Uchaguzi 2020 Nalipongeza Jeshi la Polisi kwa 'fair play' ya leo kwenye mkutano wa Tundu Lissu mjini Morogoro

Uchaguzi 2020 Nalipongeza Jeshi la Polisi kwa 'fair play' ya leo kwenye mkutano wa Tundu Lissu mjini Morogoro

Kiukweli nahisi wanamuacha tu kutokana na jicho la mabeberu lakini wanajua atakatwa mapeeema na NEC so tuendelee kuwa wapole we'll see any!.
Unataka kusema MNA mpango wa kumfungia nje msiyempenda? Kwa nini msiwaache Wananchi waamue maana mlisema mnakubalika sana na mtashinda kwa 99.99% katika uchaguzi kama mlivyoshinda SM?
 
Biti la beberu Amsterdam limefanya kazi. Jamaa anawanyoosha kutumia katiba yetu,sheria ya NEC,polisi,mikataba mbali mbali tuliyosaini kuhusu haki za binadamu.
 
17 Agosti 2020
Morogoro mjini
Tanzania

Tundu Lissu aguswa na hali ngumu ya wafanyakazi wa umma, sekta binafsi, polisi kukosa nyongeza

 
Ndio umesikia popote Raisi Magufuli anajaza fomu kwa kupokelewa na misafara ya bodaboda na kuhutubia hotuba?
Umesahau kuwa huyo Magu wako amekuwa akikusanya watu na kuwahutubia mikutano ya hadhara kwa miaka 5 mfululizo?

Huku akiwapiga STOP wapinzani wasithubutu hata kufanya vikao vya ndani!

Hizi wiki 2 tu za kutafuta wadhamini kwa Tundu Lissu mshaanza kuingia kihoro.

Tulieni dawa iwaingie vizuri
 
Leo Sirro anahojiwa itv kaulizwa swali kwamba Lissu huyu keshafika na ulisema mnamfatilia mmefikia wapi? Majibu ya hapo jumlisha kigugumizi kujibu swali sioni fairness. Mpaka mtangazaji kacheka.
 
Embu achaga kumfananisha huyo muuza papuchi na Shujaa Lissu!!!

Kwanza umeona nyomi za Morogoro na Iringa leo???
Nyomi zote za mijini tu

Ukishaona NYOMI ya Lisu ya vijijini?

Anazurura mijini tu wakati asilimia 80 ya wapiga kura wako vijijini

Hizo picha zenu za mijini za Lisu sisi Wana CCM Wala hazitupi pressure jazeni mtakavyo

Hamna political strategy!!!!
 
Nyomi zote za mijini tu

Ukishaona NYOMI ya Lisu ya vijijini?

Anazurura mijini tu wakati asilimia 80 ya wapiga kura wako vijijini

Hizo picha zenu za mijini za Lisu sisi Wana CCM Wala hazitupi pressure jazeni mtakavyo
Tarime ni mjini??? Bariadi ni Mjini??? Hai ni Mjini????

kakojoe ukalale maana Naona Lissu amekuchanganya hadi hujielewi!!
 
Nimefurahishwa na kitendo cha Jeshi la Polisi kutimiza wajibu wake bila upendeleo.

Leo kwenye hadhara ya kutafuta wadhamini mkoani Morogoro mgombea urais kwa tiketi ya Chadema, Bw. Tundu Antipas Lissu, askari wa Jeshi la Polisi walionekana wakiimarisha ulinzi na kuhakikisha Bw. Tundu Antipas Lissu anakuwa salama muda wote.

Mpaka hadhara inaisha, amani ilikuwa imetamalaki na hakuna vurugu zozote zilizotokea.

To be honest; from the bottom of my heart nalipongeza jeshi la polisi kwa fairness ya leo. Natamani na maeneo mengine ambayo bado Bw. Tundu Antipas Lissu hajapita, polisi waonyeshe fairness kama walioonyesha polisi wa Morogoro.

Kama hali ikiendelea hivi; uchaguzi utakuwa huru na wa haki na amani itazidi kudumu katika taifa letu.

Mungu awabariki polisi wote
Mkuu huyo RPC wa morogoro ni bonge la gentleman, hana makuu kabisa na hiyo inatokana na either malezi au sehemu anayo toka maana jamaa ni mhaya.

Jamaa ni mstaarabu sana hapendagi mambo mengi. Namfananisha na RC wa Simiyu ndugu Anthony Uttaka kwa weledi wa kiutumishi.
 
Mleta Mada badili kichwa kisomeke wakazi wa Iringa mjini kuweka Iringa Ni upotoshaji!!! Wa vijijini hawapo hapo
 
Tarime ni mjini??? Bariadi ni Mjini??? Hai ni Mjini????

kakojoe ukalale maana Naona Lissu amekuchanganya hadi hujielewi!!
Ndio alienda tarime
Mjini na Bariadi alienda Bariadi mjini Lisu amekuwa akizurura na fomu mijini tu ziara zote
 
Back
Top Bottom