Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We jamaa uko na unsound mind Nan anatumia hizo indicators, robots na uzwazwa sijui templets...we mbna ndo unasound kama umerogwa dog...🥱🥱Sure basics zinakushinda dogo.
Komaa na mt4 hio upate Hela
Achana na Hela za watz watakuloga ufe.
Kuna mwenzako kafa juzi kati kisa hizi hizi akaunti za kumanage.
Jifunze ku customize tradingview kwanza na kutumia tools zake.
Halafu achana na indicators,robot na templates.
Jifunze market structures uwe mtabe.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]dogo huo ndio ukweli achana na takataka na Hela za watu watakufsnyizia shauri zakoWe jamaa uko na unsound mind Nan anatumia hizo indicators, robots na uzwazwa sijui templets...we mbna ndo unasound kama umerogwa dog...🥱🥱
Not to b petty, lakini nkitafakri kwa mtu anaetrade since 2017, lazma sasa hivi amesha master trading to the highest level. Nnapoapata walakini n kwanin utafte kumanage account ya chini kuanzia 200 dollars,? Coz kwa experience ya 5 yrs in FX kutengeneza 200 usd per day ni kitu cha kawaida sana. Kwahyo business strategy yako inaleta walakini hasahasa in jf ambapo watu kibao washalizwa.
My idea is, fungua uzi mwingine ambao utatoa signals hadharani, and then investors will see how good you are and wataamua to invest in ur idea. Toafut na hapo n ngumu mtu kuweka pesa yake blindly.
Transparency matters lakini watakao iona ni wale walio tayari ambao ni watatu tuh sihitaji kujaza kibanda Cha mpira
Saiv Niko rukwa huku na deal na mazao ningekuwa mpigaji ningesha pigwa hizo radi long time ago...ila naenda vijiji mbalimbali kama Chipu, Mpenje, Kazila, Mwazhe, Luwa n.k thinking is personal capacity siezi zuia mtu kifikiria atakavyo as long as nafsi yangu naiamini period.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]dogo huo ndio ukweli achana na takataka na Hela za watu watakufsnyizia shauri zako
Watu wamevurugwa na matozo Kila sehemu halafu unaleta mikato ya upigaji.
Utapigwa na radi ya jero mdogo wangu acha hizi mambo
Safi komaa huko huko tafuta hizo capital.Saiv Niko rukwa huku na deal na mazao ningekuwa mpigaji ningesha pigwa hizo radi long time ago...ila naenda vijiji mbalimbali kama Chipu, Mpenje, Kazila, Mwazhe, Luwa n.k thinking is personal capacity siezi zuia mtu kifikiria atakavyo as long as nafsi yangu naiamini period.
Magnetics yupo Kigamboni mkuu...wenye nchi wanajua mbna sema wanajifanya hawajui watampa umaarufu wa bure na wao hawataki hizoSafi komaa huko huko tafuta hizo capital.
Njoo uwekeze mtaji wako kwenye soko.
Pesa Yako mwenyewe unakuwa na uhuru hata ukiwa over-do risk management au position sizing is just your damn money and nobody will question u.
Uhitaji gawana na mtu kilicho chako.
Achana na account management watz watu wabaya sana watakufanya uwe chizi mdogo wangu jamaa Hawa simile hata watujua umewatapeli kumbe soko limeenda ndivyo sivyo.
Utajitia matatani,utaipa industry another sifa mbaya,utaishi kama digidigi.
Account management zilimweka jamaa anaitwa Fransisco magnetics mahabusu na alikuwa profitable na kuanza kuishi forex lifestyle u know it.
Alikimbia mji na nchi maana wabongo walimsaka Kila kona.
Aliuuza asset zake kulipa madeni.
Siku hizi kapotea hajulikana alipo.
So mdogo wangu komaa na Hela zako achana Hela za watz Zina lawama.
Kama ni mtaalam sana wa kumake money si ufanye wew na kaka zako na dada zako na ndugu zako ndugu yangu mpige helaNatoa nafasii ya kunijaribu kwa small account kabla ya kufund kiasi kikubwa pia.. naprove kwa actions sio fake screen shots
nimesoma btmm ,ict na situmiagi sana hizo mambolabda tu ema ya 800 kidogo naitumia kama last factors.Kama umesoma btmm kwa watu 3 halafu bado umetema hili shudu basi jipige pige kifua sema 'mimi ni papasi mweupe mwenye kichwa kizito'
Pario maji wee
Huwa nawaacha tu pimbi kama hao. Professional traders wengi hata kama anatumia price action kwa kiasi kikubwa bado huwa wanaindicator za kuwasidia ku-confirm hiyo price action. Not complicated indicators, they use mostly moving averages. That's all.Out of this shit bse you shit yourself infront of traders. Big boys kama bankers wenyewe wanatumia indicators kama moving average halafu unatokea pimbi mweupe hapa unaongea ujuha.
Papasi mwekundu wee