Namna ya ku-deal na Gold digger

Uliingia na gia ya kishamba Sana mtoto kakushika uchomoki🤣🤣🤣

Ukitaka umzid nguv tafuta anayemzid uzuri afu amjue atapoa
 
Mbona hata hana makuu.
Hujakutana na demu anataka gari ee
 
Mega kijanja huyo ana njaa ndio maana licha ya kumbania hela bado yupo, kiufupi akipatikana mtoaji mzuri wa pesa anahamia huko.
Yeah I know mzee sema sikutaka tufike huko nataka nimuache sasa hv vp nipige kesho cha mwisho au nimpotezee leo leo maana k zakupiga zipo tena ni afodable kabisa
 
Yeah I know mzee sema sikutaka tufike huko nataka nimuache sasa hv vp nipige kesho cha mwisho au nimpotezee leo leo maana k zakupiga zipo tena ni afodable kabisa
Maamuzi ni yako kama unampotezea we kula buyu tu hakuna haja ya kumwambia umemuacha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…