Ridomil gold
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 2,790
- 2,232
Samia hawezi kufanya lolote mkuu samia kawekwa paleMAKAMBA yuko mahususi Kwa ajili ya kurudusha ule mchezo mchafu wa kina lowasa zamani na inawezekana ametangulizwa tu mbele ila wakuu wako Nyuma
Biashara ya majenerata ndio hiyo inarudi
Watanzania tuombe sana nchi inarudishwa mikononi mwa wale Jamaa wa enzi zile
Kwa MAKAMBA Mama Samia umechemka.
Lah, hii ni ngumu.
Hivi hatuwezi kuishi bila ya hizi pande mbili zote mbovu? Hii nchi itakuwa na laana ya namna gani!
Wewe unakubali "mara 100 upigwe", na huyo mwingine naye anajiapiza "dikteta" ndiye chaguo lake!
Utamkumbuka wewe na ukoo wenu......No more diktetaship.avata yako ina sura mbaya, ila ukiangalia kwa makini ndio moyo wako ulivyo
Kaka kimahesabu tu.hyo milango Ina tani 26.Mmoja atuonyeshe picha za hivyo vyuma vinavyotakiwa kubebwa ili tutoe comment concret hapa kuliko kuendelea kupiga taarabu.
Lakini kama sikosei amesema hizo crane zinakuja ila hazitafika kwa muda huo tajwa.
Mkuu hii jf Bwana ,apa umepiga kitu kizito KWA J ,Makamba waziri,Watanzania acheni kutia aibu, CRANE TON 26 na hiyo TON 70 jamani ni ndogo saaana hizo kwenye uwanja huu hapa TZ...
Tanzani zipo mpaka crane mobile na crawler za mpaka ton 300.... hapa nazungumzia kuanzia 100,200 to 300tons can be either crawler or mobile nendeni pale EFFCO DSM, ALSTAIR, au hata kwa Raphael logistic...
Labda kanukuliwa vibaya!Mh Janury Yusuph Makamba nakukumbusha kuwa mwezi March, 28 2021 TPA ilileta Crane yenye uzuto wa Tani 70 ila kwa Bahati mbaya ilitumbukia baharini palepale Bandarini Jijin Dar es salaam, na TPA waliahidi kuwa wanauwezo wa kuitoa, sasa kama TPA walileta mzigo wa Tani 70 iweje useme Tanzania nzima hakuna Crane yenye uwezo wakubeba tani 26?
Mh. Makamba wanyetidhaji wangu wananiambia picha inayonekana hapo chini imepigwa na mfanyakazi wa huko eneo la mradi na hizo crane unaziona hapo mbili ziko 3 na kila moja inauwezo wakubeba Tani 10 kwa maana zote tatu mzigo wa tani 26 unabebeka, sasa unatuambia hakuna crane inayoweza kubeba tani 26 kweli?
Mh Makamba angalia lile daraja la SGR la KM 2.5 toka station mpaka shaurimoyo zile berms zilizopandishea kule juu unajua zina usito gani? Tutake radhi Mh January unatupa mashakha sana.View attachment 2007794View attachment 2007795View attachment 2007796
View attachment 2007829
Sasa Samia anajua nn? Ingekuwa Magufuli sawa hizo Tan anazijua vizuri kuwa ni ndogo ila Samia ye akiambiwa hamna anakubali tu.Huyu alitakiwa mpaka saiv awe kashatumbuliwa,lakin kwakua wameamua kurudisha siasa tena ichukue asilimia 90 kwenye mambo ya msingi basi.Kidogo mwendazake alipunguza.
Kwa hiyo akilikoroga aangakiwe tu?Ina maana Adio yako mkubwa ni makamba pekee mbona mambo ya ajabu
Ukiamka Makamba
Ukilala Makamba
Ukigeuka Makamba
Mbona hawasemi mbolea ni Elfu 95 saiv au hawaoni kila kitu Makamba
Nilisema nje ya mada.Halafu na wewe, watu wanaongelea crane wewe unaongelea kiswahili. Tukisema una issue upstairs unalalamika tunakuonea.
Hapa kuna mchezo unatengenezwa watu wapige hela.Si bureKaka kimahesabu tu.hyo milango Ina tani 26.
hao waturuki Wanaojenga reli Wana winch ya kubeba tani 40 na kitu.
Hii pia unataka uone picha?
hilo bwawa la nyerere.samia akifanya masikhara linakufa bila kuwaka umeme.
Hata hafahamikiKwani Waziri Kivuli wa Nishati ni nani?
KabisaHii nchi ni ngumu sana.kuna kalaana Fulani nadhani.kilicho chema tunakikataa kilicho cha ovyo tunakisifia.kwa ujumla inaumiza sana