Nakuwa na maamuzi ya kusitasita kuolewa tena tangu ndoa ya kwanza inishinde 2021

Nakuwa na maamuzi ya kusitasita kuolewa tena tangu ndoa ya kwanza inishinde 2021

Mkuu,
Kwanza ukiona mwanaume amekua serious kutaka kukuoa KE ukiwa ni singo mother, tena wa watoto 2 jione mwny bahati Sana na umependwa Sana.

Na usidhan jamaa kakurupuka,
Kuna kitu cha ziada kakiona kwako ambacho hajakiona kwa single ladies au singo mothers wengine mitaani.

Fanya maamuz haraka ya ndoa kabla shetan hajatia doa penzi lenu
Mara nyingi wanao fanya huo uamuzi,ni vijana ambao hawana kipato cha kueleweka.

Hivyo wanatafuta mwanamke mwenye kazi ili awe na uhakika wa hela..wapo wengi mnoo,walimu wanaingizwa mkenge sana,wanajikuta wamechukua mkopo kumchukulia huyo jamaa,badae anakula kona.

Walimu ni wahanga wakubwa.Nina shuhuda zisizo pungua tano,wadada wanataabika na mikopo baada ya wanaume kula kona.

Take care To yeye
 
Kama hajawahi kuoa
Kama hafanyi kazi /biashara yenye kueleweka
Kama hana watoto
Kama ndugu zake hawajui kama uliwahi kuolewa na una watoto
Kama huna kipato cha kumudu kulea wanao bila assistance ya baba yao

Wazo lako la kusita sita ni sahihi ukiliendeleza!
Uko sahihi sana!
 
Haiwezekani iwe wanaume Tu ndo Wana shida ...na wewe je?
Umerekebisha kasoro zako?
Au bado unaamini " uko perfect" ?
Hukuwa na shida kabisa?...
Kasoro zako unazijua na umezifanyia kazi ...au ni mume na familia yake ndo Wana 'matatizo "wewe huna kabisa?
Kabisa maana hawa viumbe kwa kutafta huruma hawajambo.....afu anajiona kidume eti wanangu wawili.....hakuna mwanaume mkorofi mbele ya mwanamke mnyenyekevu,,,,
 
Mara nyingi wanao fanya huo uamuzi,ni vijana ambao hawana kipato cha kueleweka.

Hivyo wanatafuta mwanamke mwenye kazi ili awe na uhakika wa hela..wapo wengi mnoo,walimu wanaingizwa mkenge sana,wanajikuta wamechukua mkopo kumchukulia huyo jamaa,badae anakula kona.

Walimu ni wahanga wakubwa.Nina shuhuda zisizo pungua tano,wadada wanataabika na mikopo baada ya wanaume kula kona.

Take care To yeye

Mara nyingi wanao fanya huo uamuzi,ni vijana ambao hawana kipato cha kueleweka.

Hivyo wanatafuta mwanamke mwenye kazi ili awe na uhakika wa hela..wapo wengi mnoo,walimu wanaingizwa mkenge sana,wanajikuta wamechukua mkopo kumchukulia huyo jamaa,badae anakula kona.

Walimu ni wahanga wakubwa.Nina shuhuda zisizo pungua tano,wadada wanataabika na mikopo baada ya wanaume kula kona.

Take care To yeye
Uko sahihi sana!
 
Pole sana kwa changamoto...Mambo ya uhusiano hayana formula wala ushauri ,maamuzi unayo wewe kulingana na mziki unaouona ,sisi wengine tutashauri vitu ambvyo hata hatujui vilivyo.
 
Kama ukiamua kuwalea watoto wako na ukawa muaminifu usifanye uzinzi maisha yako yote basi usiolewe

Lakini kama unaona hutoweza kukaa bila kuwa na hamu ya tendo basi muombe Mungu akupe mtu sahihi ambaye hatakuwa kama wa kwanza atakayekupenda na kukujali then mfunge ndoa
Hao watoto sio wake pekeake ni wa jamii,yake na ya mume wake....na hakuna wa kuwtenganisha watu ambao Mungu aliwaunganisha zaidi ya kifo.....tena mbaya zaidi huyu mwanamke kwa uchungu alionao juu ya huyo mume,ni dhahiri alimpenda mno,atakaye jichanganya hapo lazima ale za utosi
 
Yeah,nishawahi olewa lakini ndoa yetu ilikuwa ni nusu nichinjwe....ndoa ilikuwa na changamoto nyingi Kabla ya kuoana na baada ya kuoana.....

Kiufupi ilikuwa ni ndoa ambayo katika uchumba ilitupa ishara zote kwamba tunaforce.....(vipingamizi toka kwa ndugu...) lakini tukaangalia siye twapendana imetosha.(Kumbe tulikuwa tunajidanganya ndugu ni sehemu kubwa ya maisha ya ndoa).....hivyo hatukutoboa tukapeana talaka maana ikawa vita sasa ya Israel na Ukraine.

Nina watoto wawili,nimepata mchumba mjasiriamali....sasa kufanya maamuzi ya kuingia tena ndani ya ndoa naogopa....si mchumba wa kwanza kumpata yaan wakifikia stage ya kwenda kujitambulisha lazima niingize chokochoko tugombane tutengane....naogopa mwenzenu....naogopa nilitaka kuuawa na mtu niliyemwamini....naogopa kumtumikia mume tena....naogopa ndugu wa mume watakuwaje katika maisha yetu....naiogopa ndoa ndugu yenu😭

Naomba ushauri nilee wanangu hawa niliopewa na Mwenyezi Mungu au niingie tena kwenye ndoa na huyu mchumba...kiufupi Kaka wa watu hana makuu...ni mtu mwema tu na anastahili.

Majibu yote napokea ndugu zangu🙏🏽
Pole sana,kwanilivyosoma nakuelewa unachangamoto zaidi ya ulichoandika basi uwe makini na shauri zetu maana tutashauri kulingana na tulivyovisoma hapa mathalani kuelewa, kwanza watoto hao watoto sio wako pekeeee
 
Mi nakuelewa.
Sio swala rahisi sana kwa mwanamke!
Wanaume rahisi kuingia mahusiano mapya na ndoa, kwa mwanamke ni changamoto.
Hasa kama umekaa tayari muda na umeshafanya vitu vyako ukiwa mwenyewe, umeshakuwa na uhuru wako mwenyewe.
Ku submit again , hasa baada ya your first submission kutokufanikiwa, Aseee uache kazi ufanye kazi!
Kuna sacrifices nying sana along the way ambazo, dah!
Sioni sana they worth the thing!
Japokuwa ni kweli unastahili mwenzi, unahitaji mwenzi, unatakiwa kuwa na mwenzi.

Haijalishi magumu yaliyopo kwenye mahusiano na ndoa, Bado Ndoa ni kitu chema sana!
Na wanaume na wanawake wema kuishi nao bado wapo!
Shughuli ni Haaaayo maamuzi ya kuvuka kufikia walipo!
Hapo ndo ngoma!
Kupanda mchongoma, kushuka ndio ngoma...

Kuna pointi moja ya muhimu sana umeiandika ila mbele ukaifukia fukia, mimi naihighlight..

''The sacrifices are not worth the thing''

Sacrifice unayozungumzia ni submissiveness..

Naomba kuuliza, ku submitt huwa ni sacrifice kubwa sana kwenu?
 
Tuliiva ila ndugu hawakuiva hawakutaka Kabisa tuoane mkuu...tukaforce na ndoa ikafungwa
Ndugu wananafasi kubwa sana katika ndoa nivile tu tunaforuce kwakweli ,napitia the same story japo mm niwakiume ila kuforce force huku ,wakati ukijua kabisa danger signs zote za ndoa kua na misukosuko sijui nikipi hua kinatukuta....yaani unajua kabisa huyu sio sahihi ila bado unaamua kuoa
 
Ndugu wananafasi kubwa sana katika ndoa nivile tu tunaforuce kwakweli ,napitia the same story japo mm niwakiume ila kuforce force huku ,wakati ukijua kabisa danger signs zote za ndoa kua na misukosuko sijui nikipi hua kinatukuta....yaani unajua kabisa huyu sio sahihi ila bado unaamua kuoa
Hii ni mbaya sana,hamtoboi mkuu....inaumiza sana
 
Wanangu sipo nao mkuu
Kitu ambacho nilikuwa sipendi kitokee ni kuishi mbali na familia/watoto ingali niko hai. Nashukuru Mungu anaendelea kutia wepesi kwenye hili. Labda ikija kutokea niwe nisiwepo kabisa kwa mapenzi yake Muumba.

Ushauri:

Wanaume hatufanani kama ambayo wanawake hamfanani, ila ukipata mwanaume ambaye anataka familia kutoka moyoni na yuko tayari kusonga mbele, basi hapo hauna budi kuingia chamani.

Usiingie chamani kwa kuwa wewe ndio unataka ilihali mwezako yuko mguu mmoja ndani mwingine nje.

Sasa kazi ipo kumpata huyo atakayekuwa tayari kuwa na familia.
 
Kama huyo Mwanaume ni mtu mzima (ana umri zaidi ya miaka 48) ningeshauri muendelee.

Ila kama yupo kwenye Rika la Ujana, ujue huyo atakufanya single Maza wa watoto 3 hapo baadaye.

Ukweli usemwe, hakuna Mwanaume atakayeweza kuoa Mwanamke single wa watoto wawili na yupo kwenye Rika la Ujana, Unless huyo Mwanaume ni mtu mzima ambaye pengine Mgane (Mkewe amefariki) na tayari naye ana watoto.

Sisi kazi yetu ni kushauri tu, ila mwenye maamuzi ya mwisho ni wewe mwenyewe.

Wishing you all the best 🙏🙏
 
Kitu ambacho nilikuwa sipendi kitokee ni kuishi mbali na familia/watoto ingali niko hai. Nashukuru Mungu anaendelea kutia wepesi kwenye hili. Labda ikija kutokea niwe nisiwepo kabisa kwa mapenzi yake Muumba.

Ushauri:

Wanaume hatufanani kama ambayo wanawake hamfanani, ila ukipata mwanaume ambaye anataka familia kutoka moyoni na yuko tayari kusonga mbele, basi hapo hauna budi kuingia chamani.

Usiingie chamani kwa kuwa wewe ndio unataka ilihali mwezako yuko mguu mmoja ndani mwingine nje.

Sasa kazi ipo kumpata huyo atakayekuwa tayari kuwa na familia.
Amina,asante sana Mwifwa
 
Kama huyo Mwanaume ni mtu mzima (ana umri zaidi ya miaka 48) ningeshauri muendelee.

Ila kama yupo kwenye Rika la Ujana, ujue huyo atakufanya single Maza wa watoto 3 hapo baadaye.

Ukweli usemwe, hakuna Mwanaume atakayeweza kuoa Mwanamke single wa watoto wawili na yupo kwenye Rika la Ujana, Unless huyo Mwanaume ni mtu mzima ambaye pengine Mgane (Mkewe amefariki) na tayari naye ana watoto.

Sisi kazi yetu ni kushauri tu, ila mwenye maamuzi ya mwisho ni wewe mwenyewe.

Wishing you all the best 🙏🙏
Amina...Barikiwa sana mkuu...nimekuelewa
 
Mara nyingi wanao fanya huo uamuzi,ni vijana ambao hawana kipato cha kueleweka.

Hivyo wanatafuta mwanamke mwenye kazi ili awe na uhakika wa hela..wapo wengi mnoo,walimu wanaingizwa mkenge sana,wanajikuta wamechukua mkopo kumchukulia huyo jamaa,badae anakula kona.

Walimu ni wahanga wakubwa.Nina shuhuda zisizo pungua tano,wadada wanataabika na mikopo baada ya wanaume kula kona.

Take care To yeye
Asante sana mkuu,Barikiwa sana
 
Back
Top Bottom