Namna wachezaji mpira wa nje wanavyomiliki Ardhi Tanzania

Namna wachezaji mpira wa nje wanavyomiliki Ardhi Tanzania

Tanzania ni nchi ya amani na kila mtu anaitamani.

Sasa hawa jamaa wanapokuja kucheza mpira hapa,

Maisha ya hapa yanawavutia mno.

Wamebuni mbinu ya kuzaa hapa.

Mali zao wanasajili kwa majina ya watoto wao.

Mfano mzuri yule jamaa aliyekuwepo kwa vyura na sasa yupo kwa waarabu.
Kalala mayele
 
Mimi sina wivu na wageni hata Dola ilipoamua kwamba utajiri wa nchi hii uruhusiwe Kwa watz wenye asili ya asia naona poa tu!

Ninachataka katiba na Sheria zibadilishwe ili Kila MTU awe na haki na hata akishika asiharibu kabisa!!

RIP Reginald Mengi, RIP rama wa kariakoo aliejipiga risasi mwenyewe kwa kuhisi kunyanyasika kibiashara na hujuma alizopitia!!

Sheria zinadilishwe utajiri hapa bongo uwe fair kwa wote na sio TU Raia wenye asili fulani pekee!!

Haiwezekani top 10 ya matajiri bongo karibu wote eti ni raia wenye asili ya asia kana kwamba wazawa wote ni wavivu!!

RIP Ali Mufruki mpiganaji na wazawa matajiri waliopoteza maisha yao (MIMI SIKURIDHIKA NA VIFO VYAO) Ni kama kule kenya wasomali ndio ma don.wazawa wanaandamana kana kwamba wao hawana akilia ya utafutaji!!


Naishia hapa!

Mawazo huru na nadharia zinazokuja kichwani na kuondoka!!
Leo hii unaweza kumfilisi kabisa Mo Dewji ukiwa na matarajio kwamba umemkomesha, mpe miaka mitano tu atakuwa tayari kesharudia utajiri ule ule wa awali, kwanini?.

Utajiri wa mtu upo kichwani mwake, na utajiri wake ni ubunifu anaokuwa nao.

Tupunguze haya mawazo ya kimaskini yenye kudhani kuwa wengine wanakuwa na mali ndio maana sisi ni maskini.

Umaskini wetu upo vichwani mwetu.
 
Leo hii unaweza kumfilisi kabisa Mo Dewji ukiwa na matarajio kwamba umemkomesha, mpe miaka mitano tu atakuwa tayari kesharudia utajiri ule ule wa awali, kwanini?.

Utajiri wa mtu upo kichwani mwake, na utajiri wake ni ubunifu anaokuwa nao.

Tupunguze haya mawazo ya kimaskini yenye kudhani kuwa wengine wanakuwa na mali ndio maana sisi ni maskini.

Umaskini wetu upo vichwani mwetu.
We mkongoman acha kutuharibia nchi yetu.
 
Ukishakuwa ccm huna tofauti na mchawi.

Yani roho haikuumi bandari kupewa Waarabu ila unateseka Mtanzania akimuuzia mgeni ardhi yake anayoimiliki kihalali?

Wahindi wanamiliki viwanda vikubwa achilia mbali hizo plot za square meter 600.

Nina jamaa mbongo Marekani amenunuwa shamba, wewe uko dunia gani?

Nenda South Africa Wabongo kibao wanamiliki nyumba zao kisheria.

Ndio maana ccm mnapeana sumu mmejaa roho mbaya vifuani mwenu.

Ndikumana amezaa na Irene Uwoya na amekufa, yule mtoto atalelewa na ccm?

Sasa mimi namkatia shamba langu Aziz Ki ili uvimbe upasuke kabisa.
Umaskini wa akili ni yale mawazo kwamba mimi hali yangu ni mbaya kwa sababu kuna mwarabu na mhindi wanaoishi vizuri zaidi yangu.

Marais wa Marekani wanaiita nchi yao the land of opportunities, ni nchi ya fursa nyingi, kwa sababu wanaamini katika uwezo wa mtu kuliko rangi ya mtu.

Akon ni msenegali milionea anayeishi Marekani.

Jonathan Butler ni mwafrika ya kusini milionea mwanamuziki anayeishi Marekani.

Wapo wengi sana wanatajirika kwa kutumia vizuri sera chanya zenye kutazama uwezo wa mtu kuliko rangi.

Nyerere alikuwa na akili nyingi sana alizipiga vita sera zote za kibaguzi mapema kabisa alifahamu ubaguzi unazaa ubaguzi mbaya zaidi.
 
Wabongo wakiwa USA wana force kupata wachumba wa ki USA, wana funga ndoa nao ili wapate uraia wa USA it seems fair.

Ikifanyika huku inakua ni unfair.

Grow up man, hyo mipaka yenu ya kikoloni isifanye mkabaguana
 
Mbona sisi waafrika tukienda abroad tunafosi kuoa wazungu ili tuwe na uraia wa nchi zao, tunazaa nao ili watoto wetu wawe na greener pastures? Kuzaa na kumilikisha watoto mali zako, hasa waiozaliwa na mama wazawa kuna shida gani? Hamtaki cross breeding kwa ajili ya kuongeza talents?

Binafsi sioni tatizo katika hili, dada zetu wajiachie wazae nao ila watumie akili, vijana wa kigeni wacheze na kuwekeza bongo, its okay wala hakuna shida.
 
Nchi za Kiafrika tungekuwa matajiri nadhani process za Visa ningekuwa ngumu zaidi kuliko ilivyo kwa nchi za Ulaya tunapotaka kwenda. Sasa mtu akishazaa na Mtanzania, Kuna shida gani mali zikamilikiwa through watoto au mzazi mwenza..,...tumekataa Uraia pacha hata huu muunganiko wa kibailojia nao tunataka tuukatae
 
Mimi sina wivu na wageni hata Dola ilipoamua kwamba utajiri wa nchi hii uruhusiwe Kwa watz wenye asili ya asia naona poa tu!

Ninachataka katiba na Sheria zibadilishwe ili Kila MTU awe na haki na hata akishika asiharibu kabisa!!

RIP Reginald Mengi, RIP rama wa kariakoo aliejipiga risasi mwenyewe kwa kuhisi kunyanyasika kibiashara na hujuma alizopitia!!

Sheria zinadilishwe utajiri hapa bongo uwe fair kwa wote na sio TU Raia wenye asili fulani pekee!!

Haiwezekani top 10 ya matajiri bongo karibu wote eti ni raia wenye asili ya asia kana kwamba wazawa wote ni wavivu!!

RIP Ali Mufruki mpiganaji na wazawa matajiri waliopoteza maisha yao (MIMI SIKURIDHIKA NA VIFO VYAO) Ni kama kule kenya wasomali ndio ma don.wazawa wanaandamana kana kwamba wao hawana akilia ya utafutaji!!


Naishia hapa!

Mawazo huru na nadharia zinazokuja kichwani na kuondoka!!
Fuatilia nchi zote za kusini mwa jangwa la sahara uone top ten zao za matajiri ni kina nani utagundua ni tatizo la Afrika nzima.
 
Mara zote huwa tupo hivi.

Tunatukuza wageni.

Hata viongozi wetu wote wapo hivi kama wewe.
Sasa si bora kutukuza hao wageni labda kutakuja toleo jipya la wenye akili kuliko hili la machawa wa uvccm lisilo jua kuhoji na kudadisi?
Yaani kwa kweli kizazi hiki chenu kilichoingia uccm vichwani mwao ni cha kufagia na kuleta akili mpya maana ni kama gonjwa baya la kuambukiza
 
Mara zote huwa tupo hivi.

Tunatukuza wageni.

Hata viongozi wetu wote wapo hivi kama wewe.
Acha ujinga, kama wamezaliwa hapa shida yako nini? wewe mwenyewe umezaliwa hapo by chance, acha roho mbaya
 
Hoja yako hapa ni Nini? Kama hata timu za hapa huzijui majina. Hakuna timu imesajiliwa kwa jina la vyura Tanzania. Wewe ni mjinga tu bila shaka.
Sikuzidi wewe punguani usiyejua maana.

Kima wewe.
 
Sasa si bora kutukuza hao wageni labda kutakuja toleo jipya la wenye akili kuliko hili la machawa wa uvccm lisilo jua kuhoji na kudadisi?
Yaani kwa kweli kizazi hiki chenu kilichoingia uccm vichwani mwao ni cha kufagia na kuleta akili mpya maana ni kama gonjwa baya la kuambukiza
Nilidhani huko upinzani kuna afadhali ila wale wale tu.
 
Nchi za Kiafrika tungekuwa matajiri nadhani process za Visa ningekuwa ngumu zaidi kuliko ilivyo kwa nchi za Ulaya tunapotaka kwenda. Sasa mtu akishazaa na Mtanzania, Kuna shida gani mali zikamilikiwa through watoto au mzazi mwenza..,...tumekataa Uraia pacha hata huu muunganiko wa kibailojia nao tunataka tuukatae
Akili za kimaskini matatizo matupu. Tunadhani chanzo cha shida zetu ni watu wengine kumbe ni matatizo yetu mengi yanapojumuishwa pamoja huwa ni sababu ya umaskini usiokwisha.
 
Nchi za Kiafrika tungekuwa matajiri nadhani process za Visa ningekuwa ngumu zaidi kuliko ilivyo kwa nchi za Ulaya tunapotaka kwenda. Sasa mtu akishazaa na Mtanzania, Kuna shida gani mali zikamilikiwa through watoto au mzazi mwenza..,...tumekataa Uraia pacha hata huu muunganiko wa kibailojia nao tunataka tuukatae
Hata sasa kuna mataifa yameorodheshwa hao kina Lebanon, Bangladesh and likes, kupata viza ya Tanzania unasubili miezi mitatu.
 
Back
Top Bottom