Si mchumba wa kwanza kumpata yaan wakifikia stage ya kwenda kujitambulisha lazima niingize chokochoko tugombane tutengane...
Sasa,mpaka inafikia kwenda kujitambulisha, na si wa kwanza, huoni we mdangaji! Kwamba wanakuwa waomba tu waoe,mbunye hawachakazi!!Ndoa ya nini sasa!!!
Unawadanganya kina nani! Mara ndugu,mara nini. Ndugu wanawapa kipato? Walikuwa wanawalisha?! Kama uliweza kuvumilia ukazalishwa,si ulishindwa kulea?
Sema anahitajika wa kukulelea watoto,maana wote hao unajisifu unaleta sababu mnaachana, si kweli. Kwa idadi hiyo ya watoto, single mother, huna ubavu huo,wanakuja tu kutua uzito,wakishakinai wanakuacha.
Ili upate msaada,nyoosha maelezo usipindishe kauli