Namanage Account za Forex

Namanage Account za Forex

first week with funded fTmo acc i need money let go all in
 

Attachments

  • 72F0BB06-4FED-42C8-9D3C-0C29E3B4491C.png
    72F0BB06-4FED-42C8-9D3C-0C29E3B4491C.png
    29.8 KB · Views: 19
  • E43945CC-3204-448D-9379-291FEFB18CF8.png
    E43945CC-3204-448D-9379-291FEFB18CF8.png
    78.2 KB · Views: 21
  • 7D03D8AD-AD4C-4010-8C70-433BE0FBE1B1.png
    7D03D8AD-AD4C-4010-8C70-433BE0FBE1B1.png
    29.8 KB · Views: 16
  • 2A8FC0B0-1B3A-469B-9679-FA726C710068.png
    2A8FC0B0-1B3A-469B-9679-FA726C710068.png
    42.3 KB · Views: 19
Hata hujawajua brokers wazuri bado unatumia Hawa wahuni mkuu. Hujajua vigezo vya broker mzuri Ila unadai kuwa wewe sio newbie mbona Kama hauna tofauti nao. Kujua ama kuwa na maarifa mengi kwa kumeza PDF sio kuwa ndio kuijua. Kuijua ingiza hela Benki. Ontario mwenyewe Kani block if baada ya kumshauri kuwa atuonyeshe na miamala ya benki yani trading account toa like $20k na benki tuione.
Mie Niko against na wote wanaichafua hii tasnia na kuweka kila kitu wazi bila ku sugar-coat
Huyo Jeff ndio zake ukimbana kwa hoja ana kublock, nakumbuka 2017 nilichallenge ufundishaji wake na wale wasauz wake akanitoa kwenye group.
 
Me watching someone finding easy money to bet the whole fam in one trade ili akipata faida kubwa na yy share ya 50% ake iwe kubwa.Any way labda wewe huna lengo hili ila 99% ya wanaojidai wanamanage accounts ndo tabia zao,kuna jamaaa alikuwa anajiita Born to fx alichoma million za 2 mdada wa watu af akapotea kwa group yule sister akaleta mrejeshp kuwa atamloga na atapata ajari mbaya sana.Kweli dada akatimiza ahadi ake tushampoteza account manager mmoja.

###RISK MANAGEMENT
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Me naona bwana manager apa ungefund account ako moja hata 10usd au 20usd wewe kama trader nadhani hushindwi hii hela alafu fungua uzi ukionyesha real progress unavoikuza hadi level flan hivi hata dola 500 kwa kufuata rules zako hivo hivo,atleast utakuwa umetoa walakini kwenye vichwa vya watu.Transparency matters
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji404] Umetisha kiongozi
 
Kuna wale ambao wanataka kujifunza kuhusiana na hii biashara ya kubadilisha fedha za kigeni (FOREX)


Nimeandaa darasa mahsusi kwa ajili yao , unachotakiwa kufanya ni kuwasiliana na mimi kama wewe ni muhitaji , darasa ni la kulipia Ada kidogo , asikudanganye mtu hata mimi nililipia kujifunza , anayesema utajifunza Forex kwa maneno matupu au bure huyo ni muongo na hataki kuona wengine wanapiga hatua , Kwenye Forex mambo ya kujifunza ni mengi . Karibu PM darasa litaanza muda siyo Mrefu.
 
Kuna wale ambao wanataka kujifunza kuhusiana na hii biashara ya kubadilisha fedha za kigeni (FOREX)


Nimeandaa darasa mahsusi kwa ajili yao , unachotakiwa kufanya ni kuwasiliana na mimi kama wewe ni muhitaji , darasa ni la kulipia Ada kidogo , asikudanganye mtu hata mimi nililipia kujifunza , anayesema utajifunza Forex kwa maneno matupu au bure huyo ni muongo na hataki kuona wengine wanapiga hatua , Kwenye Forex mambo ya kujifunza ni mengi . Karibu PM darasa litaanza muda siyo Mrefu.

We umepiga hatua gani?. Me nawafahamu watu waliojifunza wao wenyewe kwa muda usiopungua five year na ni profitable traders
 
We umepiga hatua gani?. Me nawafahamu watu waliojifunza wao wenyewe kwa muda usiopungua five year na ni profitable traders


Kwa mtu mwenye shida hawezi kuuliza swali kama la kwako . hata mimi sikumuuliza mwalimu wangu kuwa Amepiga hatua gani ndio anifundishe . Nilichofanya ni kuingia darasani na kuna mambo nilijifunza , hata kama nimekuja kumzidi bado kuna mambo nisingeyajua bila yeye
 
Habari Wana jamii forums

Mimi ni kijana wa kitanzania na pia ni muhitimu wa chuo kikuu Cha Iringa.

Nilipokuwa masomoni nilibahatika kukutana na Idea mbalimbali za kutafuta pesa na hii yote ni katika kujiandaa kwamba nitafanya shughuli gani pindi nitakapo maliza masomo, ndio nilipokutana na hii biashara ya sarafu mtandaoni maarufu kama FOREX TRADING mwaka 2017 ndipo nilipoanza kujifunza mwenyewe bila msaada Wa mtu zaidi ya kupata taarifa mtandaoni na kupakua vitabu mbalimbali ili kupata ujuzi.

Baada ya kueleza hayo itoshe kusema natafuta mtu mmoja mwenye utayari wa kuwekeza katika biashara hii, kwa maana ya mimi natoa ujuzi wangu yeye anafungua Account, Kisha namanage account hio.

Mchanganuo wa mgawanyo wa faida: nitagawana asilimia 50 kwa hamsini na mwekezaji mfano kama mwekezajI kawekeza 500USD na tukapata faida ya 500 USD tutagawana 250USD Kila mmoja.

NB: Kima Cha chini 200USD na nahitaji watu watatu tuh wakitimia nitarudi kwa mrejesho

Karibuni nyote.
Weka investor password ya account Yako tuone track record Yako ya angalau miezi 6
 
Huu ni uhakiki wa kishamba sana , kwa mfano akikupatia investor password ya mtu mwingine utajuaje ?
Kuna walimu wengi kwenye forex trading kuliko traders Wenyewe Sasa nipe sababu ya Kwanini nilipie darasa kwako na sio Kwa mentors wengine, n.b this is bussines nakukumbusha Ongea lugha ya kumshawishi mtu akupe Hela yake maana uchumi Wenyewe kama unavouona.. Aya Nakukaribisha[emoji120]

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom