Sent using Jamii Forums mobile app