NALA imeprove wrong expertise wengi wa Tanzania baada ya kuraise $ million 10

NALA imeprove wrong expertise wengi wa Tanzania baada ya kuraise $ million 10

Artifact Collector

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2019
Posts
6,617
Reaction score
10,205
Tanzania ni nchi moja ya ajabu ambo watu wake wengi ni wabinafsi kupita maelezo, mwanzoni walimbeza sana Fernandez na hii naongea kwa experience Kuna ambao niliwauliza kuhusu Nala na Fernandez wakaishia kumbeza kwamba afiki Mahalia

Juzi jumanne ameraise USD million 10 inaweza ikawa ndo startup iliyo-raise ela nyingi Tanzania, lakin NALA wanapongezwa na wazungu na waafrika wengine wanaoishi nje ya Tanzania

Sijaona wale technology Guru waliompongeza NALA wengi wamekaa kimya as if hakuna kitu kilichotokea, point ni kwamba hawalazimishwi kumpongeza Ila kumpongeza ni sehemu ya professionalism na smartness

Benjamin Fernandez ametufundisha tuache udalali kama wanavyofanya lab nyingi za Tanzania Bali tuje na product, tusipoteze mda mwingi wa kuandaa events na kuzipa majina mazuri

Mfano ukiwaangalia
Sahara venture na branch zake
Smartlab
Dlab
Na wengineo wengi these people are just middleman (madalali) they say their create solutions but their aren't, ni ngumu sana kwa technology kuendelea kama tukiwa na madalali wengi ambao wako interested kuandaa events na sio kuja na product ambazo zitaitangaza nchi
 
Jamaa wa NALA wanajitahidi ila hizo pesa zitawatoboa macho + kurogana
 
Kudos kwa kuraise Pesa (inaonyesha they are good at marketing and sourcing funds)

Tukija kwenye technology sidhani kama kuna originality yoyote kama vile tunavyoweza kuwapa wazee wa Ebay; Amazon; MySpace; Mpesa; Western Union; Uber; Booking.com n.k.

Kwahio nadhani funzo hapa its not only about the product, bali the salespeople behind the product....
 
Tanzania ni nchi moja ya ajabu ambo watu wake wengi ni wabinafsi kupita maelezo, mwanzoni walimbeza sana Fernandez na hii naongea kwa experience Kuna ambao niliwauliza kuhusu Nala na Fernandez wakaishia kumbeza kwamba afiki Mahalia

Juzi jumanne ameraise USD million 10 inaweza ikawa ndo startup iliyo-raise ela nyingi Tanzania, lakin NALA wanapongezwa na wazungu na waafrika wengine wanaoishi nje ya Tanzania

Sijaona wale technology Guru waliompongeza NALA wengi wamekaa kimya as if hakuna kitu kilichotokea, point ni kwamba hawalazimishwi kumpongeza Ila kumpongeza ni sehemu ya professionalism na smartness

Benjamin Fernandez ametufundisha tuache udalali kama wanavyofanya lab nyingi za Tanzania Bali tuje na product, tusipoteze mda mwingi wa kuandaa events na kuzipa majina mazuri

Mfano ukiwaangalia
Sahara venture na branch zake
Smartlab
Dlab
Na wengineo wengi these people are just middleman (madalali) they say their create solutions but their aren't, ni ngumu sana kwa technology kuendelea kama tukiwa na madalali wengi ambao wako interested kuandaa events na sio kuja na product ambazo zitaitangaza nchi
Kwakweli sijaelewa kabisa unataka kusema nini
 
Nirekebishe kama sijakuelewa.. kwamba wame raise pesa ila bado mchakato mzima wa kurudisha profit kwahiyo let’s not celebrate yet
startup za mbele kibao zinaraise pesa lkn hawajui profit itakuja lin, unafaham tesla ilichukua mda gan mpk kuwa profitable?
 
Kudos kwa kuraise Pesa (inaonyesha they are good at marketing and sourcing funds)

Tukija kwenye technology sidhani kama kuna originality yoyote kama vile tunavyoweza kuwapa wazee wa Ebay; Amazon; MySpace; Mpesa; Western Union; Uber; Booking.com n.k.

Kwahio nadhani funzo hapa its not only about the product, bali the salespeople behind the product....
yeah salespeople ndo muhimu siku zote
 
Habari nimeipata kwa Nigerians, sisi huku ni kimasihara tu hatuna habari hizi
kuna 200ml dollars zimkuwa raised by startups this january only in africa ila aliyetutoa kimasomaso ni ben, pekee.. sijui tunakwama wapi.

serikali inamtambua mchzi wampe heshima zake
 
Dah nisiwe muongo mie pia nilikuwa nambeza kijana Benja kipindi kile cha "kuacha kazi ya Bill gates" nikaona jamaa anatengeneza scenario yeye na familia yake ipate jina zaidi (mshua wale ni pastor mmiliki wa ATN).

Ila baadae nikaja kugundua jamaa anacheza chess kama za wakina Mo. Formula yenyewe ni Be recognized, build a platform, build a product behind it, get backing then profit. Na anaicheza vizuri sana.

Acha apige pesa. Step inayofuata ni kugrow the business and then kuwa acquired. Tayari ana guarantee kmya kuchomoka na at least 1m USD watapoiuza the business hapo baadae.

Vijana maisha ni chess. Unapanga na kupangua kete while moving forward towards a goal. Wakina Mo, Benji na wafanyabiashara wengi ikiwemo wasanii wanafanya hivi. Tuache kubeza tujifunze na tufuate steps tutatoka tu.
 
Dah nisiwe muongo mie pia nilikuwa nambeza kijana Benja kipindi kile cha "kuacha kazi ya Bill gates" nikaona jamaa anatengeneza scenario yeye na familia yake ipate jina zaidi (mshua wale ni pastor mmiliki wa ATN).

Ila baadae nikaja kugundua jamaa anacheza chess kama za wakina Mo. Formula yenyewe ni Be recognized, build a platform, build a product behind it, get backing then profit. Na anaicheza vizuri sana.

Acha apige pesa. Step inayofuata ni kugrow the business and then kuwa acquired. Tayari ana guarantee kmya kuchomoka na at least 1m USD watapoiuza the business hapo baadae.

Vijana maisha ni chess. Unapanga na kupangua kete while moving forward towards a goal. Wakina Mo, Benji na wafanyabiashara wengi ikiwemo wasanii wanafanya hivi. Tuache kubeza tujifunze na tufuate steps tutatoka tu.
Kwa nini iwe as little as 1M USD?

Kwa pesa 10M $ waliyoraise inamaana valuation ya kampuni yao sasa inakimbilia close to 70 - 100 M $ . .

By the time inakua acquired sidhani kama watapokea anything less than 100M. a 10% ownership ya kampuni tuu inampa kama 10M $ which naamini anayo
 
Tanzania ni nchi moja ya ajabu ambo watu wake wengi ni wabinafsi kupita maelezo, mwanzoni walimbeza sana Fernandez na hii naongea kwa experience Kuna ambao niliwauliza kuhusu Nala na Fernandez wakaishia kumbeza kwamba afiki Mahalia

Juzi jumanne ameraise USD million 10 inaweza ikawa ndo startup iliyo-raise ela nyingi Tanzania, lakin NALA wanapongezwa na wazungu na waafrika wengine wanaoishi nje ya Tanzania

Sijaona wale technology Guru waliompongeza NALA wengi wamekaa kimya as if hakuna kitu kilichotokea, point ni kwamba hawalazimishwi kumpongeza Ila kumpongeza ni sehemu ya professionalism na smartness

Benjamin Fernandez ametufundisha tuache udalali kama wanavyofanya lab nyingi za Tanzania Bali tuje na product, tusipoteze mda mwingi wa kuandaa events na kuzipa majina mazuri

Mfano ukiwaangalia
Sahara venture na branch zake
Smartlab
Dlab
Na wengineo wengi these people are just middleman (madalali) they say their create solutions but their aren't, ni ngumu sana kwa technology kuendelea kama tukiwa na madalali wengi ambao wako interested kuandaa events na sio kuja na product ambazo zitaitangaza nchi
Ni rahisi kwa wazungu kumpa $$$ Mweupe mwenzao kuliko mweusi. Ben Fernandez sio Mwafrika Mweusi.

Pia binafsi nimetumia sana Remitly, World Remit, na SendWave sababu ninaishi pia sana tu nje ya Tanzania. Nitatumia sana NALA as long as kwamba itakuwa na faida kwangu.
 
Twitter wameposti sana wadau unless usiwe unafiatilia Start-up Ecosystem Tz.
Huwa situmii Twitter nina bahati mbaya. Nazungumzia vyombo vya habari vya ndani kama The Citizen, Mwananchi, etc. Nimesoma habari kwa gazeti la Nigeria alafu nimesubscribe magazeti ya ndani na taarifa sijaona.
 
Ni rahisi kwa wazungu kumpa $$$ Mweupe mwenzao kuliko mweusi. Ben Fernandez sio Mwafrika Mweusi.

Pia binafsi nimetumia sana Remitly, World Remit, na SendWave sababu ninaishi pia sana tu nje ya Tanzania. $$$ inasaidia, na nitatumia sana NALA as long as kwamba itakuwa na faida kwangu.
Unaongea nini wewe eti ni rahisi mzungu kumpa mzungu mwenzake mtaji. Ungejua startups za Kenya zinazokuzwa kila siku kama uyoga zinavyopata fedha kutoka kwa hao wazungu, tena Wakenya wenyewe sio Wahindi wala Waarabu kama matajiri wetu hapa Tanzania. Kenya sikai mwezi bila kuona startup kule, yani hii NALA pale Kenya wangekuwa wanajadili hizi mada kila mwezi na wanaotoa hela ni wazungu.

Wabongo tubadilike
 
Back
Top Bottom