Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 8,201
- 16,246
Yaani umempatia na Ni jobless Kama mie nnayetembea na vyeti baada ya chuo so nahitaji mseleleko. Nimemshauri acheki prop zipo nyingi mno nowdays Kama hazijui acheki ftmo,mff,n.k watampatia hela za manage Tena anachukua %age kubwa nadhani wanakupa mpaka 90% Kama gawio la mwezi wa tatu Kama profit sharing. Wewe unakuja kuhangaika na dola 200 ambayo Ni pip change kwa trader.Alafu tatizo lingine ni Mshamba🤣🤣🤣
Huko wanampatia dola za kufa mtu hata $200k anazipata anameneji