Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Wacha kumpandisha chat huyo, hata Airport anaijua ilipo?Na wewe unasubiri nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wacha kumpandisha chat huyo, hata Airport anaijua ilipo?Na wewe unasubiri nini?
Log off kama hitaki kuyaona mapicha ya Lissu.Hujui mji niI Ipi na Kijiji Ni kipi? Lisu na mipicha yote mnajaza humu mnayootuletea Ni ya mijini
Umeandika pumba huku ukionyesha wivu wa kijingaHujui mji niI Ipi na Kijiji Ni kipi? Lisu na mipicha yote mnajaza humu mnayootuletea Ni ya mijini
Gamba linalia lia tu sasa ni kama wamesha kata tamaaHahahaha kanywe maji ukalale. Tafsiri yako ya mjini na kijijini ikoje???
Kanawe miguu ukajitupe kwenye mbaoMleta Mada badili kichwa kisomeke wakazi wa Iringa mjini kuweka Iringa Ni upotoshaji!!! Wa vijijini hawapo hapo
Mwaka huu lazima mhamie kwenu BurundiNyomi zote za mijini tu
Ukishaona NYOMI ya Lisu ya vijijini?
Anazurura mijini tu wakati asilimia 80 ya wapiga kura wako vijijini
Hizo picha zenu za mijini za Lisu sisi Wana CCM Wala hazitupi pressure jazeni mtakavyo
Hamna political strategy!!!!
Tudadavulie kidogo mkuu.Mungu atuvushe salama tupo kwenye kipindi kigumu sana pengine kuliko kipindi kigumu chochote kilicho pita!
Utafiti wa TWAWEZA ulionyesha CCM inapendwa sana vijijini na kwny jamii za watu ambao hawajasoma/sio wasomi.Nyomi zote za mijini tu
Ukishaona NYOMI ya Lisu ya vijijini?
Anazurura mijini tu wakati asilimia 80 ya wapiga kura wako vijijini
Hizo picha zenu za mijini za Lisu sisi Wana CCM Wala hazitupi pressure jazeni mtakavyo
Hamna political strategy!!!!
Na ndio walio wengi na wanaoiweka serikali madarakaniUtafiti wa TWAWEZA ulionyesha CCM inapendwa sana vijijini na kwny jamii za watu ambao hawajasoma/sio wasomi.
Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
Watu wa vijijini wengi hawajasoma lakini wana akili ya maishaUtafiti wa TWAWEZA ulionyesha CCM inapendwa sana vijijini na kwny jamii za watu ambao hawajasoma/sio wasomi.
Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
Mkuu huyo RPC wa morogoro ni bonge la gentleman, hana makuu kabisa na hiyo inatokana na either malezi au sehemu anayo toka maana jamaa ni mhaya.
Jamaa ni mstaarabu sana hapendagi mambo mengi. Namfananisha na RC wa Simiyu ndugu Anthony Uttaka kwa weledi wa kiutumishi.
Kweli kabisa na ndio maana mngependa watu wasipate elimu ili mpate wa kuendelea kuwapigia kura,safi sana.Na ndio walio wengi na wanaoiweka serikali madarakani
Day dreaming..tena ndoto nyevuKiukweli nahisi wanamuacha tu kutokana na jicho la mabeberu lakini wanajua atakatwa mapeeema na NEC so tuendelee kuwa wapole we'll see any!
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]Na ndio walio wengi na wanaoiweka serikali madarakani
Sawa kabisa.Watu wa vijijini wengi hawajasoma lakini wana akili ya maisha
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Nmeona kajitahidi kuongea, inaonekana ushauri wetu humu ameufanyia kazi!Mdaiwa-Sugu,
Lissu Kama Lissu! Huyo ndo shujaa wa Tanzania ndugu. Utampenda tu kwa kweli. Kwa madini aliyotema Leo ya kuwajali watu wa vyombo vya ulinzi na usalama. Najua tu maneno yaliwaingia vizuri sana leo hawa jamaa hadi wakaamua kumlinda leo. Huyo ndo Lissu ndugu, Rais mtarajiwa wa Jamhuri ya Muungano Tanzania.
Yeye kafanya kwa miaka mitano! Sasa ni zamu ya wengine!Ndio umesikia popote Raisi Magufuli anajaza fomu kwa kupokelewa na misafara ya bodaboda na kuhutubia hotuba?
Mkuu hakuna binadamu aliye perfect kwa 100%, tunaweza kusema yeye ni afadhali huwezi kumlinganisha na yule wa Iringa, Mbeya, aliye kuwa wa dsm, wa kataviMtaka huyu wa Simiyu ambae Halima Mdee&Bawacha walikamatiwa mkoani kwake wkt wakifanya mkutano wa ndani?