DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Yes, kuwa chawa sio tatizo Mkuuiv una fahamu kwamba kwenye maisha kuna watu wamefanya kila walichotakiwa kukifanya na hawajafanikiwa? Kuna vijana wana elimu nzuri na wamejaribu kila kitu ila haijawa chochote. So naamini hakuna mtu mwenye juhudi kubwa kwenye nchi hii kumzidi muendesha guta, ila matokeo ya kiuchumi je? 😂😂
Yacobo alienda kua chawa kwa miaka 14 kwa mjomba wake Rabani ndio akatoboa.
Jinsia zote si ni sawa au? lasivyo kampeni ife😂😂Ingekuwa kwa mwanamke ni sahihi kabisaa tena ndo wa kuitwa mke mwema, ila kwa mwanaume haifai japo tusimkandie kaona atoke vipi sasa, kabahatisha na familia ya binti ni waelewa kiaina
😂😂😂😂😂 nchi hii vichaa wengi sana
Kwa mwanaume ni ukakasi sanaJinsia zote si ni sawa au? lasivyo kampeni ife😂😂
Ushachelewa kuna mwenzio kakuovertake pm huku.Foleni ila naja
Kuna watu wanajua kujipendekeza balaa ila mimi huwa siwez kabisa
Ila nilichogundua baada ya kuwaangalia mtajiri wengi ni kwamba tajiri anahitaji awe na watu wa namna hii ili kurahisisha baadhi ya mambo yake,kama kufukuzia wachuchu,kufanya umafia bila kuacha alama ukiwa na machawa haya yote unafanya kirahis
Hvyo vijana ukiona boss yupo yupo tu hana kampani jipendekeze mwsho wa siku anakuwekea fungu la kila mwsho wa mwezi au la kila siku kuliko kukaa bila kazi
Dah!,unawaza mitaro tuUsidanganye vijana aisee, hakuna pesa ya bure. Boss akitoa pesa yake sna ujue kuna siku atataka kukula kimasihala (kufukua mtaro)
Dah!,unawaza mitaro tu
Kuna watu wamefanikiwa kimaisha kwa kuwa karibu na watu waliofanikiwa
Mtu aliefanikiwa ana mambo mengi sana ya kufanya na ambayo hawez kuyafanya yote hvyo ukiwa karibu nae huwez kosa cha kufanya,mfano kuna kwenda bank kupeleka pesa na kulipia baadhi ya bills mbalimbali hz zote hufanywa na machawa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Shida yote hiyo nini jamaniYani ukifika huko maghorofani ni kubusu mikono ya ba mkwe kila baada ya nusu saa, sidiria za mama mkwe unazifua mwenyewe....mawigi ya mawifi ni kuyapaka mafuta muda wote yanang'aa....Mwari wangu wasipokupa connection ya Kazi UN huko, njoo uniite mbwa[emoji1787]
Ndiomaana jamaa anasema ulifeli kabisa tumia hii mbinu[emoji23][emoji23][emoji23]Kuna wengine ukiwafanyia hivo ndo wanakuona boya na maneno maneno kibao, kinashangazi nao wakija utaskia "huyu nae vp", kina ba mdogo watasema "huyu jamaa atakuja kuwauwa hum ndani ili arithi mali"
Yaan they'll talk every negative thing.
Chamsingi mwanaume kupambana tu uwe independent