Namna ya kuwaona wachawi kwa kutumia Kisamvu

Basi nika choma chumvi ktk moto huku nanuia arudi [emoji2][emoji2][emoji2] baasi asubuhi sms za mikwara zika endelea mm sikua najibu,nika mwambia nakutakia kila la kheri [emoji120],Basi jioni karudi tena na story nzuuri mpaka nika shangaa [emoji848] basi nika amini hii CHUMVI ni NOMAAA sana aisee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu upo serious??
 
Duuh hadi malaika na mapepo [emoji23][emoji23]

Wewe kweli msanii
Na kwa akili zako kubwa kabisa umedhania nilikutana nao kijiwe kimoja tukapiga story.


Mimi wa kawaida mno. Sina la kujitapa kwenye hili na pia nasema ukweli
 
Na kwa akili zako kubwa kabisa umedhania nilikutana nao kijiwe kimoja tukapiga story.


Mimi wa kawaida mno. Sina la kujitapa kwenye hili na pia nasema ukweli
Kwahiyo umewaona wakifanya nn sasa mkuu???
 
Hamna kitu hapo ni stori tu
Mkuu kusema mzizi wa kisamvu ni chakula na shina ni kuni, utakuwa 'umebonyeza sana' bhana!

Aseme kwa kushuhudia aliyekwisha kula mzizi wa kisamvu na akapikia matawi yake hadi kuivishia chakula mf: ugali!
 
Mkuu kusema mzizi wa kisamvu ni chakula na shina ni kuni, utakuwa 'umebonyeza sana' bhana!

Aseme kwa kushuhudia aliyekwisha kula mzizi wa kisamvu na akapikia matawi yake hadi kuivishia chakula mf: ugali!
Akili huna wewe
 
Nilicheka sana..kuna jamaa alisema walipoingia wapemba kariakoo ndio majini yalikuja..ila kabla ya hapo kulikuwa na vibwengo na wachawi tu...
 
Vipi nikipaka kamera ya simu?
 
Ni makosa makubwa kumuona mchawi na ukawa hauna nguvu zaidi yake, ukimuona mchawi na akagundua ni lazma akuuwe akufanye msukule kwahiyo tuache viherehere kila mtu aachwe afanye kaz yake bila kufatiliwa laa sivyo unaweza kujikuta kwenye matatzo tu
 
Ni makosa makubwa kumuona mchawi na ukawa hauna nguvu zaidi yake, ukimuona mchawi na akagundua ni lazma akuuwe akufanye msukule kwahiyo tuache viherehere kila mtu aachwe afanye kaz yake bila kufatiliwa laa sivyo unaweza kujikuta kwenye matatzo tu
Nikimuona bila kuhamaki nikatulia tuli anapata popup notification au?
 
Unamshikisha mkono gan?
Urefu wa kijiti uwe kiasi gan?
Kijiti kipi kinatumika kati ya kibichi au kikavu?
Unanuia?
mshikishe mkono wa kulia anyooke nacho kama alivyolala haina manuizi yoyote ni baada tu ya kukikata shambani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…