Murashani GALACTICO
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 2,511
- 5,390
Hapa napitia mahindi mabichi shambani naenda kuchemsha na presha coocker kitu dakika 20 naepua natafuna mahindi.aaahhh...mkaka mtanashati ukitoka nje majirani wanajua kabisa sahizi mzee umepiga kitu cha harage😀 kimya kimya ndio mwake
Hivi hiyo ya kwenye picha ipoje?huwa siielewagi......ni umeme tu?effectiveness yake ikoje katika matumizi?Hakunaga pressure cooker ya kupikia kwenye gesi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]Asa siri gani kwenye kupika mkuu unapika gongo ndo ujifiche au
Hii ni ya umeme. Ipo ya kupikia kwenye gesi. Kumbuka umeme wa tanzania ni wa ghali sana. Na hua aliivishi vizuri maharage labda uloweke kwanza maharage kwa masaa kadhaa kabla ya kuyapika
Majirani wanahusika vipi kwenye bili yake ya umeme?Acha kuwatesa majirani zako kwenye suala la umeme kama unatumia rice coocker kupika vyakula vingine mbali na mchele kama ilivyotengenezwa. Themostat na kila kitu kilichowekwe kwenye rice coocker ni kwa ajili ta kupika wali tuu. Sasa unakuta li mtu linapikia hadi maharage. Coocker inawaka hadi inajizima jitu limooo tuuu linawasha tenaaaa.
Nunua presha coocker ya kawaida. Chambua maharage yako. Yaoshe vizuri. Loweka hata kwa masaa matatu then weka kwenye presha coocker yako funga vizuri washa gesi yako weka presha lako dakika 20 maharage tayari.
Ni kweli mkuu,mi mwenyewe nimechemshia nyungu muda huu. Nataka nijifukizeRice cooker sio kwa ajili ya wali tu, watu tushapikia magimbi, tushapikia maharage, tushapikia mchemsho, tushasongea ugali...[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
[emoji2398]ᵃʳᵉᵉᵐ [emoji769]
Duh,we ni nyoko 🤭 mimi hiyo siafanya na uzee huu...labda zamani sana shule tulizosoma boarding,kuchemsha mahindi ya walimu na heater dariniMkuu ushawahi kuchemsha magimbi/ndizi kwenye electric kettle? [emoji38][emoji38]
[emoji2398]ᵃʳᵉᵉᵐ [emoji769]
Kwa hiyo rice cooker unapigia nyungu mzee baba?mama.e🙌😧Dah...mbona nyungu inapika vizuri tu[emoji2960]
Kipindi hicho umeme ndio kila kitu, kettle zilipata tabu [emoji38][emoji38][emoji38]Unachemshia hata maji ya kuoga ???[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kabla ya kuja kettle za umeme, heater watu tumechemsha maji ya kuoga kwa umeme na vipisi vya nondo [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]Duh,we ni nyoko [emoji2960] mimi hiyo siafanya na uzee huu...labda zamani sana shule tulizosoma boarding,kuchemsha mahindi ya walimu na heater darini
Nimesema kama mdau anaishi nyumba za kupanga na ana share luku na majirani
Asa unit kwa shilling 298 unaona ndogo au upo nyumban kwa baba na mama unakula na kunyaUmeme ghali kivipi wakati unit ni 298
SawaAcha kuwatesa majirani zako kwenye suala la umeme kama unatumia rice coocker kupika vyakula vingine mbali na mchele kama ilivyotengenezwa. Themostat na kila kitu kilichowekwe kwenye rice coocker ni kwa ajili ta kupika wali tuu. Sasa unakuta li mtu linapikia hadi maharage. Coocker inawaka hadi inajizima jitu limooo tuuu linawasha tenaaaa.
Nunua presha coocker ya kawaida. Chambua maharage yako. Yaoshe vizuri. Loweka hata kwa masaa matatu then weka kwenye presha coocker yako funga vizuri washa gesi yako weka presha lako dakika 20 maharage tayari.
Duu! Hatari sanaKaka kuna mamtu yanapikia hadi ugali. Yaan
Sijaona uliposema kama anashare, umeongea kama vile una uhakika kuwa anasheaNimesema kama mdau anaishi nyumba za kupanga na ana share luku na majirani
🤣🤣🤣🤣🤣Kipindi hicho umeme ndio kila kitu, kettle zilipata tabu [emoji38][emoji38][emoji38]
[emoji2398]ᵃʳᵉᵉᵐ [emoji769]
Mkuu unatupa kazi ngumu kugeuza simu!Kama rice cooker yako ina ichokitu unaweza fanya steaming unaweka ata kuku apo juu au nyama ina ivaa ayo nimatumizi sahihi pia ya hyoo kituView attachment 1460593View attachment 1460594