Nakuwa na maamuzi ya kusitasita kuolewa tena tangu ndoa ya kwanza inishinde 2021

Nakuwa na maamuzi ya kusitasita kuolewa tena tangu ndoa ya kwanza inishinde 2021

Yeah,nishawahi olewa lakini ndoa yetu ilikuwa ni nusu nichinjwe....ndoa ilikuwa na changamoto nyingi Kabla ya kuoana na baada ya kuoana.....

Kiufupi ilikuwa ni ndoa ambayo katika uchumba ilitupa ishara zote kwamba tunaforce.....(vipingamizi toka kwa ndugu...) lakini tukaangalia siye twapendana imetosha.(Kumbe tulikuwa tunajidanganya ndugu ni sehemu kubwa ya maisha ya ndoa).....hivyo hatukutoboa tukapeana talaka maana ikawa vita sasa ya Israel na Ukraine.

Nina watoto wawili,nimepata mchumba mjasiriamali....sasa kufanya maamuzi ya kuingia tena ndani ya ndoa naogopa....si mchumba wa kwanza kumpata yaan wakifikia stage ya kwenda kujitambulisha lazima niingize chokochoko tugombane tutengane....naogopa mwenzenu....naogopa nilitaka kuuawa na mtu niliyemwamini....naogopa kumtumikia mume tena....naogopa ndugu wa mume watakuwaje katika maisha yetu....naiogopa ndoa ndugu yenu[emoji24]

Naomba ushauri nilee wanangu hawa niliopewa na Mwenyezi Mungu au niingie tena kwenye ndoa na huyu mchumba...kiufupi Kaka wa watu hana makuu...ni mtu mwema tu na anastahili.

Majibu yote napokea ndugu zangu[emoji1431]
kiufupi Kaka wa watu hana makuu...ni mtu mwema tu na anastahili.[emoji419][emoji375]
Shikilia hapo hapo.. Usiogope
 
Yeah,nishawahi olewa lakini ndoa yetu ilikuwa ni nusu nichinjwe....ndoa ilikuwa na changamoto nyingi Kabla ya kuoana na baada ya kuoana.....

Kiufupi ilikuwa ni ndoa ambayo katika uchumba ilitupa ishara zote kwamba tunaforce.....(vipingamizi toka kwa ndugu...) lakini tukaangalia siye twapendana imetosha.(Kumbe tulikuwa tunajidanganya ndugu ni sehemu kubwa ya maisha ya ndoa).....hivyo hatukutoboa tukapeana talaka maana ikawa vita sasa ya Israel na Ukraine.

Nina watoto wawili,nimepata mchumba mjasiriamali....sasa kufanya maamuzi ya kuingia tena ndani ya ndoa naogopa....si mchumba wa kwanza kumpata yaan wakifikia stage ya kwenda kujitambulisha lazima niingize chokochoko tugombane tutengane....naogopa mwenzenu....naogopa nilitaka kuuawa na mtu niliyemwamini....naogopa kumtumikia mume tena....naogopa ndugu wa mume watakuwaje katika maisha yetu....naiogopa ndoa ndugu yenu[emoji24]

Naomba ushauri nilee wanangu hawa niliopewa na Mwenyezi Mungu au niingie tena kwenye ndoa na huyu mchumba...kiufupi Kaka wa watu hana makuu...ni mtu mwema tu na anastahili.

Majibu yote napokea ndugu zangu[emoji1431]
kiufupi Kaka wa watu hana makuu...ni mtu mwema tu na anastahili.[emoji419][emoji375]
Shikilia hapo hapo.. Usiogope
 
Yeah,nishawahi olewa lakini ndoa yetu ilikuwa ni nusu nichinjwe....ndoa ilikuwa na changamoto nyingi Kabla ya kuoana na baada ya kuoana.....

Kiufupi ilikuwa ni ndoa ambayo katika uchumba ilitupa ishara zote kwamba tunaforce.....(vipingamizi toka kwa ndugu...) lakini tukaangalia siye twapendana imetosha.(Kumbe tulikuwa tunajidanganya ndugu ni sehemu kubwa ya maisha ya ndoa).....hivyo hatukutoboa tukapeana talaka maana ikawa vita sasa ya Israel na Ukraine.

Nina watoto wawili,nimepata mchumba mjasiriamali....sasa kufanya maamuzi ya kuingia tena ndani ya ndoa naogopa....si mchumba wa kwanza kumpata yaan wakifikia stage ya kwenda kujitambulisha lazima niingize chokochoko tugombane tutengane....naogopa mwenzenu....naogopa nilitaka kuuawa na mtu niliyemwamini....naogopa kumtumikia mume tena....naogopa ndugu wa mume watakuwaje katika maisha yetu....naiogopa ndoa ndugu yenu[emoji24]

Naomba ushauri nilee wanangu hawa niliopewa na Mwenyezi Mungu au niingie tena kwenye ndoa na huyu mchumba...kiufupi Kaka wa watu hana makuu...ni mtu mwema tu na anastahili.

Majibu yote napokea ndugu zangu[emoji1431]
Hahaha olewa weww acha uzinz

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Yeah,nishawahi olewa lakini ndoa yetu ilikuwa ni nusu nichinjwe....ndoa ilikuwa na changamoto nyingi Kabla ya kuoana na baada ya kuoana.....

Kiufupi ilikuwa ni ndoa ambayo katika uchumba ilitupa ishara zote kwamba tunaforce.....(vipingamizi toka kwa ndugu...) lakini tukaangalia siye twapendana imetosha.(Kumbe tulikuwa tunajidanganya ndugu ni sehemu kubwa ya maisha ya ndoa).....hivyo hatukutoboa tukapeana talaka maana ikawa vita sasa ya Israel na Ukraine.

Nina watoto wawili,nimepata mchumba mjasiriamali....sasa kufanya maamuzi ya kuingia tena ndani ya ndoa naogopa....si mchumba wa kwanza kumpata yaan wakifikia stage ya kwenda kujitambulisha lazima niingize chokochoko tugombane tutengane....naogopa mwenzenu....naogopa nilitaka kuuawa na mtu niliyemwamini....naogopa kumtumikia mume tena....naogopa ndugu wa mume watakuwaje katika maisha yetu....naiogopa ndoa ndugu yenu😭

Naomba ushauri nilee wanangu hawa niliopewa na Mwenyezi Mungu au niingie tena kwenye ndoa na huyu mchumba...kiufupi Kaka wa watu hana makuu...ni mtu mwema tu na anastahili.

Majibu yote napokea ndugu zangu🙏🏽
Usiingie kichwa kichwa msome kwanza at least miaka miwili.
 
Kama wewe ni Mkristo. Na kama uliefunga nae ndoa yupo hai.

Kama sababu ya kuachana haikuwa uzinzi, nyie bado ni wanandoa.

Hivyo hata usiangaike na ndoa nyingine. Kwa sababu mtakuwa mnazini maisha yenu yote. Na utasumbua tu watoto.

Tofauti na hapo hiyo hofu iliyopo ndani kwako inakukumbusha kitu.
 
Penda Sana kuusikiliza Moyo Wako,,Ndio Ukweli wako dhabiti kabisa katika mustakabali wa maisha yako kiujumla Iwe kifikra,,,kimaono na kimtazamo na pia Kimwili,,,kinafsi na kiakili,,, Kwenye maisha haya kila mmoja ameumbwa na mtihani yake Fanya ya kwako,,,usifosi kufanya mitihani ya wengine utapotea,,"*Si kila kitu kwa ajili ya kila Mtu"". Luv you Ty💞💞💞
 
Ndoa ni taasisi nyeti Sana unapoamua kuingia ni lazima uwe umejiridhisha na uwe tiyari kuvumilia yatokanayo, shida ya wengi ni kwamba mke unaolewa lakini haujachanq na familia yako, na mme unaoa wakati huo haujachana na ndugu zako, mke akiwa ni wafamila nzima au mme akiwa ni wafamiliq nzima lazima itokee migogoro, na wengi wa chanzo cha ndoa kuvunjika ni ndugu, mwanaume mwenye akili zako unakubalieje kusikiliza mashitaka ya mke wako, mwanaume anapaswa kumlinda mke wake na mwanamke hivyo hivyo, lakini mkifungua milango kwenye ndoa yenu alafu kila mmoja ni msemaji wa ndoa yenu na nyinyi mnawasikiliza, hiyo ndoa haiwezi kudumu!!




Ushauri, kwa wakristo sisi ukishaolewa na ukaachika unapaswa ukae hivyo hivyo mpaka yule mme wako wa ndoa akifa utakuwa huru tena, vinginevyo ukiforce kuolewa tena, utakuwa unazini matokeo yake ni moto wa milele, hivyo basi kaa hivyo hivyo lea watoto wako
Lakini, usijifanye hujui wanawake wa siku hizi. Sio wote,lakini wapo. Kwenye uchumba,mnyenyekevu. Akishaolewa, utajua kumbe hujui. Bahati mbaya sana,uoe mwanamke anaekuzidi kipato! Enzi za mama na bibi,walijua wanachoenda kufanya. Unadhani migogoro haikuwepo? Leo hii,washauli wa ndoa ni mahawala. Unategemea nini! Hawala anajua mmeo hakulidhishi(ina maana mwanamke anajua ndefu,fupi,nyembamba, kibamia). Huyo anafaa kwa ndoa?
 
Mi nakuelewa.
Sio swala rahisi sana kwa mwanamke!
Wanaume rahisi kuingia mahusiano mapya na ndoa, kwa mwanamke ni changamoto.
Hasa kama umekaa tayari muda na umeshafanya vitu vyako ukiwa mwenyewe, umeshakuwa na uhuru wako mwenyewe.
Ku submit again , hasa baada ya your first submission kutokufanikiwa, Aseee uache kazi ufanye kazi!
Kuna sacrifices nying sana along the way ambazo, dah!
Sioni sana they worth the thing!
Japokuwa ni kweli unastahili mwenzi, unahitaji mwenzi, unatakiwa kuwa na mwenzi.

Haijalishi magumu yaliyopo kwenye mahusiano na ndoa, Bado Ndoa ni kitu chema sana!
Na wanaume na wanawake wema kuishi nao bado wapo!
Shughuli ni Haaaayo maamuzi ya kuvuka kufikia walipo!
Hapo ndo ngoma!
 
Yeah,nishawahi olewa lakini ndoa yetu ilikuwa ni nusu nichinjwe....ndoa ilikuwa na changamoto nyingi Kabla ya kuoana na baada ya kuoana.....

Kiufupi ilikuwa ni ndoa ambayo katika uchumba ilitupa ishara zote kwamba tunaforce.....(vipingamizi toka kwa ndugu...) lakini tukaangalia siye twapendana imetosha.(Kumbe tulikuwa tunajidanganya ndugu ni sehemu kubwa ya maisha ya ndoa).....hivyo hatukutoboa tukapeana talaka maana ikawa vita sasa ya Israel na Ukraine.

Nina watoto wawili,nimepata mchumba mjasiriamali....sasa kufanya maamuzi ya kuingia tena ndani ya ndoa naogopa....si mchumba wa kwanza kumpata yaan wakifikia stage ya kwenda kujitambulisha lazima niingize chokochoko tugombane tutengane....naogopa mwenzenu....naogopa nilitaka kuuawa na mtu niliyemwamini....naogopa kumtumikia mume tena....naogopa ndugu wa mume watakuwaje katika maisha yetu....naiogopa ndoa ndugu yenu😭

Naomba ushauri nilee wanangu hawa niliopewa na Mwenyezi Mungu au niingie tena kwenye ndoa na huyu mchumba...kiufupi Kaka wa watu hana makuu...ni mtu mwema tu na anastahili.

Majibu yote napokea ndugu zangu🙏🏽
Am a scientist,naamini Kwa experiment!

"Anzeni kuishi pamoja Hadi miaka mitatu hadi minne!ili mzione nyufa za kujenga kati yenu!!

Kufunga ndoa hamjawahi ishi kinyumba hasa katika kipindi hiki ambacho Bikra za pande zote zilishaliwa na mchwa ni kujiandaa kufunga ndoa nyingine baada ya hii ya mwanzo kufeli!!

Mi naamini kuishi kwanza halafu taratibu ndoa ifuate sio ghafla bin vuu!!

Ukisha zaa au kuwa na watoto hutakiwi kuwa na hamu ya ndoa Bali kupata mwandani utakaemwamini wa kushirikiana magumu na mapito ya maisha coz unaweza fungal ndoa na mtu akawa sio mwandani wako yaani Kuna mapito au jambo fulani linalokutatiza huwezi mwambia!!

Muombe mungu akupatie wa aina hio sio wa kufunga nae ndoa TU ili uepe pressure ya ndugu na maoni ya kiroho!

Maoni ya kiroho katika ndoa tuliyonayo ni ya kufikirika TU!hayana uhalisia halisi,ndoa sio Ile unayofunga Bali maisha unayoishi na mtu Kila siku ndio ndoa halisi!

Msongo wa harusi,vyeti na maoni ya watu ndio chanzo Cha stress zinazobebwa na watu Kila siku!!!

Be a free man from this now,shinda dhana zote zinazo kufinyanga nafsini!!
 
Maswali specific
1. Mchumba amewahi kuoa?
2. Ana watoto na yeye?
3. Ndugu zake wanajua uliolewa? una watoto?
4. Watoto wako unaishi nao?
5. Baba wa watoto wako anashirikiana nawe malezi na huduma za watoto?
6. Una kipato cha kuweza kuhudumia watoto wako mwenyewe bila fedha ya baba yao?bila mchumba wako kusupport? Cases are wanaume huacha kuhudumia watoto pale mwanamke akiingia kwenye ndoa na mwanaume mwingine, na mwanaume aliyekuoa naye anaweza kusema hawanihusu. Lazima mama uwe ok financially.
7. Ndoa za aina hii mara nying sana MAPENZI PEKEE hayatoshi!
 
Yeah,nishawahi olewa lakini ndoa yetu ilikuwa ni nusu nichinjwe....ndoa ilikuwa na changamoto nyingi Kabla ya kuoana na baada ya kuoana.....

Kiufupi ilikuwa ni ndoa ambayo katika uchumba ilitupa ishara zote kwamba tunaforce.....(vipingamizi toka kwa ndugu...) lakini tukaangalia siye twapendana imetosha.(Kumbe tulikuwa tunajidanganya ndugu ni sehemu kubwa ya maisha ya ndoa).....hivyo hatukutoboa tukapeana talaka maana ikawa vita sasa ya Israel na Ukraine.

Nina watoto wawili,nimepata mchumba mjasiriamali....sasa kufanya maamuzi ya kuingia tena ndani ya ndoa naogopa....si mchumba wa kwanza kumpata yaan wakifikia stage ya kwenda kujitambulisha lazima niingize chokochoko tugombane tutengane....naogopa mwenzenu....naogopa nilitaka kuuawa na mtu niliyemwamini....naogopa kumtumikia mume tena....naogopa ndugu wa mume watakuwaje katika maisha yetu....naiogopa ndoa ndugu yenu😭

Naomba ushauri nilee wanangu hawa niliopewa na Mwenyezi Mungu au niingie tena kwenye ndoa na huyu mchumba...kiufupi Kaka wa watu hana makuu...ni mtu mwema tu na anastahili.

Majibu yote napokea ndugu zangu🙏🏽
Tafuta mwanaume alietoka kwenye ndoa pia nahisi mtaendana zaidi.
 
Back
Top Bottom