Namanage Account za Forex

Sasa mkuu kama unadanganya na mtu anajua kitu akae kimya mzeee uibie watu wakuloge kama mwenzenu ufe.Mda mwingne ni huruma tu kuokoa maisha ako
Fikiria unavyofikiria na huu Uzi siubadili wala ili mirejesho ije muumbuke.....
 
If someone is telling/teaching you the way to get rich then you're his way of getting rich otherwise he would be busy getting/accumulating that wealthy.

Hata brokers wanaojidai eti wanafundisha Ni kukuvuta na kukuonyesha Kama unapendwa. Nashukuru I can smell fishy from a distant of Exa miles
 
Fikiria unavyofikiria na huu Uzi siubadili wala ili mirejesho ije muumbuke.....
Hahahhah wewe weka profits zako hapa zatoka 2017 ili tuumbuke sasa hivi.Wengne tushazoea fedheha bwana manager.Kuna vitu havimake sense mkuuu unaambiwa uweke screenshoots ya profits unasema nikifake je ety labda niweke screenshoot ya charts.wee jamaaa bhna
 
Sasa kama ur smelling fishy kwann usisikie harufu Yako Mr😂😂
 
Sijaja kubrag Mr amini kwamba
 
Myb as well Yan mm siwezii nikabadili mawazo Yako kaka kamwee
Trading sio mayai unavyodhania dogo. Lazima uwe kwenye kuisoma not less than 5-7 yrs baada ya hapo ufanye practice Tena real account so chini ya miaka jumla iwe kumi hapo angalau unaweza ukasema you know something.

Na bado sio guarantee ya kufanikiwa ,to be winning trader is easier ishu iko ipo consistency imenifanya mpaka Ontario awe educators and motivation speaker. Ana kozi anafundisha eti ya wanachuo wamemuomba Ada 70k.tena unaongea eti na assistance wake.
Trading Ni real sio easy yaani sio easy narudia.

Hata Ontario sio profitable trader ingawa kwa wingi ndio aliye expose wakati anawaleta wasauzi inaonekana hakuwa anaijua.
 
Sijaja kubrag Mr amini kwamba
Mzeee wewe umeweka tangazo hapa la kutaka watu.kwann taarifa zingne ukatoleee chemba mbona zingekuwa biashara zingne watu wanaweka all info hapa ili ikija kwenye fx taarifa zingbe hadi chemba.Wewe fx ymeijua juz tu hapa umetrade demo kidgo now unajiona kama guru ko unatafuta capital acha kujifanya kama unajua sana
 
Naomba msijiunge nae

NAWAKATAZA kwa herufi kubwa.

Hana uzoefu wowote na soko na sio easy kama anavyodhani yeye.

Narudia tena Hela Yako kale supu au soda kwa mangi hii biashara haitaki partnership za kijinga kama hizi.

Utakuja jutia wewe utayejifanya kimbelembele ukaungana nae

Mtachapwa bakora ndefu sana na soko hadi.

Nimemaliza mwenye macho ya kusoma na asome.
 
Sawa kaka
 
Toa investor password ili tukuone kuanzia lini. Ama your trading account imefanyiwa audit na mamlaka gani ili tuone Kama unafaa kuajiriwa na jasho letu tunalofanya kazi linateremka mpaka mkunδυηi halafu ukazifanyie majaribio. Ogopa na heshimu jasho la wanaume wenzako Tena limetiririka mpaka huko mnudukuni wewe unataka ulilambe kirahisi utaweza kweli ndugu.
Tafuta Ajira upate pesa zako dumbukuza huko. Yaani huwa na blokiwa na wanges wengi mno.anaonyesha trades za ajabu namuomba za bank account Mana hata mie mt4 naweza nikakuonyesha nikakutamanisha ili nikuibie sema sipendi wizi..

Sijaja kubrag Mr amini kwamba
 
Naeza fake na ukaamini pia...hapa labda ntashare analysis tuh sio digits
Fanya hivi ingia fbs traders online website fungua demo account limit account yako iendane na real account nikimaanisha kwenye amount weka 50 usd kisha spread tumia 1:100 halafu share na sisi account dertails zako kisha tuta login kwenye mt4 zetu na wewe login kwenye yako kisha tutafuatilia tradings zako for the comming weeks kuanzia j3.

Kisha tukiridhika tunafund easy as that man show us what you've got through actions .

Na kama hautojali unaweza kuniorodheshea strategies unazotumia? Na kama unatumia bots au indicators ?
 
U
UShauri mzuri sana huu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…