Usisahau kuandika kuhusu miradi ya kimkakati kama Bwawa la Nyerere na SGR.
Hakuna marehemu aliyewahi kushinda vitaMkuu unatafuta vita vya moto,maji,unga,upepo,radi
Kama unafamilia kaa chini muombe Mungu akuzidishie ulichonacho uwa jengee future nzuri wanao
Siasa ni invisible war
😅😅😅sasa akiandika kula kitu kitabu hakitatoshaMkuu usisahau kuandika kuwa magufuli hakupenda kufanya kazi na watu wenye akili timamu ila maxombie na maroboti kama Kabudi
Pia usisahau kuandika kuwa magufoool hakupenda kabisa habari za kifo chake ziwekwe hadharani kabla ya 2025
Duuh na yeye watoto wake walimshinda?😅Nakisubiri kwa hamu sana kitabu hicho. Kati ya mwaka 1999 na 2000 kuna mwandishi akiitwa Munga Tehenan aliwahi kuandika kitabu kiitwacho, "Julius Kambarage Nyerere: Alikuwa Haambiliki na Alishindwa Kulea Watoto Wake". Nilikinunua kitabu hicho mwaka 2000 nikiwa Kahama Mjini kipindi hicho.
Sidhani kama aliendelea kuandika vitabu vingine maana KARMA ilimshughulikia.
Na utapeli wake uanikwe hadharani kuingiza nchi kwenye madeni makubwa akidanganya mazezeta yake kwamba ni pesa za ndani kumbe ni mikopo yenye riba.Usisahau kuandika kuhusu miradi ya kimkakati kama Bwawa la Nyerere na SGR.
DunianiUnakiuza nchi gani?
Exactly, mkuu utafanya la maana Sana kuandika hiko kitabu, hili vizazi vijavyo vije kujua kuwa tushawai kuongozwa na jitu moja liuaji na lililokuwa linafurahi Watz wenzie kufia jela, na kutopora fedha zetu kwenye maduka ya kubadili fedhaNiko ktk harakati za kuandika kitabu kitakachoelezea madhila ambayo Taifa letu limepitia kwa kipindi cha miaka 5 na miezi 5 (Novemba 2015-March 2021). Kitabu hiki kitaelezea mateso na ukandamizaji watanzania waliopitia ktk kipindi hiki chini ya utawala wa rais Magufuli.
Na nikishauza kopi za kutosha za kitabu hicho nitaandaa na documentary yake. Kitabu na documentary vitaenda kwa jina la:
Dictatorship of
M A G U F U L I
(The Master of Chaos).
Hii ni kuweka kumbukumbu kwa vizazi viijavyo ili visije kufanya makosa kuchagua mtu kama Magufuli na kupitia mateso kama haya.
Yeyote mwenye jambo ambalo unadhani nisilisahau kwenye kitabu changu aniwekee hapa nitalichukua.
Mungu wenyewe huko alipo hampumzishi, akilala mijeredi ,akihamka mijeredi mwanzo mwisho!!Hebu mwacheni mzee wa watu apumzike dah
Ova
Simba achezewi sharubu. Alichezea korona. Ikatembelea ikulu yake. Ikawa inachukua mmoja mmoja anaangalia tu, mwisho ikabeba na yeyeMkuu usisahau kuandika kuwa magufuli hakupenda kufanya kazi na watu wenye akili timamu ila maxombie na maroboti kama Kabudi
Pia usisahau kuandika kuwa magufoool hakupenda kabisa habari za kifo chake ziwekwe hadharani kabla ya 2025
Hakuna pumziko la wabayaHebu mwacheni mzee wa watu apumzike dah
Ova
Na aliyejengewa hotel ya ghorofa pale DarUsisahau kuweka demu wake yule alimpa uwaziri na kuzaa naye
Tulia Mkuu Ngoja aandike labla atawafuata watu wake wa karibu kuwashilikishaMleta mada hajielewi huwezi kuandika kitabu cha mtu mkubwa wakati wewe.ni.ktu.mdogo pimbi tu wa mtaani hakiwezi pata soko kitaishia tu
Kuandika kuhusu maisha ya Raisi anayakiwa aandike mtu wa rank ya juu sana aliyofanya kazi karibu naye kwa muda mrefu
Vinginevyo hakiwi na credibility sababu kitajaa umbeya tu usio na ushahidi
Kwa hiyo Biography ya rais inatakiwa kuandikwa na mfalme, au?Mleta mada hajielewi huwezi kuandika kitabu cha mtu mkubwa wakati wewe.ni.ktu.mdogo pimbi tu wa mtaani hakiwezi pata soko kitaishia tu
Kuandika kuhusu maisha ya Raisi anayakiwa aandike mtu wa rank ya juu sana aliyofanya kazi karibu naye kwa muda mrefu
Vinginevyo hakiwi na credibility sababu kitajaa umbeya tu usio na ushahidi
Hivi yule mtu aliwahi kuwa na mazuri kweli!!!???🤔🤔🤔Utaandika na mazuri yake au mabaya tu?
Vitabu kama hivyo huandikwa na watu kama mkuu wa majeshi au usalama wa taifa wa ngazi za juu au mkuu wa polisi wa kipindi husika cha Raisi mhusika sio kaukuta wa barabarani anayeokoteza vitaarifa majalalaniTulia Mkuu Ngoja aandike labla atawafuata watu wake wa karibu kuwashilikisha
Mkuu,Yeyote mwenye jambo ambalo unadhani nisilisahau kwenye kitabu changu aniwekee hapa nitalichukua.