Namna ya ku-deal na Gold digger

Mkuu kwa maelezo yake huo mchezo anauogopa sana
 
Tukuokoeje na Wewe unafurahia utamu!Acha msihara basi.
 
Kulingana na wadau wengi wa humu humu jukwaani. Vina UTI moja kali sana. Sijui umekitoa wapi
😀😀dawa hazisaidii, angalia usijekutobolewa sindano
 
Kulingana na wadau wengi wa humu humu jukwaani. Vina UTI moja kali sana. Sijui umekitoa wapi
😀😀dawa hazisaidii, angalia usijekutobolewa sindano
Mkuu nipo makini sana kwenye hilo pia ahsante kwa ushauri huyu nilimtoa kimara huko but ni pc ya kwenda
 
Muulize penzi letu ni kuenjoy na kufurahia au kuuziana..kisha mwambie njoo ila sitakuwa na hela ya kutoa leo. Ukimfanya mara mbili bure akikimbia ndo unakuwa umetua mzigo. Asipokuja pia ndio umekata mrija wa pepo la ufilisi
Shukrani sana mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…