Uchaguzi 2020 Nakuonya Tundu Lissu kuelekea uchaguzi mkuu 2020

Hii nayo ni thread nzito?[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Daaah,hakuna ulichoandika zaidi ya porojo!Mkifanya ya Jecha kitaeleweka awamu hii!Ifikie mahali sanduku la kura liheshimiwe na liogopwe kuchezewa!
Tumestuka hakuna mtu atakaye ingia mtaani kwa ujinga wenu na huyo kowadi na msaliliti wa taifa
 
JUMA JUMA ACHA UNAFIKI UTAKUFA MDOMO WAZI .....CHANZO KIKUBWA CHA VURUGU NI WATU WETU SISI (DCs and RCs).
 
Ya Malawi Congo kenya yanaenda kutokea Tanzania
Malawi chama tawala kilitolewa kikaingia chama pinzani cha akina Mutharika sasa kimerudi chama tawala sijui kama unaelewa hili usije ukawa kama wasiojua wanaofikiri chama kilichoshindwa Malawi ni tawala. Kumbuka upinzani malawi walishindwa kupaform ndiyomaana wametolewa sasa Tanzania siyo mahabara kwamba tuwape nchi ya majaribio
 
Chadema inaonekana hayo maonyo Kama yamewagusa vile. Tulieni makamandaa sindano iwaingie[emoji23][emoji23]
Sindano zinawaingia nyinyi waramba viatu maana mnajua kuwa Jiwe asipo pata urais ndiyo mwisho wenu wa maisha maana hakuna mtu atawapatia kazi ya umbea
 
Angalia MPUUZI mwingine huyu. Wewe ni nani Nchi hii hadi uandike ujinga huu dhidi ya Lissu? 😳😳😳 Acha KUJIKWEZA STAY ON YOUR LANE. You’re NOBODY in this country.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…