Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Zelote Steven na Omari Mahita ni mifano halisiKwa Tanzania kumkuta RPC ana kadi ya CCM kawaida sana!
unaongea kama punga
Kwa nini usiwe nao mmoja ili uachane na hii nchi ya kijinga. Kabisa.nawezaje kuwa na uraia wa nchi mbili ?
Kwa hiyo kajiunga Jana ili Leo agombee urais wa ZanzibarHuyo ni mstaafu anaruhusiwa kujiunga na chama chochote
CCM ilivyopigwa laana hata kumficha tu na kumkataza kuwaanika wameshindwa !Watu kama akina jecha wanaaibisha sana mifumo yetu.
CCM imejidhalilisha mno !
Njoo uchore 7 mbele yanguUnawashwa?
Zelote Steven na Omari Mahita ni mifano halisi
Kwa hiyo kajiunga Jana ili Leo agombee urais wa Zanzibar
Huyu si walisema sijui kawaje? SHETANI MKUBWA, katili wa roho za uchaguziAliekuwa mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar ambaye alileta tafarani uchaguzi wa 2015 kwa kufuta uchaguzi wa zanzibar mwaka 2015 leo hii amechukua fomu ya kuutaka urais
Vuta tafakuri hawa wasimamizi wa uchaguzi ambao ni wakurugenzi watatenda haki kweli? Kwani wote ni makada ukimjumlisha na yule alieteuliwa jana.
At least hao ni Wastaafu, yule wa Arusha ambaye bado ni RPC anayeimba nyimbo za CCm kabisa aitwaje vile? Mwenye tumbo kubwaaaaaaaZelote Steven na Omari Mahita ni mifano halisi