Namna ambavyo bila kujua unatumia kipato chako kuwalipa wengine bila ya kujilipa wewe kwanza

Namna ambavyo bila kujua unatumia kipato chako kuwalipa wengine bila ya kujilipa wewe kwanza

Mkuu naona umesoma na kuelewa vyema falsafa ya mwandishi George Samuel Clason kwenye kitabu chake cha The Richest Man in Babylon
Kile kitabu nilikisoma muuda kidg ila kizuri kishenzi
 
Umeandika uzi mzuri sana ambao wengi wataupuuza. Washaaza hapo juu kusema ni motivation speaker, ungesema Yanga/Simba wangekuja mbio
Msimtie moyo kaandika utopolo, yaani hata ameshindwa kuwaza kuwa analipa pesa na anapata huduma ambayo mnasaidia yeye mwenyewe..
 
Vizuri mkuu na inawezekana ila kwa mfano wako apo juu it means huyo jamaa atasave laki sita kwa mwaka. Mh baada ya hapo
 
Msimtie moyo kaandika utopolo, yaani hata ameshindwa kuwaza kuwa analipa pesa na anapata huduma ambayo mnasaidia yeye mwenyewe..
Mkuu lazima tuangalie kusudi la mleta mada,amejaribu kutuonyesha namna gani kila mmoja anatakiwa kujilipa kwanza kabla ya kufanya jambo laolote ili uwe na financial freedom.Hilo peke yake tumpongeze kwa kutufunza kwani watu wengi tumeajiriwa but mpaka sasa tunaendelea kuteseka na umaskini.
 
Vizuri mkuu na inawezekana ila kwa mfano wako apo juu it means huyo jamaa atasave laki sita kwa mwaka. Mh baada ya hapo
Tatizo hamsomi ili muelewe mnasoma ili mujibu.

Mbona niliandika mkuu kwamba ukishasave kiasi fulani sasa unawekeza ambako pesa itazaa na huko kwenye kuwekeza kuna masharti nimeyaweka,ila hukusoma kuelewa ulisoma kujibu...
 
Tatizo hamsomi ili muelewe mnasoma ili mujibu.

Mbona niliandika mkuu kwamba ukishasave kiasi fulani sasa unawekeza ambako pesa itazaa na huko kwenye kuwekeza kuna masharti nimeyaweka,ila hukusoma kuelewa ulisoma kujibu...
Nimesoma pote uwekezaji upi sasa wa laki sita ambao hauta athiri hiyo shughuli yangu inayonipa 500k per month? Twende taratibu tu acha jazba mimi sikukejeri bali nasaka maarifa kwako.


Amani iwe nawe.
 
Unapata kipato chako mfano laki tano kwa mwezi, mtu anakuambia pesa yako hii bila kujua unawalipa watu wengine wewe hujilipi, swali la kujiuliza kwani hii laki tano si ya kwangu najilipaje sasa wakati laki tano hii ni yangu?

Ni kweli yako lakini sasa katika laki tano mfano utagawa mahesabu kama ifuatavyo:

150000 chakula = hapo umemlipa muuza chakula ili akulishe wewe,hivyo katika 500K 150000 sio yako.

50000 nauli = hapa umemlipa mwenye usafiri nauli hivyo katika laki tano 200000 sio zako.

50000 kodi = hapo umeshamlipa mwenye nyumba hivyo katika 500K basi jua 250000 sio zako.

Let say 50000 mavazi = manake 50K umemlipa muuza nguo manake kwenye laki tano 300000 sio yako.

50000 bata bar = hapo ushamlipa muuza bar 50000 hivyo kwenye 500K jua 350000 sio zako.

Let say umetuma 50000 home= hapo jua 50K umewalipa au umewapa wazazi hivyo kwenye 500K basi 400k sio zako.

Let say 50000 umehonga,manake hapo umemlipa demu 50k means kwenye 500k basi 450k sio yako.

Let say 20000 umetumia vocha,means hyo 20K umemlipa muuza vocha tayari,hivyo katika 500k basi 470k sio zako.

Basi na hizi 30k ukatumia katika kununua vitu vya hamu kwa mwezi means laki tano yote umetuma.

Swali ; je wewe umebakiwa na nini ?

Jawabu umebaki na korodani tu.

Je ni kweli ile laki tano iyopokea kwa mwezi ni yako au ya watu hao hapo ?
Jawabu sio yako kwa sababu ingekuwa yako ungelikuwa mpaka sasa lakini umetumia kwa sababu ya huduma ambazo ni lazima kila mtu azipate.

Je wewe ni mtu wa kuishi ukitafuta kula,kulipa kodi,kunya na kuvaa tu ?
Una tofauti gani na mfanya ama mtumwa ambaye anafanya kazi na kupewa huduma muhimu tu kama wewe ?

Hakuna kingine unachohitaji katika maisha yako ?

Kama jibu ni ndio hapo ndio inakuja dhana ya kujilipa mwenyewe kwanza.

KUJILIPA MWENYEWE ni kitendo cha wewe kutenga kiasi kadhaa katika kila pesa unayoipata na kuweka kiasi kadhaa hiko akiba yaani huigusi kabisa kwa matumizi ya pale juu tuliyoyaona


Kiasi kadhaa hiki wengi wanapendekeza kwa kuanza uweke 10% ya kila kipato unachopata.

Kiasi hiki hautakiwi kukigusa kwa lolote litakalotokea,badala yake zile 90% zilizobaki ndio utumie kwa mambo unayoyaona hayaepukiki.

Hii 10% unayosave ndio yako kwa sababu haiendi kwa mtu mwingine hivyo ni pesa ambayo jnatakiwa kuithamini kuliko hizo 90% zilizobaki kwa sababu hizo 90% unaenda kuwapa watu wengine kwa kununua huduma zao.

Hakikisha hii 10% yako unaiweka na kujiwekea malengo kwamba uiwache mfano ukisema uiwache hii 10% ya laki tano (50000) kwa mwaka mmoja itakuwa ni laki sita.

Hii laki sita ukishafanikiwa kuipata sasa unaanza kuwekeza katika jambo ambalo litaingiza faida na kuzalisha pesa zaidi.

Lakini zingatia yafuatayo unapowekeza..

1.hakikisha hauna pupa ya faida ya haraka.

2.wekeza katika jambo ambalo una ujuzi nalo,au hakikisha umeomba ushaurina umehakikishiwa usalama wa pesa zako na WATAALAMU HASWA wa biashara hiyo.

Kama huna mtaalamu yeyote wa biashara unayotaka kufanya usiifanye biashara hiyo vuta subira utakuja kulia.

Usishawishike na mtu akisema kitu fulani ni rahisi na kina faida kweeli,weeeee
Weeeeeeeee
Weeeeew

Denzel washington iwahi kusema kwamba "ease is the great threat to progress than a hardship".

Naomba kuwasilisha.
Mkuu nimekupm
 
Kama mindset zenyewe ndio hizi sitegemei kama mtu kama wewe utakwamuka na kuweka akiba mkuu.

Mtu anayepata laki mbili kwa mwezi akiba ya 10% ni 20000 tu,inatakiwa kuna matumizi apunguze afanye yale ya muhimu tu.

Kama hujawa tayari haiwezekani,ukiwa tayari inawezekana.

Ukiweka akilini kwamba matumizi yote unayofanya unawalipa watu basi kuna uchungu utakuja wa kujilipa wewe kwanza.
Mbona simple tu, mchanganuo umewekwa hapo, onyesha namna uyo mtu atakavyosave.

Kila aina ya matatizo yana suluhu zake, ila nasisitiza ulichoandika hakifanyi kazi kwa makundi yote.
 
Uzi wako una hoja ya msingi lakini uneshindwa kucapture maisha ya wenye kipato cha chini ambacho kinachapatikana hakitoshi hata mahitaji ya msingi, yani inabidi wacompromise hata mahitaji muhimu kabisa Ila waweze kuishi. Mtu Kama uyo unamwambiaje awake 10% za kujilipa?
Aweke hata mia mbili kwa siku Kuna siku atapata shida kubwa akiwa amefanikiwa kujiwekea hata 20 elfu atajikopesha, wengine mambo magumu kwa kushindwa kufanya displine ya maisha yake anataka akipata hata shida ndogo wengine ndo wahusike na shida zake ndogo ndogo.
 
Unapata kipato chako mfano laki tano kwa mwezi, mtu anakuambia pesa yako hii bila kujua unawalipa watu wengine wewe hujilipi, swali la kujiuliza kwani hii laki tano si ya kwangu najilipaje sasa wakati laki tano hii ni yangu?

Ni kweli yako lakini sasa katika laki tano mfano utagawa mahesabu kama ifuatavyo:

150000 chakula = hapo umemlipa muuza chakula ili akulishe wewe,hivyo katika 500K 150000 sio yako.

50000 nauli = hapa umemlipa mwenye usafiri nauli hivyo katika laki tano 200000 sio zako.

50000 kodi = hapo umeshamlipa mwenye nyumba hivyo katika 500K basi jua 250000 sio zako.

Let say 50000 mavazi = manake 50K umemlipa muuza nguo manake kwenye laki tano 300000 sio yako.

50000 bata bar = hapo ushamlipa muuza bar 50000 hivyo kwenye 500K jua 350000 sio zako.

Let say umetuma 50000 home= hapo jua 50K umewalipa au umewapa wazazi hivyo kwenye 500K basi 400k sio zako.

Let say 50000 umehonga,manake hapo umemlipa demu 50k means kwenye 500k basi 450k sio yako.

Let say 20000 umetumia vocha,means hyo 20K umemlipa muuza vocha tayari,hivyo katika 500k basi 470k sio zako.

Basi na hizi 30k ukatumia katika kununua vitu vya hamu kwa mwezi means laki tano yote umetuma.

Swali ; je wewe umebakiwa na nini ?

Jawabu umebaki na korodani tu.

Je ni kweli ile laki tano iyopokea kwa mwezi ni yako au ya watu hao hapo ?
Jawabu sio yako kwa sababu ingekuwa yako ungelikuwa mpaka sasa lakini umetumia kwa sababu ya huduma ambazo ni lazima kila mtu azipate.

Je wewe ni mtu wa kuishi ukitafuta kula,kulipa kodi,kunya na kuvaa tu ?
Una tofauti gani na mfanya ama mtumwa ambaye anafanya kazi na kupewa huduma muhimu tu kama wewe ?

Hakuna kingine unachohitaji katika maisha yako ?

Kama jibu ni ndio hapo ndio inakuja dhana ya kujilipa mwenyewe kwanza.

KUJILIPA MWENYEWE ni kitendo cha wewe kutenga kiasi kadhaa katika kila pesa unayoipata na kuweka kiasi kadhaa hiko akiba yaani huigusi kabisa kwa matumizi ya pale juu tuliyoyaona


Kiasi kadhaa hiki wengi wanapendekeza kwa kuanza uweke 10% ya kila kipato unachopata.

Kiasi hiki hautakiwi kukigusa kwa lolote litakalotokea,badala yake zile 90% zilizobaki ndio utumie kwa mambo unayoyaona hayaepukiki.

Hii 10% unayosave ndio yako kwa sababu haiendi kwa mtu mwingine hivyo ni pesa ambayo jnatakiwa kuithamini kuliko hizo 90% zilizobaki kwa sababu hizo 90% unaenda kuwapa watu wengine kwa kununua huduma zao.

Hakikisha hii 10% yako unaiweka na kujiwekea malengo kwamba uiwache mfano ukisema uiwache hii 10% ya laki tano (50000) kwa mwaka mmoja itakuwa ni laki sita.

Hii laki sita ukishafanikiwa kuipata sasa unaanza kuwekeza katika jambo ambalo litaingiza faida na kuzalisha pesa zaidi.

Lakini zingatia yafuatayo unapowekeza..

1.hakikisha hauna pupa ya faida ya haraka.

2.wekeza katika jambo ambalo una ujuzi nalo,au hakikisha umeomba ushaurina umehakikishiwa usalama wa pesa zako na WATAALAMU HASWA wa biashara hiyo.

Kama huna mtaalamu yeyote wa biashara unayotaka kufanya usiifanye biashara hiyo vuta subira utakuja kulia.

Usishawishike na mtu akisema kitu fulani ni rahisi na kina faida kweeli,weeeee
Weeeeeeeee
Weeeeew

Denzel washington iwahi kusema kwamba "ease is the great threat to progress than a hardship".

Naomba kuwasilisha.

Summation of this is stupidity! Hata ukiweka akiba hizi hela huenda Kwa watu vile vile
 
Mkuu lazima tuangalie kusudi la mleta mada,amejaribu kutuonyesha namna gani kila mmoja anatakiwa kujilipa kwanza kabla ya kufanya jambo laolote ili uwe na financial freedom.Hilo peke yake tumpongeze kwa kutufunza kwani watu wengi tumeajiriwa but mpaka sasa tunaendelea kuteseka na umaskini.
Na siyo kuteseka kwa umasikini tu bali hata kwa kukosa pa kujikopesha kwenye shida ndogo ndogo kama shida za ghafla za 5000 au 10, 000 kwa kukosa nidhamu ya kujilipa Kwanza.
 
Nimesoma pote uwekezaji upi sasa wa laki sita ambao hauta athiri hiyo shughuli yangu inayonipa 500k per month? Twende taratibu tu acha jazba mimi sikukejeri bali nasaka maarifa kwako.


Amani iwe nawe.
Mkuu angalia na sehemu uliyokuepo
Summation of this is stupidity! Hata ukiweka akiba hizi hela huenda Kwa watu vile vile
Sawa mkuu tunatakiwa tuyapokee na maoni kama haya yenu pia.
 
onyesha namna uyo mtu atakavyosave
Mkuu mimi nimesema kwenye laki mbili asave 20000 kwa mwezi kuna matumizi ayapunguze ili asave hiyo 20000.

Unataka mchanganuo gani tena ?
 
Nimesoma pote uwekezaji upi sasa wa laki sita ambao hauta athiri hiyo shughuli yangu inayonipa 500k per month?
Mkuu kuna mambo mengi ya kufanya kwa mujibu wa sehemu uliyokuwepo wewe ndio utumie akili ya kujua nimfuate nani mzoefu anielekeze juu ya biashara ambayo ninataka kuifanya.

Mimi sipo kukuambia ufanye mradi upi,naweza kukuambia uza nguruwe kumbe kwa mazingira yako ukiwafata wataalamu watakuambia hapa nguruwe hatoki kwa sababu kadha wa kadha.

Naweza kukuambia uza mabaibui kumbe ukiwafata wataalamu kwa maeneo yako watakuambia utafeli.

So kimsingi siwezi kukuambia uwekeze wapi,wewe akili yako na maeneo uliyokuepo ndiyo mtaamua mfanye kitu gani.

Kumbuka kwamba mimi nimetoa muongozo wa vipi ufanye na sijatuo muongozo wa nini ufanye,kuhusu nini ufanye wewe ndio utaangalia na mazingira yako.

Ila kama utaona hii mada ni nonsense kwako sio ishu mkuu.
ambao hauta athiri hiyo shughuli yangu inayonipa 500k per month?
Wewe ndio unajua shughuli unayofanya hivyo mimi siwezi jua biashara ipi ambayo haitokuathiri kwa sababu hiyo shughuli mimi siijui,ni wewe sasa ukae chini uamue utumie akili kipi ufanye ili usiathiriwe na biashara yako.
Twende taratibu tu acha jazba mimi sikukejeri bali nasaka maarifa kwako.
Nimeshatoa maelezo yangu hapo juu mzee
 
Ni kweli ndio maana mwajiriwa hapaswi kutegemea mshahara tu
Naam sasa tuko pamoja japokuwa sio lazima mtu kusave kwa sababu mtu anasave kwa faida yake,so akiona sio lazima anaweza kuacha kusave na maishs yakaendelea
 
Back
Top Bottom