Disruptor1
Senior Member
- Aug 9, 2022
- 139
- 388
Kumbe huyu boya bado hajapata investors
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Trade hela zako mavi wewe.Mbona sisi tunatrade hela zetu.Unaakili ya kimatacor....boya ni ww n wakwenuu😂
Endela kukariri ujingaEndelea kukariri maisha.
Skills pekee unayoweza nishinda ni indicators na robot.Naijua vizuri sana price action pengine kuliko wewe unavyoijua.
Pimbi mweupe ni mzee wakoOut of this shit bse you shit yourself infront of traders. Big boys kama bankers wenyewe wanatumia indicators kama moving average halafu unatokea pimbi mweupe hapa unaongea ujuha.
Papasi mwekundu wee
Mzee kila mtu anapoteza hela kwenye FX haijalishi umeanza na miaka 50 kwenye game. Mpe uhakika mteja ila usime sema kwamba sio newbieMm sio newbie ndugu...rules za risk management nazifahamu fika...
Endelea ku manageHabari Wana jamii forums
Mimi ni kijana wa kitanzania na pia ni muhitimu wa chuo kikuu Cha Iringa.
Nilipokuwa masomoni nilibahatika kukutana na Idea mbalimbali za kutafuta pesa na hii yote ni katika kujiandaa kwamba nitafanya shughuli gani pindi nitakapo maliza masomo, ndio nilipokutana na hii biashara ya sarafu mtandaoni maarufu kama FOREX TRADING mwaka 2017 ndipo nilipoanza kujifunza mwenyewe bila msaada Wa mtu zaidi ya kupata taarifa mtandaoni na kupakua vitabu mbalimbali ili kupata ujuzi.
Baada ya kueleza hayo itoshe kusema natafuta mtu mmoja mwenye utayari wa kuwekeza katika biashara hii, kwa maana ya mimi natoa ujuzi wangu yeye anafungua Account, Kisha namanage account hio.
Mchanganuo wa mgawanyo wa faida: nitagawana asilimia 50 kwa hamsini na mwekezaji mfano kama mwekezajI kawekeza 500USD na tukapata faida ya 500 USD tutagawana 250USD Kila mmoja.
NB: Kima Cha chini 200USD na nahitaji watu watatu tuh wakitimia nitarudi kwa mrejesho
Karibuni nyote.
We jamaa una moyo kinoma
kwa nini mkuuWe jamaa una moyo kinoma
Una kaza sanakwa nini mkuu
dadafua vizuriUna kaza sana