Ila wanaume shida zingine mnajitafutiaga wenyewe, hamuwezi kutulia na mwanamke mmoja na bado wote muwagharamie ndio mana malalamiko ni mengi.Yeah namla mkuu japo hudum zake kidogo ni kubwa maana bado nina k nyingine zinanitegemea
Wala hajakuumiza, sema kauchumi kako kwasasa sio kazuriπ€£Mkuu hiyo 30k kwa wiki anazungumzia nauli tu hapo
Mkuu najua unanipenda sana na upendi kuona napotea sasa naomba unijibu hili swali vp nimpotezee sasa hv au hiyo kesho nimle ndio nimpotezee nina ahidi kufuata ushauri utakaonipa hapaEbu kimbia hapo, acha ubwegeee!!
Sio nasra ni nasrallah mpiganaji wa hezbollah alyeuwawa na na yahudWewe nani? Halafu unaitwa nasra wewe jike?
Kwa hiyo unamlimpa na mshahara kabisa
Wala hajakuumiza, sema kauchumi kako kwasasa sio kazuriπ€£
Half american njoo hukuWala hajakuumiza, sema kauchumi kako kwasasa sio kazuriπ€£
Kwavile umesema ni mtamu,Mkuu najua unanipenda sana na upendi kuona napotea sasa naomba unijibu hili swali vp nimpotezee sasa hv au hiyo kesho nimle ndio nimpotezee nina ahidi kufuata ushauri utakaonipa hapa
Mkuu we acha tu halafu kuna watu wananibeza yani unamlipa mtu mshahara 4 nothingKwa hiyo unamlimpa na mshahara kabisa
Elfu 5 , mtoto kautaka huyoπ€£πView attachment 3239570πππΏ vitoto vya 2000
una cheti cha kuzaliwa cha ndugu Melancholic ??Huyo binri wa 2003 si ni sawa na mwanao? Kwanini unaharibu mtoto wa mwenzio? We mwanao akifanyiwa hivi utafurahi?
Hakuna cha utamu wala nini ni kujiendekeza tu. Kwanini usitafute level yako ukaoa mkuu. Umasikini mwingine mnautengeneza ninyi wenyewe halafu badae mnakuja kulaumu serikali.
Muulize penzi letu ni kuenjoy na kufurahia au kuuziana..kisha mwambie njoo ila sitakuwa na hela ya kutoa leo. Ukimfanya mara mbili bure akikimbia ndo unakuwa umetua mzigo. Asipokuja pia ndio umekata mrija wa pepo la ufilisiNdio nataka nimuache sasa
Wewe ni kapteni moto? Au yule chizi wa udsm anayetembeza dislike?Sio nasra ni nasrallah mpiganaji wa hezbollah alyeuwawa na na yahud
Mm ni alumni wa udsm
Sjapata ajira
Nipo single πππ
Ukiachana na sex kuna kazi nyingine anakufanyiaMkuu we acha tu halafu kuna watu wananibeza yani unamlipa mtu mshahara 4 nothing
Ndiyo huyo huyo kabisaa hata mimi nilishapita naye. Kumbe kitoto kimalaya sana hichoKidogo data zingefanana na wa kwangu yeye ni wa 2003 na pia ni msafi bala.. hela anapenda tuliachana mwezi wa 11 anaishi Dar ni first year mweusi
πππJau tu, ndo uombaji gani huo?Elfu 5 , mtoto kautaka huyoπ€£π
Kweli wasukuma mnaonewa na Mademu...cheki huyu anavokamuliwa na inaonyesha kipato chenyewe tia maji tia maji.Wakuu niina swali kidogo hv unapotongoza mdada ukakuta ni Gold Diger inatakiwa uichape mara ngapi ndio uiache???
Aisee nimekutana na kitoto cha 2003 nikataka nimfanye wife material but nilivyogundua kuwa ni Gold diger nikaona hapa hakuna jipya ni kupiga na kusepa.
Tatzo likaanzia hapa toka nimemgusa yule mtoto the way alivyomtamu halafu ni msafi balaa na anajua mapenzi kinoma ndio nikajikuta nimenasa mazima.
Kila nikimaliza kudate nae nasema namuacha lakini zikipita siku mbili najikuta namtamani tena toka mwez wa 11 mpaka sasa nimeshindwa kumuacha huyu mtoto. Japo mara nyingi najiapiza kumuacha but ninafeli.
Kuna siku nikampotezea nikaamua kuvuta kidem changu kibonge kina nyashi hatari but nilishindwa kuperform sababu muda mwingi nilikuwa namuwaza yule mtoto wa 2003, yani itoshe tu kusema huyu mtoto kanikamata sana na sijui namna ya kujitoa japo nimeshamuweka mara 3 lakini bado najikuta naitaka tena pia tumekuwa na ugomvi mwingi kuhusu pesa lakini tunasolve mambo tunaendelea.
wakuu hapa tayari kaniambia kesho anakuja gheto na toka asubuh nilipanga kwamba hiyo ndio itakuwa mara ya mwisho but nikikumbuka utamu wa yule kiumbe nakosa ujasiri na mbaya zaidi namba yake ipo kichwani.
Hivi kuna mtu alishawahi kukutana na situation kama hii kwamba unananasa kwa mtu na unashindwa kujitoa??
Nimepiga madem wengi lakini nyapu, style na usafi wa huyu mtoto ni habari nyingine yani nishakuwa addicted na huyu mtoto naumia sana kubaki nae ila kujitoa ndio nimeshindwa em niokoeni ndugu zangu.
Unanichongea kwa mwanangu Half american π€£Half american njoo huku